Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mchokozi sana!🤣🤣🤣Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze
Hello hello.. I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi) Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe:D") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati...www.jamiiforums.com
Kumbe nguvu anazo za kutosha. Anaendesha hadi baiskeli?Asubuhi nimetoka kufungua bomba nimemuona na baskeli yake nikakumbuka comments zenu nusu nicheke.😂
Ndio maana ukaanza kumtega mbaba wa watu?Ndio, watoto watano mchezo
Jibu DM zangu sasa tupate uzima pamoja.Ndoa ni majaaliwa, tuombe uzima.
Shetani alimpitia yeye au wote wawili? Mbona ulikuwa unampeleka uchochoroni?Umeng'ang'ania namtega! Sijafanya hivyo itakua shetani alimpitia
Hamna shida ila DM zangu zione pia.Mchumba ninae tayari.
Hapo sawa, sio unamuangushia msala peke yakeAlitupitia sisi wote wawili
Mimi naongea ukweli. Baba Cathe anampenda mkewe, wewe unavutiwa na mapenzi yao. Hivyo acha kwenda kwao Kila sikuWewe unakuza mambo!
GoodLabda navutiwa bila mimi kujijua nisikubishie sana.
Sitoenda tena kwao.
😁😄😃😀🤣🤣!Point yako ya kwanza nimeielewa
Lakini hiyo ya pili ya mimi nisimame kumsikiliza anavyotoa sera sijaikubali
"Kwanini niendelee kumsikiliza wakati najua fika siwezi kumkubali"
Kuendelea kumsikiliza ni upotevu wa muda
Usisahau nilikua nimetumwa, iweje nichelewe dukani kwa kusimama na mtu kichochoroni? BIG NO..!
Mkuu umeongea points tupu lkn huwezi amini Sijaelewa😂😁😄😃😀🤣🤣!
Mkuu hongera kwa msimamo, nimefurahishwa.
Nikuulize swali lenye mfano wa vitu labda utanielewa vizuri.
Ushaangalia documentary za wanyama, wale wakali kama nyati wenye pembe za kujihami, wakitakiwa na simba ushaona pembe hizo zinawasaidia?
Tuje kwenye miti, mfano wa mchungwa: una miba mikali, ushaona matunda yake yakashindikana kuchumwa?
Hizo 'big no' zako hizo mkuu kwa mwanaume ndiyo chachu ya kujitathimini na kujenga hoja, kukataa kushindwa pamoja na kutumia rasilimali zake awezavyo ili kulainisha.
Enzi zetu nikikutongoza ukanambia 'sitaki' basi lazima niibadilishe hiyo sitaki iwe 'nataka' kwa mbinu zozote zile ziwe halali ama haramu.
Yeyote aliyenambia 'sitaki', tayari nishampata, hata mke wangu alinileteaga hizo za sitaki tena na matusi juu, nilimwambia neno moja tu, 'tutaona', hadi leo ninaye nazeeshana naye.
Waliosalimika kwenye anga zangu ni wale wanawake watii na wajenga hoja ambao mimi ninawaheshimu sana.
Ninapomsimamisha mwanamke akanitii na kisha kujenga hoja ya kiakili kunitolea nje, hapo hapo uking'ang'anizi wangu huishia hapo.
Lakini kwangu wale watukanaji, wakimbiaji, wabaniaji wa namba za simu na wakali wenye nyodo wote nshapita nao, kwa sababu sanaa ya kutongoza huichukulia kama ligi ya Simba na Yanga kutafuta ushindi ambao hata goli la mkono hulitambua.
Vipi na ww nikuweke udugu mkawe wake wenza?!! 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yupii huyoo?
Wanawake ndio huanza kumtongoza mwanaume kwa mavazi sauti kujidai wako humble and care kuliko ulie naeNi kweli huwa mnawatongoza wenyewe wanawake
Mjifunze kuzuia tamaa zenu jamaniiiii
Unafikiri ukiwaona wanakumbatiana na kulishana unadhani ni rahisi? Presha ya maisha inakua imepunguzwa na mchepukoKiaje?