Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio basi nini tena mama!Hapo nimefurahi! Nikadhani ndo basi tena
Laki mbili? Nuksi magonjwa heshima status@ephen kwa Mara ya kwanza umeniudhi. Kwani ukimpa baba cathe utapungukiwa na Nini?
Hebu mpe mbaba wa watu.
We mkomoe mwambie una shida ya laki mbili. Pokea laki halafu mpe mwenzio.
Kwani Ni wangapi wanakutongoza na sio watu wenye heshma zao?
Anavyompenda mkewe hivyo magonjwa atayatoa wapi. Chamsingi jitahidi mama Cathe asijue, kwani akijua utatamani kuhama mtaa, halafu itokee awe mshirikina utajua hujui. Unaweza hata kutumiwa majambazi kwani mwanamke anaumia Mara dufu mine wake akitembea na jirani au mtu anayemfahamu.Laki mbili? Nuksi magonjwa heshima status
Siwezi kufata ushauri wako
Wewe ni binti yangu kabisa yani👊Kua mimi sio mwanao😔
Nilikua nakuheshimu kumbe chenga😂Anavyompenda mkewe hivyo magonjwa atayatoa wapi. Chamsingi jitahidi mama Cathe asijue, kwani akijua utatamani kuhama mtaa, halafu itokee awe mshirikina utajua hujui. Unaweza hata kutumiwa majambazi kwani mwanamke anaumia Mara dufu mine wake akitembea na jirani au mtu anayemfahamu.
Fanya iwe Siri yenu.
Kuna ukweli hapaYawezekana wewe ndo ulikuwa unamtega huko kwake, sasa kajiongeza unalalamika.
Hamna kitu Bi. EphenNimeshakutumia ujumbe huko pm angalia
PM ina maana kubwa sana ndio maana ikaitwa FaraghaChochote ongea hapa nitakujibu sio pm
Umefanyaj hadi ephen amekuzoea Naomba umwambie ephen_ na mm anjibu comment zanguWewe ni binti yangu kabisa yani👊
Ukweli mchunguKucheat hakumaanishi mwanaume hampendi mkewe bali kuna mambo mengi yanaweza yakawa hayapatikani ndani ya ndoa na mwanaume akayataka nje, pia wanaume tumeumbiwa tamaa, kukutaka wewe haimaanishi kuwa ndio atamuacha mkewe ili awe nawe. Atakutumia na ataendelea kukutumia huku ndoa yake ikiendelea kushamili kwa madoido yote kama uliyoyaainisha hapa kama kawaida kama dawa 😃
kipapaHuwa huna akili wewe, unachukulia mitandao kwa namna ya kipumbavu sana wewe.
We una zawadi gani flat screen mkubwa ww 🤣🤣🤣.aliyem report Penseli nina zawadi yake...