Uchaguzi 2020 Nimeamini watanzania wameamua kufanya mabadiliko!

Uchaguzi 2020 Nimeamini watanzania wameamua kufanya mabadiliko!

ZNM

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2015
Posts
1,219
Reaction score
1,280
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!

Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!

Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!

Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!

Hongereni sana wanamabadiliko!
 
Mbona umesahau kutosha idadi ya Chips bwashee ?,kwa taarifa yako na wengine wote wenye roho mbaya chopa zitakuwa 3

Nyingine imbebe shehe Ponda kwenda kumuombea kura Lissu za Waislamu wake. Maana kwa mujibu wa Ponda na jinsi alivyo ongea kwa kujiamini inaonesha anao Waislamu wake mfukoni mwake na wana makubaliano maalum na Lissu, na inavyoonesha Lissu hahitaji kura kutoka kwa Waislamu wengine
zaidi ya hao wa Ponda. Kwa namna hiyo hiyo na za watu wote wa imani nyengine Tanzania zaidi ya Waislamu wa Shehe Ponda basi.
 
Taarifa nyingine bwana ni invalid sana.

Mwanzo kabisa, unatoa taarifa ya kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM, hujatoa sababu kuihusu CCM hadi kupigwa chini??

Unaanza kuzungumzia Michango inayotolewa " utapeli utapeli tu" mara root za mgombea wenu!.

Sawa, Endeleeni kujifariji tu mtandaoni.
 
Taarifa nyingine bwana ni invalid sana.

Mwanzo kabisa, unatoa taarifa ya kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM, hujatoa sababu kuihusu CCM hadi kupigwa chini??

Unaanza kuzungumzia Michango inayotolewa " utapeli utapeli tu" mara root za mgombea wenu!.

Sawa, Endeleeni kujifariji tu mtandaoni.
Si kila mtu ataelewa post hii!
 
[emoji1782][emoji1782][emoji1782]
3456890.jpg
 
Magufuli Kanda ya Kaskazini aje na majibu ya FAO LA KUJITOA, kwa sababu NSSF wanakataa kulipa watu Pesa zao Zote.

Jambo lingine, Magufuli aje na sababu Ni kwanini TRA AU TANAPA kupandisha Tozo za viingilio vya park bila kushirikisha wadau
 
Tundu Lissu ni mpango wa Mungu, ukimpinga kwa njia yeyote ile lazima utapata matatizo. Nawashauri TISS, NEC na Polisi au TPDF wafuate haki pekee. Kamwe wasikubali kupindisha sheria au kanuni au kubadili matokeo kumfurahisha Magufuri, kwa kuwa hasira ya Mungu juu yao itakuwa ni maangamizi kwao na vizazi vyao
 
Back
Top Bottom