jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ndo mlicho bakiza mboga mboga..hakuna hoja tena..mmeshakata pumzi.Magufuli anatosha
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mlicho bakiza mboga mboga..hakuna hoja tena..mmeshakata pumzi.Magufuli anatosha
Wamchukue tu,sisi hatumtaki.. Wakati nyie mnamuona hafai.......ila nchi zngine wanamlilia
.....mkuu maendeleo yapo CCM tuuNdo mlicho bakiza mboga mboga..hakuna hoja tena..mmeshakata pumzi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ndege kware?. we hutak SGR. Ndege....barabara
Igweeeeeehhhh......Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!
Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!
Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!
Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!
Hongereni sana wanamabadiliko!
Kasaidie kufungasha mabegi...mwenzako polepole kibarua KIMEOTA NYASIMabadiliko kwenye jamii forum ndugu.
Si unajua kuwa bwana mbeligiji kiduku ameshajikatia tiketi ya KLM ,,!?? Muda wowote anawatelekeza.Kasaidie kufungasha mabegi...mwenzako polepole kibarua KIMEOTA NYASI
Nyingine imbebe shehe Ponda kwenda kumuombea kura Lissu za Waislamu wake. Maana kwa mujibu wa Ponda na jinsi alivyo ongea kwa kujiamini inaonesha anao Waislamu wake mfukoni mwake na wana makubaliano maalum na Lissu, na inavyoonesha Lissu hahitaji kura kutoka kwa Waislamu wengine
zaidi ya hao wa Ponda. Kwa namna hiyo hiyo na za watu wote wa imani nyengine Tanzania zaidi ya Waislamu wa Shehe Ponda basi.
. Wakati nyie mnamuona hafai.......ila nchi zngine wanamlilia
Anatosha wapi?Magufuli anatosha
Kura yangu kwa lisuHii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!
Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!
Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!
Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!
Hongereni sana wanamabadiliko!
Tunatarajia ccm kwenda Tume kulalamika kwamba kucheza mpira wa makaratasi ( chandimu ) na viatu hairuhusiwiMikutano 50 kwa Siku, si mchezo!
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!
Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!
Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!
Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!
Hongereni sana wanamabadiliko!
Nchi gani bwashehe..jitu halijui hata kuongea kiingereza wakati kasoma hadi PHD kwa kiingereza.... Wakati nyie mnamuona hafai.......ila nchi zngine wanamlilia