Uchaguzi 2020 Nimeamini watanzania wameamua kufanya mabadiliko!

Uchaguzi 2020 Nimeamini watanzania wameamua kufanya mabadiliko!

Katika siku mia moja za Lissu madarakani Mnyeti anapandishwa kizimbani kwa kutoa rushwa na ushahidi umehifadhiwa
 
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!

Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!

Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!

Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!

Hongereni sana wanamabadiliko!
Ushauri wangu kwako wewe nduli, Anza kuaga na kufunga mizigo yako.
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
. Wakati nyie mnamuona hafai.......ila nchi zngine wanamlilia
Wakati nchi nyingine zinamlilia na kumtamani, humu nchini kuna familia ambazo watu wao walitekwa na hajui walipo na hizi zinalilia dola ya magufuli kwa utekaji na uuaji. Azori Gwanda aliacha mke akiwa mjamzito amvaye sasa ni mjane na watoto yatima. Hawa wanalia na kulaani dola hii.
 
Mabadiliko kwenye jamii forum ndugu.
Ww jamaa Tanzania ishahamua kwenda na Lisu we unafeli wapi tukueleweshe achana na izo buku saba.

Kwa Lisu utakuwa huru kufanya izo propaganda (maana ndio fani yako) bila kutekwa.

Shetani Hana rafiki rafiki yangu
 
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!

Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!

Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!

Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!

Hongereni sana wanamabadiliko!
Watanzania wanataka kiongozi shupavu na siyo huyu mbaguzi na katili
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
Ww jamaa Tanzania ishahamua kwenda na Lisu we unafeli wapi tukueleweshe achana na izo buku saba.

Kwa Lisu utakuwa huru kufanya izo propaganda (maana ndio fani yako) bila kutekwa.

Shetani Hana rafiki rafiki yangu
Hivi unaamini kabisa Lissu atakuwa mshindi?
 
Koti la uraisi limempyaya vibaya sana.
2591099_1602806857748.png
 
Nyingine imbebe shehe Ponda kwenda kumuombea kura Lissu za Waislamu wake. Maana kwa mujibu wa Ponda na jinsi alivyo ongea kwa kujiamini inaonesha anao Waislamu wake mfukoni mwake na wana makubaliano maalum na Lissu, na inavyoonesha Lissu hahitaji kura kutoka kwa Waislamu wengine
zaidi ya hao wa Ponda. Kwa namna hiyo hiyo na za watu wote wa imani nyengine Tanzania zaidi ya Waislamu wa Shehe Ponda basi.
Acheni Ndugu zangu kuanza kuingiza udini na udhehebu kwenye mambo ya Siasa !!! Acheni haraka Sana ! Msianze kutugawa Watanzania . Final Ni 28 October basi !
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
Nyingine imbebe shehe Ponda kwenda kumuombea kura Lissu za Waislamu wake. Maana kwa mujibu wa Ponda na jinsi alivyo ongea kwa kujiamini inaonesha anao Waislamu wake mfukoni mwake na wana makubaliano maalum na Lissu, na inavyoonesha Lissu hahitaji kura kutoka kwa Waislamu wengine
zaidi ya hao wa Ponda. Kwa namna hiyo hiyo na za watu wote wa imani nyengine Tanzania zaidi ya Waislamu wa Shehe Ponda basi.
Ni kama vile BAKWATA inadhani inaongoza waislam wote kumbe ni baadhi ya waislam wachache wa CCM wasiokua na imani na dini bali wanaimani na chama

Yaani mimi na elimu yangu hii ya ngumbalo kwa upande wa dini na dunia nikaongozwe na Al-Hadi Mussa du! Ptwaaaaaa! Kichefuchefu ambae eti ndio mwenyekiti wa baraza la amani, kwa amani gani anayoiongoza zaidi ya kuramba miguu ya makada wa CCM

Na in shaa allah ... muda si mrefu atadhihiri unafiki wake kwa sababu ALLAH hamfichi mnafiki siku atakapoonekana kituko na hao CCM kumuacha doro ndio atajua kumnafikia ALLAH ni jambo baya

Walikuwepo kina Msabaha enzi zile wanafiki wenye elimu zao leo hii wako wapi? atakua huyu kapuku Al-Hadi Mussa asieijua dini wala dunia ... eti Shehe mkuu wa mkoa a anosama dua kwa Jina la YESU arghhh!!!! Ptwaaaaaa!

Kichekesho wamekusanywa vinjaa njaa kwa kupitia mgongo wa uislam kina Shehe kipozeo eti wanaitwa wahadhiri kwa uhadhiri gani alionao mla mirungi yule kazi kuhubiri uzinifu na matako ya wanawake na sio mlingania dini eti nae anaitwa mhadhiri Mxiueszzz pumbavu kabisa

Laaanatullah!!!
 
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!

Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!

Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!

Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!

Hongereni sana wanamabadiliko!
basi we hujawajua watanzania kamuulize mange kimambi...wapiga kura hawakai mitandaoni kama wanataka sikiliza udaku wa daiamond na zuchu
 
Nyingine imbebe shehe Ponda kwenda kumuombea kura Lissu za Waislamu wake. Maana kwa mujibu wa Ponda na jinsi alivyo ongea kwa kujiamini inaonesha anao Waislamu wake mfukoni mwake na wana makubaliano maalum na Lissu, na inavyoonesha Lissu hahitaji kura kutoka kwa Waislamu wengine
zaidi ya hao wa Ponda. Kwa namna hiyo hiyo na za watu wote wa imani nyengine Tanzania zaidi ya Waislamu wa Shehe Ponda basi.
Udini haukisaidii ccm ambayo imewatumia Sana wale masheikh wa bakwata na juzi kawe. Lakini sheikh Ponds wa siku moja kakutoa nyongo! Kaa kwa kutulia uone jinsi waislam watakavyoichagua haki!
 
Back
Top Bottom