Uchaguzi 2020 Nimeamini watanzania wameamua kufanya mabadiliko!

Uchaguzi 2020 Nimeamini watanzania wameamua kufanya mabadiliko!

Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze Kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu Chadema walikua wakihamasisha watu wasijitokeze Mbaka ipatikane katiba mpya, Chakushangaza baada ya matokeo kutangazwa wata lalamika wameibiwa kura.
 
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!

Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!

Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!

Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!

Hongereni sana wanamabadiliko!
Ushindi wa CCM utatokana tu na kura za mkakati. Kura za wananchi itapata kiduchu. Utawala wa mh Magufuli umekuwa ni wa kibabe unaojali vitu badala ya watu na umewaumiza watu wengi sana. Idadi ya watu wengi wanaonekana kwenye mikutano wanavutwa.
 
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!

Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!

Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!

Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!

Hongereni sana wanamabadiliko!
 
Taarifa nyingine bwana ni invalid sana.

Mwanzo kabisa, unatoa taarifa ya kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM, hujatoa sababu kuihusu CCM hadi kupigwa chini??

Unaanza kuzungumzia Michango inayotolewa " utapeli utapeli tu" mara root za mgombea wenu!.

Sawa, Endeleeni kujifariji tu mtandaoni.
Kubali mabadiliko ndugu ccm imevurunda tangu uhuru ni wakati wa mabadiliko.
 
Magufuli anatosha
Nyingine imbebe shehe Ponda kwenda kumuombea kura Lissu za Waislamu wake. Maana kwa mujibu wa Ponda na jinsi alivyo ongea kwa kujiamini inaonesha anao Waislamu wake mfukoni mwake na wana makubaliano maalum na Lissu, na inavyoonesha Lissu hahitaji kura kutoka kwa Waislamu wengine
zaidi ya hao wa Ponda. Kwa namna hiyo hiyo na za watu wote wa imani nyengine Tanzania zaidi ya Waislamu wa Shehe Ponda basi.
Hakuna kitu kama hicho mimi muislamu kura yangu nitampa kiongozi mnyenyekevu na mcha mungu kama magufuli [emoji736][emoji736] na kura zotee kwake
IMG-20201013-WA0109.jpg
 
*LISSU ANA MASWALI YA KUTUJIBU KWANZA WATANZANIA*

Tundu Lissu mmojawapo wa wagombea uchaguzi Mkuu 2020 ambaye anazunguka kuomba ridhaa. Watanzania tuna kila sababu ya kumuhoji Lissu maswali haya ....

Lisu huyu ndiye yule aliyekuwa akiwatetea ACACIA kwenye suala la madini, kwanini aungane na waliokuwa wanaiibia nchi na kuanza kuwatetea? Akaenda mbali akawa anatutisha Watanzania kuwa tutashtakiwa wakati akijua wazi hatuwezi kushtakiwa, alikuwa akiyafanya haya kwa faida ya Watanzania kweli?

Wengine watasema ni haki yake, sawa ni haki yake tufanye. Ni haki sahihi kuwatetea wezi wa madini yetu? Ni haki kubariki kuibiwa na kuachiwa maandaki na umaskini na wanyonyaji wa rasilimali hizi?

Jambo jema yule aliyekuwa akiwatetea wezi wa madini yetu ndio huyo huyo anaomba ridhaa wakati ambao Dunia itashuhudia Oktoba 13, 2020 kampuni ya Barrick Gold ikitoa fidia ya gawio la zaidi ya Tsh. Bilioni 100 ambayo ni matunda ya mikataba ya madini na sheria zinazolinda maliasili na madini ya Tanzania.

Watanzania muulizeni Lissu mbona hatujashtakiwa kama alivyosema? Mbona aliosema wana haki ndio wanaotupa gawio la Mabilioni ya fedha?

Ni Lissu huyu huyu pasi na haya alishiriki kuhujumu ndege zetu ili zikamatwe, kwanini aliamua kuhujumu mali za Taifa? Ni kwa faida ya Watanzania ama faida ya Mabeberu anaowatumikia? Anaendaje kuomba kura kwa Watanzania aliowasaliti?

Lissu aendelee kutueleza nini maana yake kuwasimanga, kuwananga, kuwadhihaki Watanzania kuwa ni maskini wakati huo anawaomba michango ya kampeni! Mtu maskini na mwenye uchumi mbovu utamwombaje michango? Atatembezaje bakuli kwa Watu maskini?

Ni Lissu huyu huyu anaomba kupigiwa kura wakati yeye mwenyewe hajajiandikisha na hajaboresha taarifa zake kwenye daftari la Wapiga kura! Watanzania wampigie kura asiyeweza kujipigia ku
 
Tundu Lissu ni mpango wa Mungu, ukimpinga kwa njia yeyote ile lazima utapata matatizo. Nawashauri TISS, NEC na Polisi au TPDF wafuate haki pekee. Kamwe wasikubali kupindisha sheria au kanuni au kubadili matokeo kumfurahisha Magufuri, kwa kuwa hasira ya Mungu juu yao itakuwa ni maangamizi kwao na vizazi vyao
Inzi wa kijani hawatakuelewa.
 
Ccm imekiuka masharti ya kuacha kuukimbiza mwenge thus akili za watz zimefunguka
 
Tundu Lissu ni mpango wa Mungu, ukimpinga kwa njia yeyote ile lazima utapata matatizo. Nawashauri TISS, NEC na Polisi au TPDF wafuate haki pekee. Kamwe wasikubali kupindisha sheria au kanuni au kubadili matokeo kumfurahisha Magufuri, kwa kuwa hasira ya Mungu juu yao itakuwa ni maangamizi kwao na vizazi vyao
AMEEEEEEEEN
 
hayupo wakupambana na mh Raisi magufuli narudia tena hayupo wakumshinda magufuli
 
Kwanza rekebisha kauli yako! Muislam ni muislam tu kwani wote tunatumia kitabu kimoja tu ( Quran) takatifu. Hakuna muislam wa sheikh Ponda Wala sheikh Haji wote ni waislam na hatubaguani!

Hii wa kuelewa alisha elewa.
 
Hii sasa sina shaka kuwa watanzania wameamua kuipiga chini CCM kwa sababu hii!

Mwanzo wa kampeni, CHADEMA walivyoanza kuchangisha pesa ili kusaidia kumalizika kwa kampeni pasipo mkwamo, wengi tuliingiwa na hofu kuwa huenda pumzi itakata kabla ya kumalizika kwa siku za kampeni!

Imani kubwa waliyokuwa nayo chadema imewavusha maana kwa siku chache zilizobakia, na michango inayoendelea kutolewa na wanamabadiliko, mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, atamalizia kwa kutumia chopa!

Tunaamini pia kuwa, bila michango thabiti, isingewezekana kumaliza kampeni na suala la kutumia chopa ingebaki kuwa ndoto!

Hongereni sana wanamabadiliko!

Nani atapigwa chini wewe CCM ndio babalako nyie ndio mtaangukia kisogo tu
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
Back
Top Bottom