Nimeamka asubuhi nimekuta shuka zina matone ya damu!! mpaka saizi najitafuta nilipoumia sipaoni?

Nimeamka asubuhi nimekuta shuka zina matone ya damu!! mpaka saizi najitafuta nilipoumia sipaoni?

Ni ugonjwa mpya hospitali hauna tiba na haufahamiki sana sitaki kueleza hapa mambo mengine haya ni very sensitive kuyaelezea ila elewa huo ni ugonjwa wala hajalalia mbu alieshiba damu, in short ni ugonjwa unaoshambulia koo na mapafu nahisi mtu anatokwa na damu usiku akiamka asubuhi anakuta damu kwenye shuka ila hajui damu zimemtoka wapi
Lazima kuwe na damu puani/mdomoni, lzm ataamka damu inapotoka.
 
Hauoni inapotokea unakuta damu tu ebwana km hauamini basi baki hivyo hivyo ni damu na majimaji huamini basi subiri mpaka zamu yako ifike
Damu inayotoka ndani kwenye mapafu/ Koo, itapitia puani au mdomoni.
Ikipita puani kama ni nyingi kiasi cha kuziba pumzi, mgonjwa lazima atashtuka kutoka usinguzini, kama itapita mdomoni, hiyo ni kutapika damu.
 
Wakuu kama niliposema!

Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.

Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.

Sijawai tokwa damu puani.

Mkoa ni kigoma.

Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Mimi niliwahi kukuta damu matone mabichi bafuni kwangu.

Nilisali nikakemea na maisha yakaendelea
 
Karibu kwenye Mkesha usiosahaulika kwa Mtume Mwamposa tarehe 13/12 Kawe. Tatizo lako limekwishaa
 
Wasikutishe apo Mbu walikudunga wakashiba damu...ww ukawalalia wakapasuka.
Tatizo umewaza uchawi sana
 
Wakuu kama niliposema!

Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.

Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.

Sijawai tokwa damu puani.

Mkoa ni kigoma.

Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Haujahumia popote jua ni kunguni hao wanafataga maskini na vijana wachafu
 
Huu uzi bila comment ya Mshana Jr ni batili
Screenshot_20241206-080000.jpg
 
Inawezekana ni Mbu alikunyonya Damu baadaye akatapika, kama unaamini tofauti simama katika imani yako.
 
Usije ukafikiria kuna mambo ya kishirikina hapana, chunguza vizuri kutakuwa kuna mdudu ulimlalia.
Amesubiri sana kuona jibu hili maana amesema yuko Kigoma hapo tayari nilijua anawaza nini
Ila watu naona wanaanza kujielewa kuhusu ushirikina
Nimefurahi kuona wengi wanatoa majibu tofauti na uchawi hii inaashiria mema kwa nchi
 
Wakuu kama niliposema!

Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.

Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.

Sijawai tokwa damu puani.

Mkoa ni kigoma.

Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Kuna popo ambao huwa na tabia ya kunyonya damu wanyama au binadamu. Hivyo angalia kwamba hawapati nafasi ya kuingia unapolala! Tumia net.

Hao popo, wanaitwa vampire bats, wanapokunyonya damu wala hutajua. Na unaweza usipaone walipokunyonya damu, ila wanapokunyonya kuna damu itadondoka. Ni nadra sana kuwakuta sehemu zetu hizi lakini inawezekana. Na kama amekunyonya atarudi tena.

Fanya mpango kama unaweza kupata video yao, ili uwatarrifu watafiti uwepo wa vampire bats eneo lako.

Pia kuna panya wanaweza kukutafuna usiku, lakini ungeona kidonda.
 
Kuna popo ambao huwa na tabia ya kunyonya damu wanyama au binadamu. Hivyo angalia kwamba hawapati nafasi ya kuingia unapolala! Tumia net.

Hao popo, wanaitwa vampire bats, wanapokunyonya damu wala hutajua. Na unaweza usipaone walipokunyonya damu, ila wanapokunyonya kuna damu itadondoka. Ni nadra sana kuwakuta sehemu zetu hizi lakini inawezekana. Na kama amekunyonya atarudi tena.

Fanya mpango kama unaweza kupata video yao, ili uwatarrifu watafiti uwepo wa vampire bats eneo lako.

Pia kuna panya wanaweza kukutafuna usiku, lakini ungeona kidonda.
hao popo nawajua ila hawapo tanzania
 
Back
Top Bottom