Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Kunguni. Au uulize nani alitumia chumba kabla yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, wewe ni ME au KE?Wakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Kunguni ana damu nyingi Vibaya mnoMbu, kunguni panya
mwanaumeJe, wewe ni ME au KE?
wala si kunguniKunguni ana damu nyingi Vibaya mno
Inuse hiyo harufu huwa inanuka sana
nimeng’atwa wapUmengatwa na panya
mbu?? we jamaa
mbu??
Hama maramojaWakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Umelalia mbu baloshiba damumbu?? we jamaa
Huo ugonjwa umeingia hauna jina ila unaambukizwa kwa hewa, watu kadhaa nimeona wanaumwa huo ugonjwa unalala asubuhi unaamka unakuta damu zimekutokaWakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Ni ugonjwa mpya hospitali hauna tiba na haufahamiki sana sitaki kueleza hapa mambo mengine haya ni very sensitive kuyaelezea ila elewa huo ni ugonjwa wala hajalalia mbu alieshiba damu, in short ni ugonjwa unaoshambulia koo na mapafu nahisi mtu anatokwa na damu usiku akiamka asubuhi anakuta damu kwenye shuka ila hajui damu zimemtoka wapiUmelalia mbu baloshiba damu
Hiyo sio damu yako ni wanga wanakufanyia michezo wamekuja nayo ila makinika sanaWakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Aende hospitali huo ni ugonjwa mpya unasambaa kimya kimya mtakuja kusema nilisemaPole
Fikiria umemkosea mtu au ulijibishana na mtu bila kujua atakurudia?
Pie je, umetongoza mwanamke huko labda wa mtu?
Lingine upo penye ushindani na unaona unafanikiwa?
Ukumbuke kusalia wewe na yote bila kusahau kitanda hicho.