bulajunior
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 302
- 434
Inawezekana vipi hao viumbe umewathibiti vzr?Mbu, kunguni panya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana vipi hao viumbe umewathibiti vzr?Mbu, kunguni panya
Niliwahi kulala Guest moja mpya barabarani kabisa, usiku ikanyesha mvua kubwa sana yenye upepo, kesho yake nimemka asubuhi nimetoka getini pakavu kabisa nikarudi ndani kuwauliza wakaniambia kila mwaka tarehe hio pana hio mvua nkahama zangu.Wakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Kuna watu huwaambii kitu kuhusu ushirikinaKweli kabisa, maana ukiamini sana ishu za ushirikina ata ukijikwaa unahisi umerogwa.
Ni hatari Sana.Kuna watu huwaambii kitu kuhusu ushirikina
Yaani maendeleo yako hata kama umekusanya hela zako kwa miaka 20 halafu ukafungua biashara kubwa watasema ni ndagu
Itakuwaje kaibuka tu ghafla na kuwa na duka kubwa hivyo
Kuna watu wana akili za kimasikini sana
Ni kweli kabisa wengi wanaamini huu ujinga na wajinga wanaibiwa hela zao na kuchonganishwa mpaka na wazazi wao au ndugu kisa mganga kamwambia umelogwa na flani
Tanzania kuna popo bawa, sasa hawa sijui wakoje😀hao popo nawajua ila hawapo tanzania
Tanzania kuna popo bawa, sasa hawa sijui wakoje😀hao popo nawajua ila hawapo tanzania
hama,hapo kuna jni maimuna!!Wakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Nilipata majibu kupitia maombi.hukupata majibu had leo
Walichokuwa wanakitaka kwako wameshakipata. Ni huo WASIWASI.Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
etiiiWalichokuwa wanakitaka kwako wameshakipata. Ni huo WASIWASI.
Umeshakuwa ndani ya 18 zao sasa subiri kichapo.
Cha kufanya
Acha kuogopa na kuwa na wasiwasi. Wanakutisha wakuroge. Amini wameshindwa na hayo ni mazingaombwe tu.
okNilipata majibu kupitia maombi.
Hekima ya Mungu ikaniongoza kuchukua hatua