Lazima kuwe na damu puani/mdomoni, lzm ataamka damu inapotoka.Ni ugonjwa mpya hospitali hauna tiba na haufahamiki sana sitaki kueleza hapa mambo mengine haya ni very sensitive kuyaelezea ila elewa huo ni ugonjwa wala hajalalia mbu alieshiba damu, in short ni ugonjwa unaoshambulia koo na mapafu nahisi mtu anatokwa na damu usiku akiamka asubuhi anakuta damu kwenye shuka ila hajui damu zimemtoka wapi
Damu inayotoka ndani kwenye mapafu/ Koo, itapitia puani au mdomoni.Hauoni inapotokea unakuta damu tu ebwana km hauamini basi baki hivyo hivyo ni damu na majimaji huamini basi subiri mpaka zamu yako ifike
Mimi niliwahi kukuta damu matone mabichi bafuni kwangu.Wakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Basi uwe mwangalifu na mambo ya kishirikina kwani yapo.mwanaume
unafikiria kirahis sanaUmepiga nyagi mwsho wa siku umelala bila kushusha net...mbu nao wakajichanganya kunywa damu yenye koktail wamalewa nawe ukawalalia...hamna uchawi hapo
sawaBasi uwe mwangalifu na mambo ya kishirikina kwani yapo.
hukupata majibu had leoMimi niliwahi kukuta damu matone mabichi bafuni kwangu.
Nilisali nikakemea na maisha yakaendelea
Haujahumia popote jua ni kunguni hao wanafataga maskini na vijana wachafuWakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Huu uzi bila comment ya Mshana Jr ni batili
Amesubiri sana kuona jibu hili maana amesema yuko Kigoma hapo tayari nilijua anawaza niniUsije ukafikiria kuna mambo ya kishirikina hapana, chunguza vizuri kutakuwa kuna mdudu ulimlalia.
Kweli kabisa, maana ukiamini sana ishu za ushirikina ata ukijikwaa unahisi umerogwa.Amesubiri sana kuona jibu hili maana amesema yuko Kigoma hapo tayari nilijua anawaza nini
Ila watu naona wanaanza kujielewa kuhusu ushirikina
Nimefurahi kuona wengi wanatoa majibu tofauti na uchawi hii inaashiria mema kwa nchi
Kuna popo ambao huwa na tabia ya kunyonya damu wanyama au binadamu. Hivyo angalia kwamba hawapati nafasi ya kuingia unapolala! Tumia net.Wakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
hao popo nawajua ila hawapo tanzaniaKuna popo ambao huwa na tabia ya kunyonya damu wanyama au binadamu. Hivyo angalia kwamba hawapati nafasi ya kuingia unapolala! Tumia net.
Hao popo, wanaitwa vampire bats, wanapokunyonya damu wala hutajua. Na unaweza usipaone walipokunyonya damu, ila wanapokunyonya kuna damu itadondoka. Ni nadra sana kuwakuta sehemu zetu hizi lakini inawezekana. Na kama amekunyonya atarudi tena.
Fanya mpango kama unaweza kupata video yao, ili uwatarrifu watafiti uwepo wa vampire bats eneo lako.
Pia kuna panya wanaweza kukutafuna usiku, lakini ungeona kidonda.