mbona hekari ni chacheHabar ya leo
Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.
Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.
Zipo heka 40
View attachment 3149500
S
Nimeona mikorosho kadhaa itigi na maeneo ya kongwaHabar ya leo
Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.
Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.
Zipo heka 40
View attachment 3149500
S
Kwani kwani kila mtu amekuambiwa anataka kutjirika kupitia hizo kazi?Watu wanaosisitiza kazi utadhani wao wametajirika na hizo kazi.
Inategemea kama ni UALIMU usiache kazi mpatie Mkuu wako ten ya vocha we mbele au mtafutie mwalimu wa kujitolea mpatie kilo we ingia mitini we sasi safi au sioHabar ya leo
Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali.
Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza mengi.
Zipo heka 40
View attachment 3149500
S