Nimeamua kujilipua kwenye kilimo, nimeandaa shamba la heka tatu za tikiti na nimepanda

Nimeamua kujilipua kwenye kilimo, nimeandaa shamba la heka tatu za tikiti na nimepanda

Una mtaji kiasi gani,?
Kama mtaji ni wa kudunduliza na hujawahi kulima kisha ukaanza na heka tatu, elimu yako ya chuo haijakusaidia, unafanya venture kwa kusukumwa na mizuka biashara ukiziendea kwa mizuka unakula za uso tu
Ungeanza na heka 1 au 2 kujifunzia makosa yako
Oh thanks my sister for ur concern lakn kuhusu mtaji wa kuendesha hapana shida

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
 
Mmeahamia mashambani kupiga deal eenh ngoja mwenye chuki ajue kama hajayataifisha mashamba yenu...
 
Ok mkuu nashukuru sana kwa comment yako hata hivyo cost nineshindwa kuiweka kwa sabab project haijafikia mwisho ,wakat natoa mrejesho ntaweka na cost but mpaka sasa namshukur MUNGU sana maana cost niliyotumia mpaka sasa sio kubwa
Nimekodisha shamba kwa30,000Tshs Kwa kila hekar sasa Kwa heka tatu ni 90,000Tshs. Nimelimiwa Kwa sheli Za ng"ombe Kwa 10,000Tshs per hear,vibarua ni cheap sana hk nilikolimia.Nilinunua mbegu Za kisasa aina ya kingsuger ambayo 500gm nilipanda hekar moja na nusu Kwa hiyo utaona hekar tat nilinunua gram 1000. Gharama ya mafuta kwa maana kumwagilia nime budget lak6 hadi kuvuna na ninaona haitaisha yote, gharama zingine Kama kununua viuatilifu I mean madawa pamoja na mbolea kama NPK sio kubwa unakuta dawa chupa inauzwa elf 5, mbolea kilo moja elf 1. Kuhusu soko lipo la uhakika huku kwet sa iv tikit hazipo za kutosha wauzaj wanalazika kufata mikoa jiran Kwa gharama kubwa hadi sasa ninawateja watatu ambao kila mmoja anajinadi kuyachukua yote. Pia nimeongea na watu wa kiwanda flan ivi wao wanasema nikifikisha angalau tani 10 ambapo Kama hekar mbili zimetuzwa vizur zinafikisha wao wataijia mzigo shamban

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
umelima mkoa gani mkuu
 
Hongera sana kijana,hata mimi ndo niko kwenye hatua za kwanza kabisa za kuandaa shamba ila nategemea kulima kama hekari moja kwa kuanza ili nipate uzoefu maana huku kwetu hayo matunda ni adimu na watu hawaamini kama huku yanastawi,tuendelee kupeana taarifa pale tutakapofikia,asante.
 
Pamoja na kuambiwa wenzio imewatia hasara msimu ulopita lakin kwako bado
 
Kiongoz mbona umeanza na eneo kubwa hvyo......
Binafsi nimeanza na heka moja nafanya majaribio kwanza nione mbivu na mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
hatulimi kwa kujaribu wala kwa mazoea... Uthubutu ndio silaha ktk kila jambo unalo litaka liwe... Kila la kheri bro... wewe ni mshindi ktk safari yako... hata ukipata sifuri ni umefanikiwa kwa kuthubutu

wapo wengi walianza kufanya biashara na wakapata hasara hivyo hasara ni sehemu ya biashara.... kama hutaki hasara kaa na pesa zako mfukoni usiziweke ktk mzunguko kwa kuofia kupata hasara

ukipata mrejesho hasi ndipo sehemu ya kujifunza ili usirudie pale ulipokuwa...
 
Una mtaji kiasi gani,?
Kama mtaji ni wa kudunduliza na hujawahi kulima kisha ukaanza na heka tatu, elimu yako ya chuo haijakusaidia, unafanya venture kwa kusukumwa na mizuka biashara ukiziendea kwa mizuka unakula za uso tu
Ungeanza na heka 1 au 2 kujifunzia makosa yako
Swali kwako, ni kwanini unaona hizi fikra zako ni sahihi mpaka unafikia hatua ya kusema elimu yake haijamsaidia?

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Pambana mwanaume na huu ndio wakati muafaka wa kufanya kilimo cha matikiti maji kwa maana wenye ubavu ni wachache na upatikanaji sokoni umepungua kwa hiyo suala la soko usiwaze kabisa!

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Swali kwako, ni kwanini unaona hizi fikra zako ni sahihi mpaka unafikia hatua ya kusema elimu yake haijamsaidia?

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Mbona nimetoa sababu hapo tayari, nimesema kama mtaji wake wa fedha ni limited sio smart ku venture zote kwenye kitu hajawahi fanya...
 
Usitusahau ukifika kwa babako!!! Mwaka jana nilianzisha biasha kwa gharama kama 28M hivi na malengo yangu pia prediction nilijua mpaka September mwaka huu nitakuwa naingiza 7 to 8M kwa mwezi.... Pamoja na jitihada na kutumia wataalam sitapata hata shiringi mwaka huu yaani ikibidi labda march 2018. Nikushauri usimsahau yule mhenga aliyesema "Jitihada haiondoi kudura" endelea kufanya kazi na kumuomba mwenye dunia yake
 
Habari wana jamvi Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 24.

Sasa nimeamua kuanza kilimo baada ya changamoto nilizikumbana nazo baada ya kutoka chuoni.

Nimeandaa shamba la hekar tatu ambalo lina mashimo zaidi ya elf nne 4000, Nimepanda mbegu mbili kila shimo ambapo ntakuwa na miche elf nane 8000, Kila mche uwe na matunda mawili inamaana ntakuwa na matunda elf 16.
kama nikiyatunza vizur ntapata 1500tsh kila tunda kwa hiyo matunda 16000 mara elf moja mia tano ntapata more than 28m.
Hata kama ntauza kwa 1000tsh ntakuwa na 16m ,

Ntaleta mrejesho mwezi wa tisa,

tutakianeni Khmer.

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
unasema utapata 16m (kiwango cha chini), utatumia mtaji kiasi gan? umefanya reseach muda wa kuvuna sokoni kutakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom