Nimeamua kujilipua kwenye kilimo, nimeandaa shamba la heka tatu za tikiti na nimepanda

Nimeamua kujilipua kwenye kilimo, nimeandaa shamba la heka tatu za tikiti na nimepanda

Ushafanya utafiti wa soko? Cost of production vepe? Mana naona hesabu zako zimeegemea upande mmoja tu wa mzani a good and clever entrepreneur must know how to balance the sheets! Nakutakia kilimo chema mkuu!

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Haya sasa wasomi wameanza mambo Yao. Wewe unalima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una mtaji kiasi gani,?
Kama mtaji ni wa kudunduliza na hujawahi kulima kisha ukaanza na heka tatu, elimu yako ya chuo haijakusaidia, unafanya venture kwa kusukumwa na mizuka biashara ukiziendea kwa mizuka unakula za uso tu
Ungeanza na heka 1 au 2 kujifunzia makosa yako
Mwingine huyo. Nyie wajuaji bhana. Sasa atajifunza vipi bila kufanya makosa? Hata kama angeanza na heka kumi. Mpe ushauri productive na positive, mwache ajifunze kupitia makosa atakayofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok mkuu nashukuru sana kwa comment yako hata hivyo cost nineshindwa kuiweka kwa sabab project haijafikia mwisho ,wakat natoa mrejesho ntaweka na cost but mpaka sasa namshukur MUNGU sana maana cost niliyotumia mpaka sasa sio kubwa
Nimekodisha shamba kwa30,000Tshs Kwa kila hekar sasa Kwa heka tatu ni 90,000Tshs. Nimelimiwa Kwa sheli Za ng"ombe Kwa 10,000Tshs per hear,vibarua ni cheap sana hk nilikolimia.Nilinunua mbegu Za kisasa aina ya kingsuger ambayo 500gm nilipanda hekar moja na nusu Kwa hiyo utaona hekar tat nilinunua gram 1000. Gharama ya mafuta kwa maana kumwagilia nime budget lak6 hadi kuvuna na ninaona haitaisha yote, gharama zingine Kama kununua viuatilifu I mean madawa pamoja na mbolea kama NPK sio kubwa unakuta dawa chupa inauzwa elf 5, mbolea kilo moja elf 1. Kuhusu soko lipo la uhakika huku kwet sa iv tikit hazipo za kutosha wauzaj wanalazika kufata mikoa jiran Kwa gharama kubwa hadi sasa ninawateja watatu ambao kila mmoja anajinadi kuyachukua yote. Pia nimeongea na watu wa kiwanda flan ivi wao wanasema nikifikisha angalau tani 10 ambapo Kama hekar mbili zimetuzwa vizur zinafikisha wao wataijia mzigo shamban

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
Asante Mkuu. Mwenyezi Mungu akutangulie. Big up

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madalali wataanza kuutafuta sasa hivi. Wapenda kula vya kitonga. Kazi afanye mwingine wao wajidai ndio wajuzi wa kuuza.
 
Mwingine huyo. Nyie wajuaji bhana. Sasa atajifunza vipi bila kufanya makosa? Hata kama angeanza na heka kumi. Mpe ushauri productive na positive, mwache ajifunze kupitia makosa atakayofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
nimemuuliza kama mtaji extra zaidi ya huo wa heka tatu, akaniambia ok, that's good
Angekua na mtaji wa eka tatu tu kisha akalima heka tatu, hiyo ni problem, maana hujui kitaendaje hicho kilimo ukizingatia ndio anaanza, ukiwa mjasiriamali kuna margin flani unatakiwa uweke kama insurance, ili mambo yakienda tofauti unaweza ukaingilia na kuokoa kwa wepesi, au kuanza tena ukiwa umejifunza tayari..
 
Yaani kunaviumbe wajuaji mpaka wanakera. Very stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wasomi wa bongo hasa wa miaka hii ya Leo ni watu wa ovyo sana na ni wa kupuuza.

Wasomi wengi wa bongo ni wavivu,waoga,wajuaji na ni wajinga pia.

Ukimchukua msomi wa bongo na msomi wa Kenya ambao wako level sawa kimaisha na hawana ajira baada ya miaka miwili msomi wa bongo utamkuta yuko pale pale anaomba hela ya nauli wakati huo wa Kenya atakuwa hata anaendesha NGO yake mwenyewe.

Huyo niliyemquote ni mmoja wapo ya wapuuzi ambao wanastahili kupuuzwa kwenye hili jukwaa.



sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Mkuu wasomi wa bongo hasa wa miaka hii ya Leo ni watu wa ovyo sana na ni wa kupuuza.

Wasomi wengi wa bongo ni wavivu,waoga,wajuaji na ni wajinga pia.

Ukimchukua msomi wa bongo na msomi wa Kenya ambao wako level sawa kimaisha na hawana ajira baada ya miaka miwili msomi wa bongo utamkuta yuko pale pale anaomba hela ya nauli wakati huo wa Kenya atakuwa hata anaendesha NGO yake mwenyewe.

Huyo niliyemquote ni mmoja wapo ya wapuuzi ambao wanastahili kupuuzwa kwenye hili jukwaa.



sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Nimekuelewa Sana Mkuu. TZ tunafundishwa kufanya siasa, wakati wenzetu wanafunfishwa kuishi Kwa kutumia elimu waliyopata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stupid ni mtu anatoa povu kwa ushauri simple tu, kuweka provision kwa ajili ya matokeo hasi, beyond stupid
Vyovyote. Ungetumia Lugha nzuri sawa. Ume act kama ni mtu unajuuuuuua. Next time kuwa na staha na maisha ya watu. Usijione wewe ndio unajua kila kitu. Pia wape wenzio nafasi ya kujifunza. Toa ushauri wako lakini wenye mlengo wa kumtia moyo na sio kumuongezea woga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyovyote. Ungetumia Lugha nzuri sawa. Ume act kama ni mtu unajuuuuuua. Next time kuwa na staha na maisha ya watu. Usijione wewe ndio unajua kila kitu. Pia wape wenzio nafasi ya kujifunza. Toa ushauri wako lakini wenye mlengo wa kumtia moyo na sio kumuongezea woga.

Sent using Jamii Forums mobile app
You seem more concerned with a message not directed to you, why is that?
 
Ok mkuu nashukuru sana kwa comment yako hata hivyo cost nineshindwa kuiweka kwa sabab project haijafikia mwisho ,wakat natoa mrejesho ntaweka na cost but mpaka sasa namshukur MUNGU sana maana cost niliyotumia mpaka sasa sio kubwa
Nimekodisha shamba kwa30,000Tshs Kwa kila hekar sasa Kwa heka tatu ni 90,000Tshs. Nimelimiwa Kwa sheli Za ng"ombe Kwa 10,000Tshs per hear,vibarua ni cheap sana hk nilikolimia.Nilinunua mbegu Za kisasa aina ya kingsuger ambayo 500gm nilipanda hekar moja na nusu Kwa hiyo utaona hekar tat nilinunua gram 1000. Gharama ya mafuta kwa maana kumwagilia nime budget lak6 hadi kuvuna na ninaona haitaisha yote, gharama zingine Kama kununua viuatilifu I mean madawa pamoja na mbolea kama NPK sio kubwa unakuta dawa chupa inauzwa elf 5, mbolea kilo moja elf 1. Kuhusu soko lipo la uhakika huku kwet sa iv tikit hazipo za kutosha wauzaj wanalazika kufata mikoa jiran Kwa gharama kubwa hadi sasa ninawateja watatu ambao kila mmoja anajinadi kuyachukua yote. Pia nimeongea na watu wa kiwanda flan ivi wao wanasema nikifikisha angalau tani 10 ambapo Kama hekar mbili zimetuzwa vizur zinafikisha wao wataijia mzigo shamban

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
Mkuu wapi huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wana Jf ok nilikuwa shamban hko hata network haipo vizur ,ok nimeona maoni yenu na maswali yenu pia yote ni mazur na yanalengo moja la kujikwamua kutoka point moja hadi nyingine ,Kiukwel changamoto ni zipo kwenye kilimo lakini changamoto hizo haziwez nifanya(kunifanya) nikate tamaa never ever maana mimi mpaka sasa hivi naona nimechelewa am 24yrs now with nothing than education that I graduated, kitu ambacho siwezi nkawa proud of , Sasa kama nimechelewa natakiwa kukimbia pale ambapo watu wengine wanatembea. Oh karibu sana huku ardhi ipo unakodi kwa bei ndogo tu yaani 30k up to 50k Kwa msim mashamba yapo. Huu nimwanzo tu sasa hivi naanda pia shamba la passion hekari moja naotesha miche kwenye viriba zen mwez wa 10 napanda na hii project itakuwa tayar ya watermelon .hekar moja ya passion will make me a millionaire baada ya miez 9 hadi 14 stay turned

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom