Ahsante sana mkuu ushaur wako naufanyia kaziKila la kheri mkuu. Usisahau kuweka mbolea, kuwasiliana na wataalamu wa kilimo pamoja na kuwa karibu yakianza kukua karibia na kuvuna.
Oh thanks my sister for ur concern lakn kuhusu mtaji wa kuendesha hapana shidaUna mtaji kiasi gani,?
Kama mtaji ni wa kudunduliza na hujawahi kulima kisha ukaanza na heka tatu, elimu yako ya chuo haijakusaidia, unafanya venture kwa kusukumwa na mizuka biashara ukiziendea kwa mizuka unakula za uso tu
Ungeanza na heka 1 au 2 kujifunzia makosa yako
Yeah lazima kielewekeSonga mbele sirudi nyuma!
umelima mkoa gani mkuuOk mkuu nashukuru sana kwa comment yako hata hivyo cost nineshindwa kuiweka kwa sabab project haijafikia mwisho ,wakat natoa mrejesho ntaweka na cost but mpaka sasa namshukur MUNGU sana maana cost niliyotumia mpaka sasa sio kubwa
Nimekodisha shamba kwa30,000Tshs Kwa kila hekar sasa Kwa heka tatu ni 90,000Tshs. Nimelimiwa Kwa sheli Za ng"ombe Kwa 10,000Tshs per hear,vibarua ni cheap sana hk nilikolimia.Nilinunua mbegu Za kisasa aina ya kingsuger ambayo 500gm nilipanda hekar moja na nusu Kwa hiyo utaona hekar tat nilinunua gram 1000. Gharama ya mafuta kwa maana kumwagilia nime budget lak6 hadi kuvuna na ninaona haitaisha yote, gharama zingine Kama kununua viuatilifu I mean madawa pamoja na mbolea kama NPK sio kubwa unakuta dawa chupa inauzwa elf 5, mbolea kilo moja elf 1. Kuhusu soko lipo la uhakika huku kwet sa iv tikit hazipo za kutosha wauzaj wanalazika kufata mikoa jiran Kwa gharama kubwa hadi sasa ninawateja watatu ambao kila mmoja anajinadi kuyachukua yote. Pia nimeongea na watu wa kiwanda flan ivi wao wanasema nikifikisha angalau tani 10 ambapo Kama hekar mbili zimetuzwa vizur zinafikisha wao wataijia mzigo shamban
Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
umelima mkoa gani mkuu
hatulimi kwa kujaribu wala kwa mazoea... Uthubutu ndio silaha ktk kila jambo unalo litaka liwe... Kila la kheri bro... wewe ni mshindi ktk safari yako... hata ukipata sifuri ni umefanikiwa kwa kuthubutuKiongoz mbona umeanza na eneo kubwa hvyo......
Binafsi nimeanza na heka moja nafanya majaribio kwanza nione mbivu na mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali kwako, ni kwanini unaona hizi fikra zako ni sahihi mpaka unafikia hatua ya kusema elimu yake haijamsaidia?Una mtaji kiasi gani,?
Kama mtaji ni wa kudunduliza na hujawahi kulima kisha ukaanza na heka tatu, elimu yako ya chuo haijakusaidia, unafanya venture kwa kusukumwa na mizuka biashara ukiziendea kwa mizuka unakula za uso tu
Ungeanza na heka 1 au 2 kujifunzia makosa yako
Mbona nimetoa sababu hapo tayari, nimesema kama mtaji wake wa fedha ni limited sio smart ku venture zote kwenye kitu hajawahi fanya...Swali kwako, ni kwanini unaona hizi fikra zako ni sahihi mpaka unafikia hatua ya kusema elimu yake haijamsaidia?
sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
unasema utapata 16m (kiwango cha chini), utatumia mtaji kiasi gan? umefanya reseach muda wa kuvuna sokoni kutakuwaje?Habari wana jamvi Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 24.
Sasa nimeamua kuanza kilimo baada ya changamoto nilizikumbana nazo baada ya kutoka chuoni.
Nimeandaa shamba la hekar tatu ambalo lina mashimo zaidi ya elf nne 4000, Nimepanda mbegu mbili kila shimo ambapo ntakuwa na miche elf nane 8000, Kila mche uwe na matunda mawili inamaana ntakuwa na matunda elf 16.
kama nikiyatunza vizur ntapata 1500tsh kila tunda kwa hiyo matunda 16000 mara elf moja mia tano ntapata more than 28m.
Hata kama ntauza kwa 1000tsh ntakuwa na 16m ,
Ntaleta mrejesho mwezi wa tisa,
tutakianeni Khmer.
Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app