King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Erick Ngambeki katika Utopolo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erick Ngambeki katika Utopolo wake.
Sasa kwenye siasa kusema utamnyoa kunashida gani? Mama lazima apewe changamoto anaendesha taifa sio kigango cha mtakatf Teresa!Unahaki ya kujitoa Mdude si ndio yele aliyemwambia mama yetu kipenzi kuwa ATAMNYOA KAMA ALIVYOMNYOA JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]chadema ya 2010 ukailinganishe na utumbo wa akina mdude!!!CHADEMA walijitoa watu wa muhimu sana na bado imebaki imara zaidi ya jana
Kimsboy:Vipi umeogopa kinyolewa na wewe.tulia unyolewe vizuriWakuu
Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa
Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu
Sikutarajia kama cdm ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa chadema
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa
mama ni mama, akianza kuongea lugha za mwendazake kwa vitendo msijetafuta mchawi.Sasa kwenye siasa kusema utamnyoa kunashida gani? Mama lazima apewe changamoto anaendesha taifa sio kigango cha mtakatf Teresa!
Atapewa lugha ngumu,atachorwa,atasifiwa,atazomewa na anapaswa kuyastahimili hii nchi tusilazimishane wooote tutumie busara moja zipo busara mbalimbali katika udai uwajibikaji!! Kunyolewa sio tusi inategemeana na akili zamtu
[emoji16][emoji16][emoji16]chadema ya 2010 ukailinganishe na utumbo wa akina mdude!!!
kinachoniuma hakuna mtu timamu ndani ya chama aliyethubutu kukemea upumbavu wa huyu mlemavu wa akili,ili chama kibaki sehemu salama.
nikemeeje wakati naunga mkono hiyo kauli!!!!Tuonyeshe mahali ulipokemea Magufuli akisema watu wabaki na mavi yao nyumbani.
mama ni mama,akianza kuongea lugha za mwendazake kwa vitendo msijetafuta mchawi.
ndio maana sisi huwa tunawaita nyinyi ni wanafiki,maana ukweli ni kwamba hamjui kipi mnataka.
sasa hivi nina uhakika mama anajutia maamuzi ya kumwachia huyo pangahewa.
nikemeeje wakati naunga mkono hiyo kauli!!!!
kama mbowe na kondoo zake wote wanaunga mkono hilo ni sawa tu wakikaa kimya.
Kaazishe chama chakoWakuu
Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa
Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu
Sikutarajia kama cdm ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa chadema
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa
Kwahiyo mama anasikitishwa na mambo madogo ya lugha za kina Mdude, lakini hasikitishwi na waliojiunganishia bomba la mafuta? Badala ya kumtaka mama aonyeshe uwajibikaji kwa mambo ya msingi, mnamjaza ajikite kwenye lugha za wanaharakati waliohujumiwa.
mimi nimerusha gizani,aliyetoka analia ndio mhusika.Najua jiwe langu limetua sehemu sahihi.
kama huoni shida ya mdude kwenye move zake basi nawewe una shida sehemu.Jamani tuwe na ubinadamu. Kauli ya Mdude ina shida gani?
He has been through a lot. He is also a human. Hebu tupunguze chuki kwake.
Mimi ni team Magufuli, lakini kwa hili hapana. Tujiwekeni kwenye viatu vyake kabla ya kuhukumu, tusifuate mkumbo.
Akitukana magufuli au kheri james unakuwa uzarendoKauli ya Mdude ni ya kipumbavu hakuna mwenye akili anaweza kukubaliana nayo. Watanzania tunahitaji katiba mpya tena sana! Ila tunaweza kutoa kauli za busara na tukaridhiana kupata hiyo katiba kwa amani tu!!
Sioni kama mama Samia ni mtu katili kwamba asitupatie tunachohitaji! Mama ni mwelewa na pengine hata yeye mwenyewe anaona umuhimu wake!
Tudai katiba mpya siyo kwa matusi ila kwa hekima! Hata watanzania watatuelewa! Ila tukianza kutukana na kejele wenye busara watawaona kama wehu,
Busara ni kitu kidogo, CDM kama wanamtaka sana mdude wamkalishe chini wamfunze namna ya kuongea!
Ninafikiri shida ipo kwa wakatili, msiojali hisia za wengine na wenye roho mbaya na chuki kama wewe.kama huoni shida ya mdude kwenye move zake basi nawewe una shida sehemu.
kila mtu akiheshimiwa kwa hisia zake,kuna wajinga watakuja kukutongoza na ndevu zako wakikwambia unavutia sana kama mtoto wa kike.Ninafikiri shida ipo kwa wakatili, msiojali hisia za wengine na wenye roho mbaya na chuki kama wewe.