Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

huyu kijana kakosea sana yapaswa aombe msamaha kwa kutenda kosa lake

huyu Rais mamaSSH hana maneno machafu kabisa kumtamkia maneno machafu ni kutomtendea haki
Asikari wetu akipiga risasi tatu akakukosa huyo sio asikari wetu

Kuna mtu anasema eti kapigwa risasi na askari wetu Huyo ni muongo na anachafua askari wetu.

Hii sio kauli mbaya je angekaa kimya bila kuongelea hii issue angepungukiwa na nini? Rais sio malaika na yeye ni sehemu ya mfumo mbovu uliopo!!!
 
Wakuu

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu

Sikutarajia kama cdm ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa chadema

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa
Tumia muda mwingi kumuabudu Mungu na sio binadamu kama unavyofanya
 
kila mtu akiheshimiwa kwa hisia zake,kuna wajinga watakuja kukutongoza na ndevu zako wakikwambia unavutia sana kama mtoto wa kike.

duniani kila jambo tunalifanya kwa kitu tunaita self control,huwezi amua fanya jambo lolote tu kisa una uwezo huo,hata kama hakuna wa kukufanya kitu.
tuambie, ni tusi gani alilotukana?
 
Mkuu ungetupa uthibitisho ni lini uliingia CDM na sasa umeamua kutoka.

Anyway Mdude asamehewe bure na apimwe akili huenda hayupo sawa Upstarirs
 
Akitukana magufuli au kheri james unakuwa uzarendo

Hapo ndo unajua mwenye busara na kichwa nazi nani! Haina maana mtu akikutukana na wewe umtukane!

Ukikutana na kichaa anatukana kwa sababu anatukana na wewe unaanza kutukana. Wenye busara wanamwacha kichaa aende zake au wampeleke mirembe au watumie njia mbadala kumnyamazisha na siyo kuendelea kutukanana mnakuwa Taifa la machizi!!

Kwa hiyo wenye busara ndani ya chadema wamfunde Mdude namna ya kuongea siyo kuongea upambavu!! Atoa hoja ili zionekane hoja zina uzito gani wa kukubaliwa au kukataliwa!

However, tunahitaji katiba mpya kwa Taifa letu!! Katiba tuliyo nayo imechoka sana kwa kizazi tulichopo!!
 
Uliingia chadema kumfata mdude? Unakoenda unamfata mwanaume gani mwingine? Are you a man? Pole unautoto ubongoni! Kimsingi kukatalia katiba ni dharau kubwa sana kwa watz,watu wameteswa,wamepotea,wameuma kwa katiba kushindwa kuweka misingi bora ya kistaarabu katika taifa! MTU yeyote anayezuia katiba hastahili heshima kabisa
Ni jambo gani unalohitaji liwepo kwemye katiba mpya?
 
Wakuu

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu

Sikutarajia kama cdm ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa chadema

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa
Pumbavu! mbona hukujitoa ccm akina Kheri James walipokuwa Wana harisha utumbo
 
Hapo ndo unajua mwenye busara na kichwa nazi nani! Haina maana mtu akikutukana na wewe umtukane!

Ukikutana na kichaa anatukana kwa sababu anatukana na wewe unaanza kutukana. Wenye busara wanamwacha kichaa aende zake au wampeleke mirembe au watumie njia mbadala kumnyamazisha na siyo kuendelea kutukanana mnakuwa Taifa la machizi!!

Kwa hiyo wenye busara ndani ya chadema wamfunde Mdude namna ya kuongea siyo kuongea upambavu!! Atoa hoja ili zionekane hoja zina uzito gani wa kukubaliwa au kukataliwa!

However, tunahitaji katiba mpya kwa Taifa letu!! Katiba tuliyo nayo imechoka sana kwa kizazi tulichopo!!
Basi kamfufueni magufuli mmfunde na kheri James kwanza ndiyo mje kuongea
 
Kauli ya Mdude ni ya kipumbavu hakuna mwenye akili anaweza kukubaliana nayo. Watanzania tunahitaji katiba mpya tena sana! Ila tunaweza kutoa kauli za busara na tukaridhiana kupata hiyo katiba kwa amani tu!!

Sioni kama mama Samia ni mtu katili kwamba asitupatie tunachohitaji! Mama ni mwelewa na pengine hata yeye mwenyewe anaona umuhimu wake!

Tudai katiba mpya siyo kwa matusi ila kwa hekima! Hata watanzania watatuelewa! Ila tukianza kutukana na kejele wenye busara watawaona kama wehu,

Busara ni kitu kidogo, CDM kama wanamtaka sana mdude wamkalishe chini wamfunze namna ya kuongea!
Mbona hamkumkemea JIWE na genge lake la UV-CCM?
 
Kauli ya Mdude ni ya kipumbavu hakuna mwenye akili anaweza kukubaliana nayo. Watanzania tunahitaji katiba mpya tena sana! Ila tunaweza kutoa kauli za busara na tukaridhiana kupata hiyo katiba kwa amani tu!!

Sioni kama mama Samia ni mtu katili kwamba asitupatie tunachohitaji! Mama ni mwelewa na pengine hata yeye mwenyewe anaona umuhimu wake!

Tudai katiba mpya siyo kwa matusi ila kwa hekima! Hata watanzania watatuelewa! Ila tukianza kutukana na kejele wenye busara watawaona kama wehu,

Busara ni kitu kidogo, CDM kama wanamtaka sana mdude wamkalishe chini wamfunze namna ya kuongea!
Mataga mmepata heekima baada ya magufuli kufa?
Kauli ya mdude ni ya kawaida Sana kwa mwanasiasa
 
Siasa za sasa hivi hazina mvuto kabisa,hebu eti fikiria Halima Mdee & Bulaya kwa sasa wanatakiwa kutoa matamshi ya kumkera basha wao wa zamani bwana Mbowe
 
Sasa chuki zote hizo za nini?
chuki kwa nani!!!

au nayeye kamropokea samia vile sababu anamchukia!!!
lakini kwake mnaita kuwasilisha maoni ila wengine ni chuki!!!

nyie watu aisee!!!
 
Back
Top Bottom