Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

Wakuu,

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.

Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Huna akili na wewe kenge nikuwa chadema

Samia alivomkejeli Lisu alivyopigwa risasi?

Yule uvccm m/wilaya Ubungo alivyotukana kuwa ukimpinga meko atazaa na mke WaPo je?
Kama hamwezi sasa nendeni mkauze ice cream.

lazima tuwapige spana mwanzo mwisho.
 
Huyu kijana kakosea sana yapaswa aombe msamaha kwa kutenda kosa lake.

Huyu Rais mama SSH hana maneno machafu kabisa kumtamkia maneno machafu ni kutomtendea haki.
Wewe umepigwa upofu... maccm wanaposema watawakata kata wapinzani na kuwatupa kule..
Wanapoua na kutishia haki ya kuishi mbona hatuwaoni wala kuwasikia mkikemea...
Huyo huyo SSH alinukuliwa akiwasifu walenga shabaha wa serikali ya ccm kuwa wapo vizuri kwenye majukumu ya kulenga na kuua!
 
Huna akili na wewe kenge nikuwa chadema
Samia alivgomkejeli lisu alivyopigwa risasi?
Yule uvccm m/wilaya ubungo alivyotukana kuwa ukimpinga meko atazaa na mke WaPo je?
Kama hamwezi sasa nendeni mkauze ice cream.
lazima tuwapige spana mwanzo mwisho. Bata ww
Mama amekosea sana kumtoa huyu kijana.
 
Kwani mdude anatofauti gani na akina lusinde, lijualikali, msukuma na yule bwana aliyekua mbunge wa ulanga nadhani
Kwahiyo ndo unataka upinzani wafanane na maccm?
 
mama ni mama,akianza kuongea lugha za mwendazake kwa vitendo msijetafuta mchawi.

ndio maana sisi huwa tunawaita nyinyi ni wanafiki,maana ukweli ni kwamba hamjui kipi mnataka.

sasa hivi nina uhakika mama anajutia maamuzi ya kumwachia huyo pangahewa.
Wewe kwako msimamo ni kushikamana na mwanasiasa kwa lolote lile. Leo akisema maendeleo hayana chama, sawa, kesho ukisema mkichagua mpinzani sileti maendeleo, hewala!

Ndio maana uliweza kushikamana na Jiwe kikamilifu katika mikingamo yake yote hadi mwisho.
Watu wanaojitambua wanakuwa na wewe ukiongea na kufanya point. Ukizingua wanakupasha ukweli. Hawakushabikii. Huko ndio kujua unataka nini. Mama asitegemee kuungwa mkono akileta mambo ya mwendazake.
 
Miaka ya JPM uliteseka sawa. Vipi sasa hivi unaendeleaje na Mafanikio?
 
Wakuu,

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.

Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Wewe Una lako. Tangu lini Mdude akawa msemaji wa Cdm ?!.

kimsboy tunakujua kwa misimamo yako ya kiimani. Labda ndiyo maana ukajificha kwenye kivuli cha Mdude ambaye hana cheo chochote huko Cdm
 
Wewe Una lako. Tangu lini Mdude akawa msemaji wa Cdm ?!.

kimsboy tunakujua kwa misimamo yako ya kiimani. Labda ndiyo maana ukajificha kwenye kivuli cha Mdude ambaye hana cheo chochote huko Cdm
Misimamo yangu ya kiimani ina mahusiano gani na haya?
 
Wakuu,

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.

Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Zile ndoto zako za kuota umebeba maiti zilishapona??

Lini wewe uliwahi kuwa mwanachadema?? Uliacha kuondoka ccm wakati wanakata mapanga watu uje uondoke kwa sababu ya maneno tu ya Mdude mwenye stress za gereza?
 
Chama cha siasa kikishindwa uchaguzi mara 3 kinageuka kuwa cha kigaidi..

Ndiko hii saccos chadema inakoelekea
 
Kwahiyo ndo unataka upinzani wafanane na maccm?
Msitafute u MALAIKA kwa wapinzani. Tatizo ni katiba ya wananchi na Mama anaonekana kuufanyia kauzibe . Halafu wewe unadai abembelezwe !!. Vitu kama katiba, democracy, uhuru, haki nk hupiganiwa haviji kwa hisani ya mtawala
 
Huyu kijana kakosea sana yapaswa aombe msamaha kwa kutenda kosa lake.

Huyu Rais mama SSH hana maneno machafu kabisa kumtamkia maneno machafu ni kutomtendea haki.
Maneno machafu yakoje
 
Back
Top Bottom