Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 4,062
- 5,741
Hawa ndio Chadema aliowaasisi TUNDU LISSU hawajui kujibu hoja wao Matusi na kejeli ndio agenda zaoKwendraaaaaaa. Mbwa kachoka mdomo Kama kibaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio Chadema aliowaasisi TUNDU LISSU hawajui kujibu hoja wao Matusi na kejeli ndio agenda zaoKwendraaaaaaa. Mbwa kachoka mdomo Kama kibaba
Huna akili na wewe kenge nikuwa chademaWakuu,
Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.
Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.
Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Wewe umepigwa upofu... maccm wanaposema watawakata kata wapinzani na kuwatupa kule..Huyu kijana kakosea sana yapaswa aombe msamaha kwa kutenda kosa lake.
Huyu Rais mama SSH hana maneno machafu kabisa kumtamkia maneno machafu ni kutomtendea haki.
Mama amekosea sana kumtoa huyu kijana.Huna akili na wewe kenge nikuwa chadema
Samia alivgomkejeli lisu alivyopigwa risasi?
Yule uvccm m/wilaya ubungo alivyotukana kuwa ukimpinga meko atazaa na mke WaPo je?
Kama hamwezi sasa nendeni mkauze ice cream.
lazima tuwapige spana mwanzo mwisho. Bata ww
Wewe kwako msimamo ni kushikamana na mwanasiasa kwa lolote lile. Leo akisema maendeleo hayana chama, sawa, kesho ukisema mkichagua mpinzani sileti maendeleo, hewala!mama ni mama,akianza kuongea lugha za mwendazake kwa vitendo msijetafuta mchawi.
ndio maana sisi huwa tunawaita nyinyi ni wanafiki,maana ukweli ni kwamba hamjui kipi mnataka.
sasa hivi nina uhakika mama anajutia maamuzi ya kumwachia huyo pangahewa.
Wewe Una lako. Tangu lini Mdude akawa msemaji wa Cdm ?!.Wakuu,
Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.
Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.
Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Wewe umejifunika blanketi la feki ID kama sisi wengine halafu unataka mwenzako ajianike?!Emu tupigie picha ya kadi yako ya CHADEMA tuone ili tuhakiki maneno yako.
Hilo nalo la kuuliza ?!Misimamo yangu ya kiimani ina mahusiano gani na haya?
Zile ndoto zako za kuota umebeba maiti zilishapona??Wakuu,
Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.
Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.
Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Chama cha majambazi wamechanganyikiwa. Kauli na mdude ni sawa na ya mwehu ukiiweka kichwani we nawe ni mwehu tuEmu tupigie picha ya kadi yako ya CHADEMA tuone ili tuhakiki maneno yako.
Kumbe jamaa ni muongo...
Msitafute u MALAIKA kwa wapinzani. Tatizo ni katiba ya wananchi na Mama anaonekana kuufanyia kauzibe . Halafu wewe unadai abembelezwe !!. Vitu kama katiba, democracy, uhuru, haki nk hupiganiwa haviji kwa hisani ya mtawalaKwahiyo ndo unataka upinzani wafanane na maccm?
Majitu mapumbav hayo card atoe wapiEmu tupigie picha ya kadi yako ya CHADEMA tuone ili tuhakiki maneno yako.
Maneno machafu yakojeHuyu kijana kakosea sana yapaswa aombe msamaha kwa kutenda kosa lake.
Huyu Rais mama SSH hana maneno machafu kabisa kumtamkia maneno machafu ni kutomtendea haki.
Mama yako anaitwa nani?Huwezi mtukana mama kijinga vile. Shwaini kabisa mdude