Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

Unahaki ya kujitoa Mdude si ndio yele aliyemwambia mama yetu kipenzi kuwa ATAMNYOA KAMA ALIVYOMNYOA JPM



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwenye siasa kusema utamnyoa kunashida gani? Mama lazima apewe changamoto anaendesha taifa sio kigango cha mtakatf Teresa!

Atapewa lugha ngumu, atachorwa, atasifiwa, atazomewa na anapaswa kuyastahimili hii nchi tusilazimishane wooote tutumie busara moja zipo busara mbalimbali katika udai uwajibikaji!! Kunyolewa sio tusi inategemeana na akili za mtu
 
CHADEMA walijitoa watu wa muhimu sana na bado imebaki imara zaidi ya jana
[emoji16][emoji16][emoji16]chadema ya 2010 ukailinganishe na utumbo wa akina mdude!!!

kinachoniuma hakuna mtu timamu ndani ya chama aliyethubutu kukemea upumbavu wa huyu mlemavu wa akili, ili chama kibaki sehemu salama.
 
Kimsboy:Vipi umeogopa kinyolewa na wewe.tulia unyolewe vizuri
 
mama ni mama, akianza kuongea lugha za mwendazake kwa vitendo msijetafuta mchawi.

ndio maana sisi huwa tunawaita nyinyi ni wanafiki, maana ukweli ni kwamba hamjui kipi mnataka.

sasa hivi nina uhakika mama anajutia maamuzi ya kumwachia huyo pangahewa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]chadema ya 2010 ukailinganishe na utumbo wa akina mdude!!!

kinachoniuma hakuna mtu timamu ndani ya chama aliyethubutu kukemea upumbavu wa huyu mlemavu wa akili,ili chama kibaki sehemu salama.

Tuonyeshe mahali ulipokemea Magufuli akisema watu wabaki na mavi yao nyumbani.
 
mama ni mama,akianza kuongea lugha za mwendazake kwa vitendo msijetafuta mchawi.

ndio maana sisi huwa tunawaita nyinyi ni wanafiki,maana ukweli ni kwamba hamjui kipi mnataka.

sasa hivi nina uhakika mama anajutia maamuzi ya kumwachia huyo pangahewa.

Kwahiyo mama anasikitishwa na mambo madogo ya lugha za kina Mdude, lakini hasikitishwi na waliojiunganishia bomba la mafuta? Badala ya kumtaka mama aonyeshe uwajibikaji kwa mambo ya msingi, mnamjaza ajikite kwenye lugha za wanaharakati waliohujumiwa.
 
Kaazishe chama chako
 
Mama amejibu kwa maneno mazuri sana tena yenye matumaini lakini CHADEMA wameona kumbe Huyu tunaweza kumfanya lolote. Mama ana maneno yenye kuleta matumaini, wameshindwa kujiuliza kwamba, hivi Mafufuli angekuwa hai Mdude angekuwa uraiani? Akina Mbowe kesi kufutwa, tunashubudia mengi yasiyotarajiwa. Lakini CHADEMA sikio la kufa eti leo wamekuwa wababe wako tayari kwa lolote. Tunasubiri mwisho wa huo utayari, Mimi yangu macho.
 
Kwahiyo mama anasikitishwa na mambo madogo ya lugha za kina Mdude, lakini hasikitishwi na waliojiunganishia bomba la mafuta? Badala ya kumtaka mama aonyeshe uwajibikaji kwa mambo ya msingi, mnamjaza ajikite kwenye lugha za wanaharakati waliohujumiwa.

sisi tunadeal na mdude aache kichaa,maamuzi ya nini afanywe mdude kwa wakati upi anayo mama mwenyewe.
na tunafanya haya ili kuchukua tahadhali ili mama asijebadilika.

sasa kama alihujimiwa na bado anawashwa basi akitulize tu,asijezua mengine.
 
Jamani tuwe na ubinadamu. Kauli ya Mdude ina shida gani?

He has been through a lot. He is also a human. Hebu tupunguze chuki kwake.

Mimi ni team Magufuli, lakini kwa hili hapana. Tujiwekeni kwenye viatu vyake kabla ya kuhukumu, tusifuate mkumbo.
kama huoni shida ya mdude kwenye move zake basi nawewe una shida sehemu.
 
Akitukana magufuli au kheri james unakuwa uzarendo
 
kama huoni shida ya mdude kwenye move zake basi nawewe una shida sehemu.
Ninafikiri shida ipo kwa wakatili, msiojali hisia za wengine na wenye roho mbaya na chuki kama wewe.
 
Ninafikiri shida ipo kwa wakatili, msiojali hisia za wengine na wenye roho mbaya na chuki kama wewe.
kila mtu akiheshimiwa kwa hisia zake,kuna wajinga watakuja kukutongoza na ndevu zako wakikwambia unavutia sana kama mtoto wa kike.

duniani kila jambo tunalifanya kwa kitu tunaita self control,huwezi amua fanya jambo lolote tu kisa una uwezo huo,hata kama hakuna wa kukufanya kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…