Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

Wakuu,

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.

Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Hujawahi kuwa CHADEMA wewe chawa. Tupe utambulisho wako!
 
Kauli ya Mdude ni ya kipumbavu hakuna mwenye akili anaweza kukubaliana nayo. Watanzania tunahitaji katiba mpya tena sana! Ila tunaweza kutoa kauli za busara na tukaridhiana kupata hiyo katiba kwa amani tu!

Sioni kama mama Samia ni mtu katili kwamba asitupatie tunachohitaji. Mama ni mwelewa na pengine hata yeye mwenyewe anaona umuhimu wake.

Tudai katiba mpya siyo kwa matusi ila kwa hekima! Hata watanzania watatuelewa! Ila tukianza kutukana na kejele wenye busara watawaona kama wehu.

Busara ni kitu kidogo, CDM kama wanamtaka sana mdude wamkalishe chini wamfunze namna ya kuongea!
Je kusingiziwa kesi ni sawa? Acha unafiki wa kipimbi
 
Kauli ya Mdude ni ya kipumbavu hakuna mwenye akili anaweza kukubaliana nayo. Watanzania tunahitaji katiba mpya tena sana! Ila tunaweza kutoa kauli za busara na tukaridhiana kupata hiyo katiba kwa amani tu!

Sioni kama mama Samia ni mtu katili kwamba asitupatie tunachohitaji. Mama ni mwelewa na pengine hata yeye mwenyewe anaona umuhimu wake.

Tudai katiba mpya siyo kwa matusi ila kwa hekima! Hata watanzania watatuelewa! Ila tukianza kutukana na kejele wenye busara watawaona kama wehu.

Busara ni kitu kidogo, CDM kama wanamtaka sana mdude wamkalishe chini wamfunze namna ya kuongea!

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Njoo kwenye chaama langu chama lisilofungamana na upande wowote.. Kwetu nyeusi ni nyeusi tu hatuipambi kuwa ni imekoza koza imekolea, eti kisa kafanya mwenzetu, hatusemi nyeupe kuwa nyeusi rti kisa aliyefanya ni mpinzani.

Kuwa mwanachama wa chama fulani inahitaji moyo wa chuma na kujitoa ufahamu.
 
Emu tupigie picha ya kadi yako ya CHADEMA tuone ili tuhakiki maneno yako.
Acha unafiki! Muongo mkubwa wewe! No one should be bigger than the party. If so, there’s a big weakness! Unaleta za ki “Trump”. Mtu mmoja eti ndiye anayekufanya uongee hivi? As if chama ni one individual? Ndiyo maana hamjui umuhimu wa katiba mpya. You’re so much into people.
 
Bado hajaonyesha chuki lakini kuna watu wanamjaza upepo kuwa Mdude amemtusi kwa kusema "atamnyoa", hivyo wanamshawishi amuweke ndani! Sasa kusema nitakunyoa ni tusi?

Hilo neno "Nitakunyoa" sio neno zuri la kumwambia mtu..isitoshe huyo ni Raisi wake/Mwanamke, alafu linaume zima na madevu yake linamtolea maneno mabaya huyu mama! Na isitoshe mama kaonyesha huruma ya kumtoa jela, na msamaha wa faini umerudishwa(350) Ebu chukulia mfano mbunge wa ccm/Act amwambie mbowe hilo neno atajisikiaje!!

Hapo raisi yeye na huruma yake tu, kumsamehe ama kumrudisha lumande akapate adabu kidogo...


Mimi sina chama, napenda haki pande zote...
 
Kwenye Chadema wote wana akili kama Mdude ndio maana wanamtetea. Heri yako wewe uliyejitoa maana ulikuwa mamba kwenye msafara wa kenge!!!
 
...maamuzi ya nini afanywe mdude kwa wakati upi anayo mama mwenyewe.
Duh, kwa hiyo haki ya kuishi kwa Watanzania watakaomkosoa yako mikononi mwa mama! Taratibu ukweli unaanza kujulikana kuwa mhusika mkuu katika uundwaji wa jeshi la wasiojulikana alikuwa mwenyekiti wa CCM ...RIP Ben Saanane!
 
Duh, kwa hiyo haki ya kuishi kwa Watanzania watakaomkosoa yako mikononi mwa mama! Taratibu ukweli unaanza kujulikana kuwa mhusika mkuu katika uundwaji wa jeshi la wasiojulikana alikuwa mwenyekiti wa CCM ...RIP Ben Saanane!
dhamana ya rais ni kubwa mno,hata akisema tz tunaingia lockdown na umasikini huu,katuua tayari.

lakini sababu mnachagua mambo ya kutafakari mnaiona mamlaka ya rais kuwa hatari kwenye kuamua hatma ya vichaa peke yake.
 
Wakuu,

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.

Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Umefanya vizuri maana huna mwelekeo. Chama siyo Mdude. Kuna njemba mmoja alihama Kanisa Katoliki baada ya kusikia maoni ya watu kwamba Papa Francis anaunga mkono ndoa za jinsia moja. Mtakumbuka kuna vyombo vingi vya habari viliripoti sana kuhusu kauli yake alipoulizwa maoni yake kuhusu mashoga (ambao pia baadhi yao ni waumini wa Kanisa Katoliki). Huyo njemba kwa vile namfahamu akaniambia kwamba amehamia KKT kwa sababu amesikitishwa na msimamo wa Papa Francis kuhusu 'homosexuals'. Nikamwuliza ulisikia Papa mwenyewe au umesoma maoni ya watu kuhusu issue aliyoizungumza? Akasema alisikia maoni ya watu. Nikamwuliza tena, unajuaje kwamba hayo maoni ya watu ndiyo mawazo ya Papa? Akasema 'hawawezi kumsingizia'. Nikamwuliza tena, 'wewe hujawahi kusingiziwa kitu'? Akasema, 'alishawahi kusingiziwa.' Nikamwuliza tena, 'sasa ni jambo gani jipya kuhusu kusingiziwa'? Mwishowe nikwambwambia kuwa hana imani kama katika umri wake bado anajiunga na kanisa kwa sababu ya kiongozi wa kanisa na siyo imani yake kwa Mungu. Nikaongeza kwamba hata kama Papa angeunga mkono ushoga, bado siyo sababu kwangu kuacha kanisa kwa sababu hata yeye anajitahidi kutafuta wokovu kama mimi na akishindwa siyo lazima mimi nishindwe pia. Kwa hiyo, hata wewe kuondoka Chadema kwa sababu ya mtu mmoja inaonekana ulikuwa kwenye chama kwa ajili yake. Nadhani hata angepatikana na hatia akafungwa ungeondoka pia. Kwa baadaye ukitaka kujiunga tena na chama chochote, jiunge kwa kupima sera zake na siyo mwanachama gani yumo ndani ya chama hicho. Kuna watu walijiunga na Chadema kwa Sababu Lowassa alijiunga na Chadema na aliporudi CCM nao wakaondoka na kurudi CCM. Wewe hauna tofauti na wao. pole sana!
 
dhamana ya rais ni kubwa mno,hata akisema tz tunaingia lockdown na umasikini huu,katuua tayari.
lakini sababu mnachagua mambo ya kutafakari mnaiona mamlaka ya rais kuwa hatari kwenye kuamua hatma ya vichaa peke yake.
Labda kweli, wapo watu wanasubiri tu kauli ya Rais wafanye uhalifu hata ikibidi kuwateka, kuwatesa, kuwakatakata, kuwamiminia risasi na kuwapoteza wakaothubutu kumkosoa...



"Sema tu mama, tupe ruhusa tuwashughulikie," Jeshi la wasiojulikana aka UVCCM!
 
Uliingia chadema kumfata mdude? Unakoenda unamfata mwanaume gani mwingine? Are you a man? Pole unautoto ubongoni! Kimsingi kukatalia katiba ni dharau kubwa sana kwa watz, watu wameteswa, wamepotea, wameumia kwa katiba kushindwa kuweka misingi bora ya kistaarabu katika taifa! MTU yeyote anayezuia katiba hastahili heshima kabisa.
Nani amekatalia katiba na lini mama amesema hataki katiba mpya? Tatizo kuna watu wanajifanya wanauwezo wa kulazimisha mambo wakati uwezo huo hawana
 
Wakuu,

Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa.

Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu.

Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake Mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa.

Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule.

Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba.

Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata Lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"

Mimi sitaki huyu mama abadilike maana miaka 6 ya mwendazake tumeteseka sana, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu.

Mwisho kabisa nimeamua kujitoa Chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema.

Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu.

Sikutarajia kama Chadema ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa Chadema.

Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa.
Kwani ulijiunga CHADEMA kwa sababu ya Mdude ?
 
Back
Top Bottom