Nimeamua Kukisanua: Hii ndiyo sababu ya Jezi za Simba SC kutozinduliwa hadi leo

Unabwabwaja tu, rudia kusoma maelezo yangu uelewe.

Hiyo taasisi "inayojitambua" huwa haina unforeseen circumstances?

Wewe ni mjinga usie na kitu kichwani zaidi ya mitusi.
 
Mbona hapo TPA kama anahusika tena wamwisho . Au waliosoma mambo ya shipping hamtueleweshi vizur
TPA lazima ahusike, na hapo kwenye bill of loading TRA ndio wanapokuaccess ulipe kodi kiasi gani.

Kwq ninavyojuwa mimi hata huyo Fred Vunja bei unaweza kukuta hana tatizo ila inategemea kazi ya Clearing alimpa nani, kuna vijana hapa mjini hawaogopi pesa ya mtu.

Ndio maana makampuni makubwa yataendelea kudumu maana hayana longolongo ila sisi tunaotaka kuinuwana na briefcase company mwishowe haya ndio madhara yake.

Maana ieleweke ukishampa clearing agent documents mambo yote anafanya yeye na uzuri sasa hivi ni kwa control number sasa sijui what's is not happening?
 
Inasemekana hizi jezi zilikuwa na rangi za Utopolo. Zikarudishwa faster.
 
Kumbe ndo hivo mimi nikajua vinginevyo
 
Chuo Kikuu ulichosoma hakufundishwa kufanya Summarization na kuepuka Verbosity katika Somo la Communication Skills?

Ungesoma SAUT Mwanza usingekuwa Mpumbavu ( Popoma ) hivi kwani huna Hoja na unaandika Kitu kile kile kama Mwendawazimu ( Mental ) fulani hivi.

au hujasoma na Wewe ni just a Lumpen?
 
Unabwabwaja tu, rudia kusoma maelezo yangu uelewe.

Hiyo taasisi "inayojitambua" huwa haina unforeseen circumstances?

Wewe ni mjinga usie na kitu kichwani zaidi ya mitusi.
Funza ( Jiggers ) waliojazana Ubongoni mwako wameshaisha? Hebu hakikisha unawatoa Wote Kwanza ndipo uje upambane na MImi 'Brainiac' wa Kizanaki ( Mara Tanzania ), Kitutsi ( Gisenyi Rwanda ) na Kimakuwa ( Mtwara Tanzania ) sawa?
 
Kwamba Fred hawezi kulipa kodi
 
Kwamba Fred hawezi kulipa kodi
Hela atoe wapi wakati hata tu Pesa ya Kuidhamini Simba SC kama Kit Supplier alipewa na Mo Dewji Ili tu yule wa mwanzo asiwepo tena?

Acheni Kunilazimisha nitoe SIRI sawa?
 
Timu kubwa mpaka sasa haija tambulisha jezi hii ni aibu tu kubalini, manake hata mashabiki ile hamu hawana tena ya jezi mpya.
 
Wewe ni popoma zaidi ya Civilian Coin
 
Mpuuzi in wewe ambaye unaonekana elimu haijakukomboa
Wewe iliyokukomboa mbona huoni Aibu Kubanduliwa hovyo? au Elimu Kubwa uliyonayo ilikuwa na Kipengele na Kubanduliwa hivyo Unakidumisha Kiuweledi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…