Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabwabwaja tu, rudia kusoma maelezo yangu uelewe.Jibu lako.....
Kwa Taasisi ( Corporate ) inayojitambua ( siyo Simba SC yako ) ikijua kuwa itaachana na Kampuni X basi huwa tayari inajua itakuwa na nani ila kwa Waswahili na Nuts wa Simba SC tulichokifanya ni kuachana na Sport Pesa na Kubandua Nembo yao kwa Kucha za CEO Barbara Gonzalez na Ulimi wa Msemaji Ahmed Ally na kuweka kwa Juu Nembo ya Mbet.
Ni kweli kabisa hujakosea kwani hata Kona Kona nyingi kama Barabara ya Mto Wami zilizoko katika 'Mbunye' yako hiyo nazo nazijua zote hata kwa Kufumba Macho.
TPA lazima ahusike, na hapo kwenye bill of loading TRA ndio wanapokuaccess ulipe kodi kiasi gani.Mbona hapo TPA kama anahusika tena wamwisho . Au waliosoma mambo ya shipping hamtueleweshi vizur
Hizi habari zina mbele na nyuma, labda aina ya uwasilishaji tu ndio unawakera.Sasa mtu anawezaje kuumia na habari zisizo na mbele wala nyuma?
Inasemekana hizi jezi zilikuwa na rangi za Utopolo. Zikarudishwa faster.Mzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
U nothing at allSindano zangu zinawaingia Kisawasawa.
Kumbe ndo hivo mimi nikajua vinginevyoMzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Chuo Kikuu ulichosoma hakufundishwa kufanya Summarization na kuepuka Verbosity katika Somo la Communication Skills?Sikuachi hata kama ukiwa certified popoma.
Lazima utambue, mazungumzo ya mkataba yanafanyika wakati wowote na mtu yeyote anayetaka kuidhamini klabu, hata kama Ahmed Ally alisema hawataongeza mkataba na Sportpesa.
Hiyo haikuwa sababu ya Simba SC kuwafungia milango Sportpesa, bado walikaribishwa wakati wowote kama wangeongeza mzigo, na mazungumzo yakawepo; popoma haya mambo yako nje ya uwezo wako wa kufikiri, una mikelele tu kama chizi mlevi.
Hiyo sababu yako ya kipuuzi kwamba Vunjabei alitaka kukwepa kodi unajitungia tu, kwasababu unajua hao wajinga wako 115 uliowafungasha akili hawatakuuliza.
Ni mjinga tu atakaeamini taasisi kubwa kama Simba SC, yenye watu kila mahali, ishindwe kukomboa mzigo wake bandarini zaidi ya mwezi kisa inadaiwa kodi.
Haya tuambie, hiyo kodi anayodaiwa Vunjabei ni kiasi gani utupe na ushahidi sio ujitungie namba tu kama kawaida ya upopoma wako.
Funza ( Jiggers ) waliojazana Ubongoni mwako wameshaisha? Hebu hakikisha unawatoa Wote Kwanza ndipo uje upambane na MImi 'Brainiac' wa Kizanaki ( Mara Tanzania ), Kitutsi ( Gisenyi Rwanda ) na Kimakuwa ( Mtwara Tanzania ) sawa?Unabwabwaja tu, rudia kusoma maelezo yangu uelewe.
Hiyo taasisi "inayojitambua" huwa haina unforeseen circumstances?
Wewe ni mjinga usie na kitu kichwani zaidi ya mitusi.
and who told that you're Worthy Simba SC Fan? Hopeless.....!!!!!U nothing at all
Kwamba Fred hawezi kulipa kodiMzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Trust me 100% Chief.Kumbe ndo hivo mimi nikajua vinginevyo
Hela atoe wapi wakati hata tu Pesa ya Kuidhamini Simba SC kama Kit Supplier alipewa na Mo Dewji Ili tu yule wa mwanzo asiwepo tena?Kwamba Fred hawezi kulipa kodi
Mpuuzi in wewe ambaye unaonekana elimu haijakukomboaLeo watanitambua Wapuuzi wakubwa hawa.
Wewe ni popoma zaidi ya Civilian CoinMzigo umekuja na Meli na siyo kwa Bung'o ( Ndege ) kama ambavyo Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally anavyotudanganya.
Ukweli ni kwamba Kit Supplier wetu Fred Ngajilo 'Vunja Bei' alikuwa na Ukaribu wa Kisamjo Samjo ( Ujanja Ujanja ) na aliyekuwa Boss wa TPA ( aliyeondolewa ) hivi karibuni ( ambaye pia ni mwana Simba SC ) na alipanga Kuingiza Mzigo ( Jezi ) bila kulipa kabisa Kodi au kutoa Kodi Kiduchu tu.
Ukweli ni kwamba Jezi zimekwama Bandarini na Boss Mpya wa TPA 'amekaza' na anataka Kodi ya Serikali ilipwe vinginevyo hazitatoka na huenda Wachezaji wa Simba SC Keshokutwa ( katika Simba Day ) wakacheza Vidali Poo ( Vifua Wazi ) dhidi ya St. George FC ya Ethiopia.
Mmenikera GENTAMYCINE na Kunidanganya kuhusu Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kufanya 'Nikeshe' leo kama 'Popo' na sasa 'Nawaanikeni' rasmi.
Wewe iliyokukomboa mbona huoni Aibu Kubanduliwa hovyo? au Elimu Kubwa uliyonayo ilikuwa na Kipengele na Kubanduliwa hivyo Unakidumisha Kiuweledi?Mpuuzi in wewe ambaye unaonekana elimu haijakukomboa