Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Sio.Wewe jamaa siyo AI la huko Congo kweli?. Uandishi wako unatupa shida kuelewa.
teknophilips ndio A yai.
Shida unapata ww unasingizia wenziako.
Ebu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio.Wewe jamaa siyo AI la huko Congo kweli?. Uandishi wako unatupa shida kuelewa.
Ba mutu ba congo je parle Kinshasa or goma?Sio.
teknophilips ndio A yai.
Shida unapata ww unasingizia wenziako.
Ebu.
Google wenyewe wanakusanya taarifa za watu, unakimbilia wapi?Hivyo imeshatoka?
Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.
Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.
Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's
Mawee, mukulu mungu yangu.
Only if ukiruhusu, tatizo watu wengi hawaingii deep kwenye vifaa vyao, you can completely deny certain accessKila kitu kinakusanya taarifa zako hata simu yako hata jf kuna taarifa wanachukua!
Hamna mtandao usiochujua taarifa yako
Huna pa kukwepea data yako itakusanywa tu iwe kwa email, kqa google search, kwa instagram yani huna pa kukwepea.Hivyo imeshatoka?
Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.
Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.
Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's
Mawee, mukulu mungu yangu.
Je pale Dar-es-Salaam.Ba mutu ba congo je parle Kinshasa or goma?
Hata chatgpt iko biased gemini iko biased. Kila mojawapo ina guidelines na omekuwa trained kusema haya na kutosema haya.Unaona kabisa deepseek ipo biased na bado unaichagua? Du kweli tunatofautiana.
Hayo maelezo kuna muhindi na yeye kapost kama wewe au ndugu yako?!
Hahaha, nani auze taarifa zako wewe?Hivyo imeshatoka?
Haya Ma AI hayana akili hivyo, yako Biased.
Siezi weka hizo vitu musimu yangu, iwe imetoka Amerika, Ulaya, ama Uchina.
Wote wanakusanya Data zako. Mbaya zaidi wale wa Amerika banatajirika kuuza Data zako.
Ni nani wakusema watu ya Intelligence ya Amerika hawafanyi kukusanya taarifa zako? Afterall, app nyingi zimetengenezwa kutumia tafiti za wizara ya ulinzi marekani. Hata VPN's
Mawee, mukulu mungu yangu.
Ila utasikia, Wachina tu ndio banafanya hivyo. Ridiculous.Huna pa kukwepea data yako itakusanywa tu iwe kwa email, kqa google search, kwa instagram yani huna pa kukwepea.
A yai hizo. Hata CNN wameweka hivo vivo🤣🤣🤣🤣Hayo maelezo kuna muhindi na yeye kapost kama wewe au ndugu yako?!
ebu niwekee uo uzi nioneHayo maelezo kuna muhindi na yeye kapost kama wewe au ndugu yako?!
Mmmmh. Hayo majibu yatakayo toka huko, yatakuwa technical.Muulize kama USA ilicommit genocide kwa Red Indians
maelezo ganA yai hizo. Hata CNN wameweka hivo vivo🤣🤣🤣🤣
Hatuko hapa kunijadili mm. OkHahaha, nani auze taarifa zako wewe?
X (Twitter zamani) ndio niliuona huko .ebu niwekee uo uzi nione
Ok! mi nimejaribu tu kuwaza kinachoikera china ndo nikaiulizaX (Twitter zamani) ndio niliuona huko .