AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Bro lita nne unalalamika? Hata yakishuk si 10,000 hukoKutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Naona wewe unataka kubishana, hatuzungumziii hela ya kula hapa, ishu ni nauli.unaongea kirahisi sana,
utaganda kituoni hadi asubuhi kwa hizo nauli zako....
nauli ni kuanzia elfu2..
huwezi rudi na chenchi kwenye elf10
hapo hujala wala kuacha kitu home
Ruti gani hiyo isiyo na magari dar hii??ikifika saa mbili tu hadi boda wanapandisha nauli dah...
asubuhi ukitoka home na libuku ten huwezi rudi home hata na senti moja zaidi ya njaa, miayo na kutia huruma tu...
Mkuu haifiki laki nnenauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
Umefanya maamuzi ya mazuri.Wapo watu wanaishi kwa kuteseka ili kuwafurahisha wengine.Anaona bora atumie gharama kubwa atembelee gari kuliko alipark maana anaona aibu watu watamuonaje?Kutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
wanatumia masaa ma3 mpaka kufika ofisini na masaa4 kurudi home dah aiseeMkuu haifiki laki nne
Kama wanaenda mkoawanatumia masaa ma3 mpaka kufika ofisini na masaa4 kurudi home dah aisee
masaa7 barabarani...
Bei gani?Tumia Honda CT 110, made in Japan
Hutojuta....!
Kwanin ucjisajili uber au bolt ufidie hizo garama na upate exposure ya kutosha. Unaweza kupata kaz ukiwa kazinKutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
Gari yako ni aina ganiKutokana na vyuma kukaza, ikanilzaimu kupiga hesabu zangu vzuri. Ninapokaa mpaka ofisini ni takribani km 10, nikienda na kurudi naweza tumia wastani wa lita nne hadi tano kutokana na hizi foleni.
Lita nne ni almost 12k to 15k. Nikitumia usafiri wa public kama bajaji natumia wastani wa 1500 kwenda na 1500 kurudi yaani 3k nenda rudi.
Sasa why nitumie 15k+ wakati naweza tumia 3k na nikafanikisha jambo langu? Nimeamua kupaki gari labda kama mafuta yatashuka bei kidogo.
inauzwa Bei gani sa hv hapo jijini? Nahitaji, gari nimepaki nina mwez wa pili Sasa!Tumia Honda CT 110, made in Japan
Hutojuta....!