Nimeamua kusimamisha masomo ya PhD nje ya nchi ili nijitayarishe kwaajili ya kugombea ubunge 2025 katika jimbo la Mbozi Mashariki

Nimeamua kusimamisha masomo ya PhD nje ya nchi ili nijitayarishe kwaajili ya kugombea ubunge 2025 katika jimbo la Mbozi Mashariki

Umejipanga kwa masuala ya uganga na uchawi.Siasa ya Tanzania inategemea pesa na uwezo wako wa kuroga.
Angalau wakati wa Magufuli hakukuwa na uwezekano wa kupata Ubunge kwa pesa na ndumba ila kwa sasa tumerudi siasa za awamu ya nne.Wewe unadhani yule Mbunge alikuwa anaweza kumng'oa Chenge, hapana!
alipita kwa msuli wa Magufuli!
Ungeomba ushauri mapema,tungekushauri uende shule kuliko kugombea nafasi ambayo sharti ujue kusoma na kuandika!
Kwanza nikushukuru kwa ushauri mzuri pale mwisho. Nilijitahidi kuelekeza mawazo yangu shule, lakini wito wa kulifanya hili jambo uliishinda maamuzi ya moyo wangu.

Tutaogopa mpaka lini boss. Tumekuwa tukiambiwa kwamba kwenye mambo ya siasa bila uchawi hutoboi.

Ni kweli hata mimi hili nililishuhudia miaka ya nyuma. Lakini tumwamini Mungu zaidi na kujaribu ili na sisi tuushuhudie huo uchawi.

Mimi kiukweli nimejipanga katika hili na siwezi kuogopa, nimedhamiria haswa.
 
Habari za leo watanzania wenzangu,

Mimi rafiki yenu na kijana mwenzenu nilishafungua moyo wangu kuwatumikia watanzania katika kiti cha ubunge. Kama kuna wabunge humu naomba watanishauri zaidi ila ni jambo ambalo nalipenda na nina uzoefu nalo kidogo.

Muda wangu sahihi wakujitokeza hadharani utakua 2025 ila bado sijaweka wazi nitagombea ubunge kupitia chama gani.

Hii ndio sababu kubwa iliyonifanya nisitishe masomo yangu haraka sana ili niweze kujipanga katika hili. Nilipata kuchaguliwa kuendelea na masomo ya PhD katika chuo kimoja huko nje ya nchi. Ilinipasa mwezi wa tisa mwaka jana niwe nimeshaingia chuoni na kuanza masomo yangu.

Naombeni kuungwa mkono katika hili. Najua muda ukiwadia ipo siku nitamalizia elimu yangu. Lakini kwasasa nijapange ili kutimiza adhima yangu.

Ahsanteni jamani.

View attachment 2495736

View attachment 2495735
Sasa unatangaza nia unajificha hivyo jiweke wazi tukujue ili tuamue ku kuunga mkono au upite kule
 
Sasa unatangaza nia unajificha hivyo jiweke wazi tukujue ili tuamue ku kuunga mkono au upite kule
Nitajitokeza hadharani boss ndio maana leo nimeamua kuweka wazi hapa ili mpate kujua mapema wanajamii forums wenzangu ikiwezekana tushikane mikono ili kutimiza adhima hii.
 
Habari za leo watanzania wenzangu,

Mimi rafiki yenu na kijana mwenzenu nilishafungua moyo wangu kuwatumikia watanzania katika kiti cha ubunge. Kama kuna wabunge humu naomba watanishauri zaidi ila ni jambo ambalo nalipenda na nina uzoefu nalo kidogo.

Muda wangu sahihi wa kujitokeza hadharani utakua 2025 ila bado sijaweka wazi nitagombea ubunge kupitia chama gani.

Hii ndio sababu kubwa iliyonifanya nisitishe masomo yangu haraka sana ili niweze kujipanga katika hili. Nilipata kuchaguliwa kuendelea na masomo ya PhD katika chuo kimoja huko nje ya nchi. Ilinipasa mwezi wa tisa mwaka jana niwe nimeshaingia chuoni na kuanza masomo yangu.

Naombeni kuungwa mkono katika hili. Najua muda ukiwadia ipo siku nitamalizia elimu yangu. Lakini kwasasa nijapange ili kutimiza adhima yangu.

Ahsanteni jamani.

View attachment 2495736

View attachment 2495735
Unatangaza humu ili iweje? Fanya mambo yako kimya kimya. Unataka ujulikane umepata nafasi kwenye doctorate program lakini kiukweli huna maturity wala intellect ya kusoma PhD. Halafu "niahilishe" ndiyo nini?
 
Habari za leo watanzania wenzangu,

Mimi rafiki yenu na kijana mwenzenu nilishafungua moyo wangu kuwatumikia watanzania katika kiti cha ubunge. Kama kuna wabunge humu naomba watanishauri zaidi ila ni jambo ambalo nalipenda na nina uzoefu nalo kidogo.

Muda wangu sahihi wa kujitokeza hadharani utakua 2025 ila bado sijaweka wazi nitagombea ubunge kupitia chama gani.

Hii ndio sababu kubwa iliyonifanya nisitishe masomo yangu haraka sana ili niweze kujipanga katika hili. Nilipata kuchaguliwa kuendelea na masomo ya PhD katika chuo kimoja huko nje ya nchi. Ilinipasa mwezi wa tisa mwaka jana niwe nimeshaingia chuoni na kuanza masomo yangu.

Naombeni kuungwa mkono katika hili. Najua muda ukiwadia ipo siku nitamalizia elimu yangu. Lakini kwasasa nijapange ili kutimiza adhima yangu.

Ahsanteni jamani.

View attachment 2495736

View attachment 2495735
Bora ungeenda shule,
 
Habari za leo watanzania wenzangu,

Mimi rafiki yenu na kijana mwenzenu nilishafungua moyo wangu kuwatumikia watanzania katika kiti cha ubunge. Kama kuna wabunge humu naomba watanishauri zaidi ila ni jambo ambalo nalipenda na nina uzoefu nalo kidogo.

Muda wangu sahihi wa kujitokeza hadharani utakua 2025 ila bado sijaweka wazi nitagombea ubunge kupitia chama gani.

Hii ndio sababu kubwa iliyonifanya nisitishe masomo yangu haraka sana ili niweze kujipanga katika hili. Nilipata kuchaguliwa kuendelea na masomo ya PhD katika chuo kimoja huko nje ya nchi. Ilinipasa mwezi wa tisa mwaka jana niwe nimeshaingia chuoni na kuanza masomo yangu.

Naombeni kuungwa mkono katika hili. Najua muda ukiwadia ipo siku nitamalizia elimu yangu. Lakini kwasasa nijapange ili kutimiza adhima yangu.

Ahsanteni jamani.

View attachment 2495736

View attachment 2495735
Nia yako ni njema ila endelea na masomo.
Siasa ya Tanzania ina "mtego wa panya"
Mtego wa kwanza ni mpaka upate "utezi wa chama chako kugombea" ndipo ugombee. Huo uhakika ni 50/50. Maana yake hii ni kamari.

Mtego wa pili unapogombea, kuchaguliwa na wapiga kura ni jambo moja na "kutanganzwa mshindi" ni jambo la pili. Hii nayo ni 50/50 kamari.

Kusoma PhD kuna certainty, chance za kuhitimu ni kubwa kuliko kuingia kwenye politics na hasa bongo politics.

Tungekuwa tuna mgombea binafsi na tuna tume ambayo majumuisho hayafanywi na ma-DED, ningekushauri njoo, otherwise, malizia uzamivu kwenye petrolium na gas. Ila kama unalenga kuja, usije sasa. 2023, 2024 ni muda mrefu sana. Utaishiwa pumzi mapema kabla ya game kuanza.
 
Umejipanga kwa masuala ya uganga na uchawi. Siasa ya Tanzania inategemea pesa na uwezo wako wa kuroga.
Angalau wakati wa Magufuli hakukuwa na uwezekano wa kupata Ubunge kwa pesa na ndumba ila kwa sasa tumerudi siasa za awamu ya nne. Wewe unadhani yule Mbunge alikuwa anaweza kumng'oa Chenge, hapana!
alipita kwa msuli wa Magufuli!

Ungeomba ushauri mapema, tungekushauri uende shule kuliko kugombea nafasi ambayo sharti ujue kusoma na kuandika!
Ila ubunge ulikua ni wa kuteuliwa make hakukuwa na uchaguzi
 
Habari za leo watanzania wenzangu,

Mimi rafiki yenu na kijana mwenzenu nilishafungua moyo wangu kuwatumikia watanzania katika kiti cha ubunge. Kama kuna wabunge humu naomba watanishauri zaidi ila ni jambo ambalo nalipenda na nina uzoefu nalo kidogo.

Muda wangu sahihi wa kujitokeza hadharani utakua 2025 ila bado sijaweka wazi nitagombea ubunge kupitia chama gani.

Hii ndio sababu kubwa iliyonifanya nisitishe masomo yangu haraka sana ili niweze kujipanga katika hili. Nilipata kuchaguliwa kuendelea na masomo ya PhD katika chuo kimoja huko nje ya nchi. Ilinipasa mwezi wa tisa mwaka jana niwe nimeshaingia chuoni na kuanza masomo yangu.

Naombeni kuungwa mkono katika hili. Najua muda ukiwadia ipo siku nitamalizia elimu yangu. Lakini kwasasa nijapange ili kutimiza adhima yangu.

Ahsanteni jamani.

View attachment 2495736

View attachment 2495735

Kumbe PhD ya Kichina, in terms of rank if i will be asked, i will give it 10% Chinese PhD

Anyway kasome achana na kutafuta ubunge, utapotea milele, labda ww mgeni ktk viwanja vya siasa za kwenye field, uko kwenye siasa za online tu, achana na ubunge ukasome kwanza.
 
Kumbe PhD ya Kichina, in terms of rank if i will be asked, i will give it 10% Chinese PhD

Anyway kasome achana na kutafuta ubunge, utapotea milele, labda ww mgeni ktk viwanja vya siasa za kwenye field, uko kwenye siasa za online tu, achana na ubunge ukasome kwanza.
Elimu ni wewe mwenyewe boss.
 
Back
Top Bottom