Nimeamua kusimamisha masomo ya PhD nje ya nchi ili nijitayarishe kwaajili ya kugombea ubunge 2025 katika jimbo la Mbozi Mashariki

Hongera na kila la kheri! Go go gooooo
 
Kugombea ubunge ni uoga wa maisha.
 
PhD inasomwaje?! Maajabu ya Mataga
 
Napataje full funded scolarship na mimi niongezee masters
Unapenda nchi gani? Unapenda scholarship ipi kati ya hizi.
Commonwealth scholarship?
Chinese government scholarship?
Full Bright scholarship?
Swedish Scholarship?
Canadian scholarship?
 
Otherwise nakutakia kheri huko jimboni. Kama vipi gombea mbeya mjini against Tulia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚dada yangu Dr. Tulia sitomweza amejipanga sana. Naangalia padhaifu panapoingilika. Napenda tuibadilishe Mbozi.
 
Haya maneno kama yanatoka kwa mbunge aliyeko madarakani vile....
 
Unafikiri ilikuwa sawa raisi kupanga safu ya wabunge anaowataka yeye ktk majimbo yote? Je, wangeweza kutekeleza majukumu ya kuihoji serikali? Yaani Wananchi wa masasi waseme huyu ndiye tunayemtaka, alafu raisi apindue meza awaletee chawa wake kwa kuwalazimishia?
 
Magufuli hakuwa perfect na moja ya makosa makubwa sana ya kumfanya yeye na Bashiru wachukiwe na vigogo wengi ndani ya CCM ni hilo kwenye kukata.

Magufuli kwangu atabaki shujaa no matter what.

Lakini kwenye kupindua meza za kura za maoni na jinsi alivyo deal na COVID alifanya maamuzi ya ovyo mno na yasiyo stahiki uvumilivu ata ningekuwa kuwa mimi naulizwa what to do ningependekeza lolote atolewe (hapo ndipo alipoanza kujiona mungu mtu) what a pity kwa sababu alikuwa na mengine mengi ya muhimu ambayo yeye tu angeweza fanya hizo reforms from evidence up to that point.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ