Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Hizo akili azitoe wapi kwa kusoma post zake kabisa huyu unamuona ana akili zaidi ya kuandika ujinga mtupu kila siku.Unaonekana akili kubwa lakini sijui kwann unawaza nafasi ndogo kama ya ubunge ambayo ili upate lazma uwe mlamba makalio na mnafiki.
Sijui unazungumzia PhD gani za kufyatua tu bila hata kufanya research, labda za sociology.Kwani we unadhani Phd ni kitu special sana?
That’s just a five chapter thesis same as in
First degree 10000 words
Masters 10000- 25000 words
Doctorate 50000+ words
All you need is to pick is a topic of Interest and extrapolate it following the rules required in writing the five chapters thesis.
Binafsi najiamini naweza fyatua any degree ambayo aihitaji complex mathematics nor laboratory researches.
Sitanii na huyu dada uelewa wake wa oil and gas ni very limited. Kwa mie ambae nimezifyatua hizo.
Mengine ni kupongezana ujinga kama ilivyo hada yenu watanzania.
Tuachane kwa kusema academically mie sio wa size yako.Sijui unazungumzia PhD gani za kufyatua tu bila hata kufanya research, labda za sociology.
Kama ni ya uhakika huwezi kuifanya kwa miaka miwili (narudia hiyo ni fake)
Nakuona mjinga wewe, kama ni PhD mimi ninayo nimeipata zaidi ya robo karne nyuma, tena moja ya nchi za Ulaya. Umekomalia Chapters unadhani thesis ni chapters tu zisizokuwa na publishable content?Tuachane kwa kusema academically mie sio wa size yako.
So sina muda wa ku entertain upuuzi wako inaweza kuwa sio majibu uliyozoea.
Hata thesis ya undergraduate inataka five chapters it doesn’t matter you are doing sociology or quantum physics; the difference between the two Is the supposition required.
Ni hivi sina tabia ya ku entertain watu wajinga wajinga ndio maana unioni chit chat.
Don’t try to be clever when you aren’t
Kwanini uli apply PhD program wakati ulikuwa huna uhakika kama ungeweza kuianza na kuimaliza? Huoni umewazibia other applicants waliokataliwa nafasi kwenye hiyo program, ambayo naamini ina nafasi chache sana? You cannot even set your personal life priorities and goals right, halafu unataka uwe Mbunge kuwawakilisha maelfu ya raia?Boss tutaogopa mpaka lini mbona wenzetu tena watu wakawaida kabisa wanajaribu. Tukijaribu tena na tena ndipo tunaweza fanikiwa.
Lol my dear by chapters si maanishi kipande cha kitabu.Nakuona mjinga wewe, kama ni PhD mimi ninayo nimeipata zaidi ya robo karne nyuma, tena moja ya nchi za Ulaya. Umekomalia Chapters unadhani thesis ni chapters tu zisizokuwa na publishable content?
Usijifanye mjuaji sana hata hicho kiingereza chako tu nakiona ni cha google translate (hakina structure!)
Na hatuna kata inayoitwa MAHENJEHatuna Jimbo linaloitwa Mbozi mashariki katika mkoa wa Songwe, masuala ya Mbozi mashariki na magharibi yalikwishaga na kuishia kwa akina Zambi na Silinde, ambapo Jimbo la Mbozi mashariki lilitoa Jimbo la Mbozi linaloongozwa kwa Sasa na mh GEORGE RAINWELL MWENISONGOLE pamoja na Jimbo la Vwawa linaloongozwa na mh Hasunga, wakati Mbozi magharibi lilitoa majimbo ya Tunduma ambalo kwa Sasa linaongozwa na mh Silinde, pamoja na la Momba.
Kutokujua tu majimbo katika eneo unapokwenda kugombea kunakuondolea sifa ya kupewa nafasi ya kugombea maana Kama hata majimbo huyajuwi bila Shaka hata kero za wananchi huwezi ukazijua iwe Ni kata ya Mlowo, Igamba, Shiwinga, Mahenje, Itaka, Bara, Nambizo, Magamba,n.k
Hata hivyo majimbo Yana watu tayari na kwa kanuni zetu wanaccm hupaswi kuanza vurugu za kampeni wakati huu bali unapaswa kumsaidia aliyopo labda Kama unagombea kupitia huko kwa wababaishaji wa chadema wasio na Sera Wala ajenda Wala Dira.
Pia kutokujuwa hata chama Cha kugombea pia huo Ni ubabaishaji mwingine maana huo Ni usaka tonge tu na kuangalia mahali kwenye fursa badala ya kuangalia itikadi ya chama.
Ushauri Wangu Ni kuwa Kama unataka kugombea kupitia chama changu Cha CCM nakushauri ungeendelea tu na masomo yako maana naona upo bado Sana kuiva kisiasa na badala yake ungejikita katika fani yako ya mafuta ili ulisaidie Taifa kuliko kuja kupoteza muda wako wakati hadi Sasa hujui hata chama kipi ugombee na Wala huna chama, Sasa Kama huna chama Ni mjinga gani atakupigia Kura wakati anaona wewe Ni msaka fursa?
Pili lazima uwe na misimamo katika maisha maana mpaka Sasa haieleweki unasimamia Nini na unataka Nini, pia wapiga kura ambao Ni wajumbe Ni waelewa Sana kwa Sasa hivyo usije kujipa majibu yako ya kubuni.
Jina langu halimo kwenye tovuti ya bunge, na mhusika hajaweka bayana jimbo gani anataka kwenda. Shule tulijifunza ku-debate na msingi wa debate ni kukubaliana kutokubaliana kwa facts.Acha kukatisha tamaa wenye mawazo tofauti na wewe? Au nawe ni mbunge wa eneo hilo?
Boss naomba nishauri, nimekubali sina akili kama ulivyo andika. Mimi naiheshimu sana jamii forum inanifunza mengi sana kupitia kuandika na kupitia kwenu. Je nifanye nini ili niweze kuwa naakili za viwango vyako.Hizo akili azitoe wapi kwa kusoma post zake kabisa huyu unamuona ana akili zaidi ya kuandika ujinga mtupu kila siku.
Ngoja nitafute usingizi mie
Boss naomba nishauri, nimekubali sina akili kama ulivyo andika. Mimi naiheshimu sana jamii forum inanifunza mengi sana kupitia kuandika na kupitia kwenu. Je nifanye nini ili niweze kuwa naakili za viwango vyako.Hizo akili azitoe wapi kwa kusoma post zake kabisa huyu unamuona ana akili zaidi ya kuandika ujinga mtupu kila siku.
Ngoja nitafute usingizi mie
Well kwa kuanzia if you need to analyse oil and gasBoss kuna muda
Boss naomba nishauri, nimekubali sina akili kama ulivyo andika. Mimi naiheshimu sana jamii forum inanifunza mengi sana kupitia kuandika na kupitia kwenu. Je nifanye nini ili niweze kuwa naakili za viwango vyako.
Na pia nishauri nifanye ili 2025 niipeperushe bendera ya chama changu.
Kwamba unaacha taaluma Ili uje kuwa Mwanasiasa?Habari za leo watanzania wenzangu,
Mimi rafiki yenu na kijana mwenzenu nilishafungua moyo wangu kuwatumikia watanzania katika kiti cha ubunge. Kama kuna wabunge humu naomba watanishauri zaidi ila ni jambo ambalo nalipenda na nina uzoefu nalo kidogo.
Muda wangu sahihi wa kujitokeza hadharani utakua 2025 ila bado sijaweka wazi nitagombea ubunge kupitia chama gani.
Hii ndio sababu kubwa iliyonifanya nisitishe masomo yangu haraka sana ili niweze kujipanga katika hili. Nilipata kuchaguliwa kuendelea na masomo ya PhD katika chuo kimoja huko nje ya nchi. Ilinipasa mwezi wa tisa mwaka jana niwe nimeshaingia chuoni na kuanza masomo yangu.
Naombeni kuungwa mkono katika hili. Najua muda ukiwadia ipo siku nitamalizia elimu yangu. Lakini kwasasa nijapange ili kutimiza adhima yangu.
Ahsanteni jamani.
View attachment 2495736
View attachment 2495735
Hadi unaenda kusoma PHd maana yake huna hela,maana ungekuwa na hela lazima ungekuwa na vitu vya kufanya na usinge pata muda wa kupoteza kwenda huko.Ndio natafuta boss ili 2025 nijitokeze hadharani
Sasa mbona unaelezea historia ya oil and gas. Ndio hivyo ulivyojifunza?Well kwa kuanzia if you need to analyse oil and gas
Kwanza unatakiwa kuelewa historia yake kuanzia kwa visima vya kwanza Texas,
First usage ya nishati kama kibatari
Monopoly ya Rockefeller and how managed to achieve that goal
Jinsi Rockefeller alivyozuiwa kuuza pekee US
How Mercedes-Benz engine invention, finding other usage of oil and byproducts na electricity production ilivyokuza industry
Utafutaji wa visima nje ya US, hasa ndani ya Middle East na influence zake
Kuibuka kwa Seven Sisters Wa mafuta
Middle East nations kudai haki zao na kuanza kwa migogoro inayo endelea au ku influence supply mpaka leo.
Ni hivi ni story ndefu sana hadi kufikia mambo ya Kyoto protocol na environmental issues za leo ndio maana degree ya oil and gas (management inachukua 3 years).
Sasa kwa sie ambao tushafyatua hizo ukisomwa tu unaonekana unapwaya sana fundamentals tu huna.
Yaani ukianza kuongelea issues za supply chain ndio kabisa ni vitu unavyojibunia tu au unaokota google, let alone mambo ya mikataba.
Na siasa ni utashi wa mtu hakuna mwenye kukuingilia kwenye maamuzi yako.
Halikadhalika kwa jamii yetu kama msomi basi walau uwe na huruma kwa watu unaotaka kuwaongoza. Ila wewe kwa post zako humu za kuhamasisha watu njia za short cut za kufaulu ambazo sizo, promotion ya biashara za watu wengine na kutetea watu wa hovyo kama Makamba; sikuoni wewe kwenye uongozi kama sehemu ya solution bali tatizo kwa watanzania you are just corrupt from what you promote in this forum.
👋
Kama umri bado unaruhusu kamalizie hiyo PhD Huku kwenye ubunge naona utakuja kujutia sana,kapige shule jipange vizuri hata 2030 sio mbali mbona,jipange kiasi kwamba hata ukikosa ubunge unakuwa Hauna Cha kupoteza, sababu usitegemee kupata ubunge ,2025 Tena ndio Mara yako ya kwanza kushiriki,it's a process inaweza kuchukua hata terms tatu ili uweze kupata ubungeHatuna Jimbo linaloitwa Mbozi mashariki katika mkoa wa Songwe, masuala ya Mbozi mashariki na magharibi yalikwishaga na kuishia kwa akina Zambi na Silinde, ambapo Jimbo la Mbozi mashariki lilitoa Jimbo la Mbozi linaloongozwa kwa Sasa na mh GEORGE RAINWELL MWENISONGOLE pamoja na Jimbo la Vwawa linaloongozwa na mh Hasunga, wakati Mbozi magharibi lilitoa majimbo ya Tunduma ambalo kwa Sasa linaongozwa na mh Silinde, pamoja na la Momba.
Kutokujua tu majimbo katika eneo unapokwenda kugombea kunakuondolea sifa ya kupewa nafasi ya kugombea maana Kama hata majimbo huyajuwi bila Shaka hata kero za wananchi huwezi ukazijua iwe Ni kata ya Mlowo, Igamba, Shiwinga, Mahenje, Itaka, Bara, Nambizo, Magamba,n.k
Hata hivyo majimbo Yana watu tayari na kwa kanuni zetu wanaccm hupaswi kuanza vurugu za kampeni wakati huu bali unapaswa kumsaidia aliyopo labda Kama unagombea kupitia huko kwa wababaishaji wa chadema wasio na Sera Wala ajenda Wala Dira.
Pia kutokujuwa hata chama Cha kugombea pia huo Ni ubabaishaji mwingine maana huo Ni usaka tonge tu na kuangalia mahali kwenye fursa badala ya kuangalia itikadi ya chama.
Ushauri Wangu Ni kuwa Kama unataka kugombea kupitia chama changu Cha CCM nakushauri ungeendelea tu na masomo yako maana naona upo bado Sana kuiva kisiasa na badala yake ungejikita katika fani yako ya mafuta ili ulisaidie Taifa kuliko kuja kupoteza muda wako wakati hadi Sasa hujui hata chama kipi ugombee na Wala huna chama, Sasa Kama huna chama Ni mjinga gani atakupigia Kura wakati anaona wewe Ni msaka fursa?
Pili lazima uwe na misimamo katika maisha maana mpaka Sasa haieleweki unasimamia Nini na unataka Nini, pia wapiga kura ambao Ni wajumbe Ni waelewa Sana kwa Sasa hivyo usije kujipa majibu yako ya kubuni.
Hawawezi kukwambia huko wizarani JF ina wafunza mengi sana,Sasa mbona unaelezea historia ya oil and gas. Ndio hivyo ulivyojifunza?
Nilitegemea unakuja na vitu vikubwa vya technical, nilitegemea unakuja na njia ambazo tunaweza kuzitumia kuikuza sekta ya mafuta na gesi ili iwanufaishe watanzania wote.
Wewe unakuja na historia za Texas.
By the way oil and gas ina mambo mengi na huwezi kuyasomea yote. Kila mtu anaspecialize eneo lake.
Ukisema unaijua sana oil and gas watu watakushangaa sana humu.
Kwenye oil and gas kuna
1. Oil and gas law
2. Oil and gas management
3. Oil and gas accounting and finance
4. Oil and gas engineering
5. Petroleum engineering
6. Petroleum geology
7. Petroleum chemistry
8. Petrochemical engineering
9. Petroleum geochemistry
10. Petroleum geophysics
11. Petroleum economics
Kwahiyo tusijisifu kwamba mimi najua kitu fulani kuliko mwingine bali tuendelee kujifunza zaidi na zaidi na kupata exposure zaidi katika maeneo mengine. Na kujifunza ni process endelevu tuendelee kuwa wapole tu kaka yangu.
Zaidi mawazo yetu tuyaelekeze ni jinsi gani tufanye kuzibadilisha oil and gas ili zinufaishe taifa letu na sio kujivunia knowledge isiyoweza kuwaletea watanzania mabadiliko.
Kwenye issue ya editing service hiyo ni professional kama zingine
Phd ipo kwa coursework & dissertation usikariri zile za zamani za kuandika tu-siku hizi zimerahisishwa.PhD inasomwaje?! Maajabu ya Mataga