Hao si ndo wanamix na coca aoTena ukitaka bange nzuri mtafute capadona
Mitaa ya sinza Ana vitu vikali, marehemu ngwair mwenyewe alikuwa anamtambua kwa skanka zke
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha a.k.a kapachinoTena ukitaka bange nzuri mtafute capadona
Mitaa ya sinza Ana vitu vikali, marehemu ngwair mwenyewe alikuwa anamtambua kwa skanka zke
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah pus--- wa sinza
Yeah capachino... Huyo alikuwa anampa bnge ngwair mpk Gari akawa analigeuza getho
Kijana bangi ni kilevi....madactari wanaweza elezea hamna inavyoleta utegemezi( addiction) ktk Maisha. Fahamu tu, utakapoanza tumia.. nakwambia itakuwa umepoteza self control tlk Maisha.utakuwa mtumwa.. yaani bangi ndio itakupa uongozi Wa namna kufanya mambo ktk Maisha. Acha MARA MOJA KUWAZA KUTUMIA...NA BADALA YAKE nenda kwa washauri wasaikologia...hapa siongelei wanasaikologia..bali washauri Wa saikologia...ni watu tofauti Hawa.. akashauri. Kama huna uwezo tafuta sana video clip..zinazoongelea naomna ya kuboost ur self esteem...maana tatizo lako kuu ni kukosa self esteem.. na inavyoonekana tangu utoto huukujengewa hii na wazazi ama Jamii inayokuzunguka. Mara nyingi what we experience in childhood..define our personality. Futa hadithi n a feedback zote negative ulizojengewa utotoni..na Anza kusitathimini uwezo wako...yale utayojiona uko vizuri..jisifu na kidogokidogo utajiamini.
Chemicals gani hizo mkuu, ebu nitajie hata tano niongeze knowledge.Bangi ina chemicals zaidi ya 400
So, kuwa makini unapoivuta inaweza kukupa kujiamini au kutokujiamini
Bagwell