Nimeona fursa hapo ngoja nijifunze kutengeneza mafuta yakeBaadhi ya nchi bangi hutumika kama dawa hii ni true kabisa kiscience pia mafuta yatokanayo na mmea wa bangi ni dawa kiboko kabisa ya sikio kwa sisi tunaomoka tunaitumia kama dawa ya depression Mara moja moja japo sio suluhisho ila kwa kurelax bangi ni kiboko alcohol inasubiri mbali sana
Kurelax tu, pia imenisaidia sana kupunguza pombe...Huwa unatumia [emoji377] kama nini ?
Kilevi?
Ata mm nakushauri utumie hioHonestly speaking haya matatizo yananitesa sana nayo ni kutokujiamini, sijikubali, upweke na stress kupitiliza.
Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea performance kuwa mbovu kabisa.
Hivyo kupelekekea kuwa na stress, mpweke na sijikubali kabisa
Finally nimepata idea kutoka kwa mshikaji wangu ambaye kanipa idea ya kutumia bangi na anenihakikishia 100% inaenda kutatua kabisa shida zangu.
Najua wapo madaktari na wabobezi wa madhara au faida ya bangi humu naomba mnipatie a,b,c tafadhali.
Natanguliza shukrani
Tatizo dogo sana nenda Tarime kale Kichuri_utakuwa na mi konfidensi tele!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichuri hata uchagani kipo. Nakulaga sana sijawahi ona impact yakeTatizo dogo sana nenda Tarime kale Kichuri_utakuwa mi konfidensi tele!
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ya kuvuta bangi hutofautianaHonestly speaking haya matatizo yananitesa sana nayo ni kutokujiamini, sijikubali, upweke na stress kupitiliza.
Ni kijana wa early 20 nimeajiriwa kampuni fulani ambayo inanibidi ni interact sana na watu hasa raia wa kigeni, but tatizo linakuja kuwa sijiamini kabisa kitu ambacho kimepelekea performance kuwa mbovu kabisa.
Hivyo kupelekekea kuwa na stress, mpweke na sijikubali kabisa
Finally nimepata idea kutoka kwa mshikaji wangu ambaye kanipa idea ya kutumia bangi na anenihakikishia 100% inaenda kutatua kabisa shida zangu.
Najua wapo madaktari na wabobezi wa madhara au faida ya bangi humu naomba mnipatie a,b,c tafadhali.
Natanguliza shukrani
HahahaVuta bangi weeeee, ila na yenyewe ikianza kukuvuta ndipo utalijua jiji
Hahahaha wewe jamaa wewe yani biginner unamshauri aanze na Indica kwanza kibongobongo Ni ngumu sana kupata hii kitu maybe NAOROBI na baadhi ya maeneo ya ARUSHANakushauri upige sativa pafu moja au mbili ukiwa haupo kazini, usijiroge ukapiga indica kama siyo mzoefu,afu jiulize ni sawa kwenda kazini nikiwa na stimu za bhange au siyo sawa.
Kipindi nipo chuo, nlikua na presentation, kabla sijaingia nkanywa viroba viwili, babaa. ... Presentation ilikua amazing darasa zima linacheka lecturer anacheka......yani niliwafurahisha sana darasa
Sent using Jamii Forums mobile app
namshauri mleta mada afuate ushauri wako!Suluhisho la kuto jiamini ni kutafuta zaidi nafasi za kufanya kile unachohisi huwezi. Mazoezi pekee ndio sukuhiso, kuongea katika hadhara inataka uzoefu ambao hata uvute nini hutapata.