Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unapoteza muda?Achaneni kabisa muwe huru.Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Bora ivo mkuu unaweza maliza ujenzi Kisha mke anaomba taraka inauzwa mnagawana pasupasu Anarudi kwa ex wake kula nae bataPole mkuu, Ila 'two wrongs don't make it right'..!!
Unauza hadi nyumba uliyokuwa unaijenga kwa ajili ya wanao..? kisha ndiyo uwe busy na mchepuko..?
maskiini..!!
NakuapiaLeo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Piga chini mazimaHilo jambo nimemkataza zadi ya Mwaka mmoja, bado anaendelea na Swala Hilo Hilo.
Labda kaongeza tu chumvi haikuwa nyumba! Yaan hasira zisababishe auze nyumbaPole mkuu, Ila 'two wrongs don't make it right'..!!
Unauza hadi nyumba uliyokuwa unaijenga kwa ajili ya wanao..? kisha ndiyo uwe busy na mchepuko..?
maskiini..!!
sasa vipi na yeye akitafuta mchepuko itakuwaje?Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Basi huyo mwanamke hakupendi wewe ndo unalazimisha mapenzi browala hajazaa na Huyo Jamaa.
Wewe huitaji kuwa na nyumba au tayari unayo nyingine?Hiyo Nyumba nilikua najenga kwa ajiri yake.
Nimeamua kusitisha Hilo Jambo nimeuza.
ukiona mwanaume anatatua changamoto kama mwanamke basi jibu unalo mkuuMkuu Hapo Unasambaratizisha Familia Yako Mwenyewe Kwa Kutumia Hasira Badala Ya Akili.
Hiyo Ndio Umeona Njia Sahihi Ya Kusuruhisha Huo Mgogoro?
Tufanye Maamuzi Yanayojenga Bila Kuendeshwa Na Mihemko.
Changamoto Tunakabiriana Nazo Kwa Akili Na Si Kwa Hasira.