Nimeamua kuwa na Mchepuko. Mke Haeleweki, mawasiliano kila siku na wakwe, mashemeji, mawifi, wa X- Wake

Nimeamua kuwa na Mchepuko. Mke Haeleweki, mawasiliano kila siku na wakwe, mashemeji, mawifi, wa X- Wake

Sioni sababu hata kuiuza hata km ulifikiri 1000000.
Ulitakiwa uiache km ilivyo, ungepangisha ukaendelea kula maisha au ingekuwa hata chimbo lako la kutulia.
Maisha haitaji hasira, visasi wala roho mbaya.
Siku zote usishindane na mwanamke na ukizidi kumzingatia ndivyo anavyozidi kukupiga matukio
mawazo ya kuuza yalikuwa sahihi sana kwakuwa muda wowote hapo kuna talaka na mgao wa mali
 
mawazo ya kuuza yalikuwa sahihi sana kwakuwa muda wowote hapo kuna talaka na mgao wa mali
Ukiishi kwa kumhofia na kumfurahisha mwanamke lazima uishi kwa hofu, mashaka na maisha yako yataharibika.
Fedha na mali utafute mwenyewe halafu uhofu unaweza kugawana na mwanamke😀😀😀😀😀😀😀
 
Ulichelewa sana kuwa na mchepuko ndiyo maana wivu haukuishi kwa mkeo, sasa hautajuta..... na hayo makosa ya mkeo utayaona ya kawaida ndo amani itadumu.
 
Ukiishi kwa kumhofia na kumfurahisha mwanamke lazima uishi kwa hofu, mashaka na maisha yako yataharibika.
Fedha na mali utafute mwenyewe halafu uhofu unaweza kugawana na mwanamke😀😀😀😀😀😀😀
Issue sio hofu ila sheria
 
Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)

Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.

Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.

Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.

Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
wenye mchepuko huwa hawajitangazi mzee, we kaa na mkeo, myajenge ,mmalize tofauti zenu maisha yaendelee, nakuhakikishia hakuna aliyewahi kuwa na mchapuko akamaliza safari salama, haumkomoi mtu hapo. Mungu akusaidie.
 
Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)

Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.

Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.

Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.

Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Pole , bado haujatatua tatizo ndugu yangu
 
Sheria siyo tatizo. Kuna watu wanamiliki mali nyingi tu hata wake zao hawajui na wengine wanajua lakini hawana ubavu wa kuzigusa.
Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma wala kubembelezwa
Sasa jamaa inaonyesha mke wake alijua pengine kaiuza ili kubadili uwekezaji?
 
Sheria siyo tatizo. Kuna watu wanamiliki mali nyingi tu hata wake zao hawajui na wengine wanajua lakini hawana ubavu wa kuzigusa.
Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma wala kubembelezwa
Sheria sio tatizo ila itageuka tatizo pale itakapotaka kukata upande wako
 
Sheria sio tatizo ila itageuga tatizo pale itakapotaka kukata upande wako
"Ukitaka uishi maisha mazuri na yenye furaha, ishi bila kumhofia au kumfurahisha mwanamke"
Tengeneza pesa, na weka mali nyingi ili zikusaidie ili uishi maisha mazuri uzeeni.
Bilgate, Dangote, Mo, Bakhera na matajiri wengi wangekuwa na mawazo kama ya huyo jamaa wasingekuwa matajiri leo hii
 
Hasira hasara, sijaona umuhimu wa kuuza nyumba...
Wewe na mkeo mwisho wa siku mtaleteana magonjwa ndani.
 
Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)

Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.

Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.

Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.

Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Mkuu binafsi naamin wanaume ndio tunapenda wanawake wanapaswa kuonesha na kufanya UTII ktk ndoa na malez ya familia...
Kama hatii wala kusikia neno lako nakushauri hamisha upendo kwa watoto na tafuta namna ya kumtoa ktk milki yako Amiin amin unaweza japo unapaswa kubumilia maumivu
 
Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)

Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.

Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.

Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.

Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Hapo umepigwa bro.. Wewe ni kama kipezeo kwake mambo yakikaa sawa anaweza rudi muda wowote. Usiposhtuka Africa utazikwa ukiwa hai.
 
Tatizo la mtoa mada ni kufiria kwamba pesa ndiyo kila kitu katika mahusiano.
Kupitia maelezo yake, nimegundua huyo mwanamke aliye naye, alitoka kumpora mtu kwa sababu tu ya ushawishi wake wa kifedha.

Sasa baada ya muda kupita, mwanamke amegundua upendo kwake ni bora sana kuliko fedha! Na ndiyo maana haachi kuwasiliana na wale watu waliompa zaidi furaha na upendo, kuliko fedha.
 
Back
Top Bottom