mawazo ya kuuza yalikuwa sahihi sana kwakuwa muda wowote hapo kuna talaka na mgao wa maliSioni sababu hata kuiuza hata km ulifikiri 1000000.
Ulitakiwa uiache km ilivyo, ungepangisha ukaendelea kula maisha au ingekuwa hata chimbo lako la kutulia.
Maisha haitaji hasira, visasi wala roho mbaya.
Siku zote usishindane na mwanamke na ukizidi kumzingatia ndivyo anavyozidi kukupiga matukio
Ukiishi kwa kumhofia na kumfurahisha mwanamke lazima uishi kwa hofu, mashaka na maisha yako yataharibika.mawazo ya kuuza yalikuwa sahihi sana kwakuwa muda wowote hapo kuna talaka na mgao wa mali
Kipi Bora Kuliko kusubiri iuzwe kwa amri ya mahakama?Labda kaongeza tu chumvi haikuwa nyumba! Yaan hasira zisababishe auze nyumba
Issue sio hofu ila sheriaUkiishi kwa kumhofia na kumfurahisha mwanamke lazima uishi kwa hofu, mashaka na maisha yako yataharibika.
Fedha na mali utafute mwenyewe halafu uhofu unaweza kugawana na mwanamke😀😀😀😀😀😀😀
wenye mchepuko huwa hawajitangazi mzee, we kaa na mkeo, myajenge ,mmalize tofauti zenu maisha yaendelee, nakuhakikishia hakuna aliyewahi kuwa na mchapuko akamaliza safari salama, haumkomoi mtu hapo. Mungu akusaidie.Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Sheria siyo tatizo. Kuna watu wanamiliki mali nyingi tu hata wake zao hawajui na wengine wanajua lakini hawana ubavu wa kuzigusa.Issue sio hofu ila sheria
Pole , bado haujatatua tatizo ndugu yanguLeo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Sasa jamaa inaonyesha mke wake alijua pengine kaiuza ili kubadili uwekezaji?Sheria siyo tatizo. Kuna watu wanamiliki mali nyingi tu hata wake zao hawajui na wengine wanajua lakini hawana ubavu wa kuzigusa.
Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma wala kubembelezwa
Sheria sio tatizo ila itageuka tatizo pale itakapotaka kukata upande wakoSheria siyo tatizo. Kuna watu wanamiliki mali nyingi tu hata wake zao hawajui na wengine wanajua lakini hawana ubavu wa kuzigusa.
Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma wala kubembelezwa
"Ukitaka uishi maisha mazuri na yenye furaha, ishi bila kumhofia au kumfurahisha mwanamke"Sheria sio tatizo ila itageuga tatizo pale itakapotaka kukata upande wako
Udhaifu ndiyo unaanzia hapo kuishi na mwanamke kwa kumuonea hurumaSasa jamaa inaonyesha mke wake alijua pengine kaiuza ili kubadili uwekezaji?
Watoto?Kipi Bora Kuliko kusubiri iuzwe kwa amri ya mahakama?
Sheria ya taraka watoto huwa hawana mgaoWatoto?
Mkuu binafsi naamin wanaume ndio tunapenda wanawake wanapaswa kuonesha na kufanya UTII ktk ndoa na malez ya familia...Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Hapo umepigwa bro.. Wewe ni kama kipezeo kwake mambo yakikaa sawa anaweza rudi muda wowote. Usiposhtuka Africa utazikwa ukiwa hai.Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.