MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,345
- 3,570
Yaaah jamaa inaonekana pesa anayo..na ndo fimbo aliyotumia kumchapa ex wa mke wake na yeye akalamba dume akajiona mjanjaa[emoji23][emoji23]...kumbe mapenzi ni hisiaTatizo la mtoa mada ni kufiria kwamba pesa ndiyo kila kitu katika mahusiano.
Kupitia maelezo yake, nimegundua huyo mwanamke aliye naye, alitoka kumpora mtu kwa sababu tu ya ushawishi wake wa kifedha.
Sasa baada ya muda kupita, mwanamke amegundua upendo kwake ni bora sana kuliko fedha! Na ndiyo maana haachi kuwasiliana na wale watu waliompa zaidi furaha na upendo, kuliko fedha.
Mbaya zaidi fedha huwa ina tabia ya kuleta kiburi na majivuno! Sasa binti wa watu anajiona thamani yake haipo tena ndani ya mahusiano yake mapya! Kwa nini asiwasiliane na ex wake!!Yaaah jamaa inaonekana pesa anayo..na ndo fimbo aliyotumia kumchapa ex wa mke wake na yeye akalamba dume akajiona mjanjaa[emoji23][emoji23]...kumbe mapenzi ni hisia
pole sana mkuuLeo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Huyo mke wa mtu unakaaje nae?Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Ni Kama naishi na mke ambae Wala haUnataka kutumia mwili wako ili kumkomesha mtu mwingine!
Mwanamke kama hakusikilizi wala kufuata amri za ndani ya himaya yako,basi huyo hakufai,usipoteze muda,
Piga chini huyo Kunguru asiyefugika,
Kutafuta mchepuko sio solution ya hilo tatizo,hilo tatizo litaendelea tu kuwepo,
All the best.
Stop playing man Dangote is the richest man in Africa 13.3b usd, iweje useme hata level ya dangote dangote yupo kwenye watu 107 matajiri kuliko wote duniani , au mwenzangu unaongelea dangote wa tandale ? Mana Aliko sio mchezo mchezo hata kidogo kwa muktadha huo ukisema “HATA LEVEL YA DANGOTE “, ni kama inafikika tu kirahisi wakati dunia yenye watu billion 7 na ushenzi watu 106 tu ndio wameweza kufikia hiyo level aisee… hiyo level ya dangote wapo 19 tu africa nzima na dunia nzima hiyo level hawazid hata 3200 kama sikosei wako 3194 sasa mkuu kama kuna dangote mtaani kwenu labda hivyo.Hata km ulifikiri umemkomoa?
Hiyo nyumba ulitakiwa upangishe ili ule maisha.
Maisha ya wafrika yanachekesha sana, utakuta mtu kapata vipesa kaoa mke wa pili, mwingine kagombana na mkewe kauza nyumba kisa ana kazi inayomuingizia hela hata level ya utajiri wa Dangote hajafikia lkn ameridhika na maisha😀😀😀
Safi sana mwana umeupga Mwingi.Huo ni ubovu wa ndoa za kikrisro. Mwanamke anakua na kiburi na dharau akijua hamna kuachwa. WRONG. Nakuunga mkono kwa uamuzi huo. Muweke wazi mchepuko wako kama mke mdogo. Mtambulishe kwa Ndugu ikiwemo ndugu zake. Mkeo mpe uhuru aishi anavyotaka.
Nimetoa ushauri huu mara 2 na umefanya kazi vizuri. Mke amekua na adabu na ana ishi akijua ana msaidizi. Mume ana amani na stress zimeisha.
Chagua kuishi na imani za kikristo ufe mapema kwa pressure au ishi uhalisia uwe na FURAHA.
Fuata ushauri wangu uone mabadiliko chanya.
Na bado unamwita mke wangu!!!Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Mdau hiyo sababu ni nyepesi kuuza mali uliokua ukitafuta kwa faida ya wanao alafu kuchepuka ni matokeo ya wewe kushindwa kuizuia mihemko kwani ukiwa na mchepuko kutambadilisha mwanamke wako jibu ni hapana ni migogoro inazidi mara dufu magonjwa yapo na mchepuko hua hakosei ila mke ndo anakoseaga tengeneza familia yako mwanamke asipo kusikiliza wewe ulie mwoa jua kuna anao wasikiliz ndio maana jalada la ndoa lina talaka juu yake kama ni mpaka kifo ww huachi uwe mvumilivu 🙁Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.