Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Mnakimbilia kuoa ili kufurahisha watu ndio matokeo yake haya sasa,mnaleta sifa kwenye ndoa hamfikirii

wewe pambana na mke wako unataka nani amuoe tena mke wa mtu.

Ushamtumia unataka kumuachia nani mzigo wako,huyo ni wako mpk kufa🤣

Poleeeeee,utanyooka tu utake usitake
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Kwa kuwa umeamua sawa.

Binafs nina miaka 21 kwenye ndoa yangu kunako miaka 4-6 mwanzoni nilikuwa na mawazo hayo lkn hakuna kumbe mwanamke mbaya.

Namshukuru Mungu, kumbe nimekuwa naishi na mwanamke wa nguvu bila kujua.

Awali. Nilikuwa na sex na madem tofauti tofauti na wife pia napigilia.

Baadae nikakutana na Dem mmj mtamu kupindukia. Nikaanzisha vituko na vitimbwi niachane naye wife. Loosalale.

Mpango ukakwama, nikabaki naye wife hadi Leo. Mwanamke mbaya kwako ni yule unayedhani unampendaa na anakuvutia, kumbe yy anamvutia kila mwanaume.....ukiishi naye jiandae kukasirishwa na tabia za kujihusisha na wanaume wengine kwa sababu nao wanavutiwa naye.

Uliye naye komaa nae ni mzuri na utagundua hapo baadae. Mwanamke ni mtoto jitahidi umuelekeze. Avae vizuri, ale vizuri na Hata kama ana PhD nyumbani muelekeze, hata kupanua mguu muelekeze.

Akifanya kiburi muache piga mademu wa nje kama Kawaida..ukipoza machungu ya kiburi cha mkeo.

Mwanamke asiyependa ndoa yake atafanya kiburi nyumbani. Nenda naye akikomaa wewe mzalishe tu
 
Madhara ya kuletewa mke ndo hayo Sasa.Ungekuwa active katika kufukuzia mademu kipindi Cha ujana wako bill Shaka ungeopoa chombo ambacho moyo wako unatamani na kupenda.

Tatizo ulikuwa Domo zege Sana Hadi ukaletewa mke na sijui ndugu,jamaa au marafiki.Sasa leo hii akili zimekukaa sawa unaona ulikosea kumuoa.
 
Ulimuoa kishirikina ndio maana Huna Raha anakuwekea madawa umpende basi Mungu atakupa hitaji la moyo wako .

Ndoa za Sasa zinaharibika siku hizi Kisa watu wengi wanatumia ndumba kuitwa mke au mume so maisha ndio hayo Mungu atusaidie tu .
Kama hujui kutumia ndumba kwenye mahusiano weh usijaribu
 
Inasikitisha sana kwamba mleta mada huwez kumtunza mwanamke ndo maana unamuona mbaya ila hata upate mwenye shape la maana sura nzurii na kila kona kakamilika ukikaa nae mwaka kwa tabia zako za kingese utakua umemshusha shape lote na hutamuona kama ni mzuri. Usipende sana kuonyesha ujinga wako.

Huez amini huyo mkeo akija kwangu mwezi tu anatakata anarudi kwenye hali yake. Na wanaume wengine wanakua na mbegu chafu kila akimla demu ndo anazidi kukongoroka mwili bro ww sio mwanaume bora ukaanze kutoa marinda kama umeshindwa kumfanya mwanamke anawiri
 
Aisee!! Nimejikuta navaa viatu vya huyo mkeo.

Daah. 😕

Yaani mke wake ni tipwatipwa A.K.A kibonge nyanya sasa shida inaanzia hapo, huyo mwanamke atalia sana kuambiwa kiuno na mgongo vimeungana na shingo na mabega vimeungana atalia sana inabidi aanze gym mara moja na apunguze kula kula hovyo.
 
Yaani mke wake ni tipwatipwa A.K.A kibonge nyanya sasa shida inaanzia hapo, huyo mwanamke atalia sana kuambiwa kiuno na mgongo vimeungana na shingo na mabega vimeungana atalia sana inabidi aanze gym mara moja na apunguze kula kula hovyo.
Hivyo wakati anamuoa hakuona yote hayo.
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Uzi tayar 🙏
 
Inasikitisha sana kwamba mleta mada huwez kumtunza mwanamke ndo maana unamuona mbaya ila hata upate mwenye shape la maana sura nzurii na kila kona kakamilika ukikaa nae mwaka kwa tabia zako za kingese utakua umemshusha shape lote na hutamuona kama ni mzuri. Usipende sana kuonyesha ujinga wako.

Huez amini huyo mkeo akija kwangu mwezi tu anatakata anarudi kwenye hali yake. Na wanaume wengine wanakua na mbegu chafu kila akimla demu ndo anazidi kukongoroka mwili bro ww sio mwanaume bora ukaanze kutoa marinda kama umeshindwa kumfanya mwanamke anawiri
Sio nashindwa kumtunza, sasa hata anunue nguo gani akivaa hamna kitu, unamtunza vipi mtu wa hivi?
 
Back
Top Bottom