Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzuri kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...?? Wanaume wote tukisema tuache wanawake zetu kisa wamekuwa wabaya baada ya kufunga nao ndoa na kuishi nao hakuna ndoa ingebaki nakwambia.. alafu mbaya zaidi ukute umemzalisha na watoto yani[emoji35][emoji35][emoji35]
Unakuta kamtotolea watoto watano, leo anatarajia abaki na shape ya kuvutia kamwambia nani?! Yeye kama anataka kuchepuka achepuke lakini asitafute kuungwa mkono. Apambane na irregular shape yake mbona hakuiona kabla!
 
Mpende mkeo, mjali na kumthamini muhudumie inavyotakiwa apige pamba za maana na siyo vijora aende saloon mara moja kwa wiki, mara moja moja unampa ela akapige make up. Ndgu uko unakotaka kukimbilia napo utapakinai hvyo hvyo. Kwan ulipomuoa hukuona hayo? Au baada ya kumtotolesha mitoto yote hyo ndio unaiona hyo irregular shape. Hudumia mkeo vya nje hutatamani
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Au kuna sehemu umechepuka mchepuko anacheza na akili yako asa hivi?! Ndio maana umeanza kumuona mkeo irregular shape wakat ulipomuoa uliona Regular shape take care[emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: nao
Bora umekuwa mkweli na kumpa nafasi ya kwenda kupendwa huko na wanaojua thamani yake.
Napitishwa kwenye situation kama ya mkeo so naelewa maumivu, natumai siku moja niweze kusimama na kusema imetosha😥😥, nikatafute furaha yangu kwingine ila sasa sijui naanzia wapi mana ni mimi tu ndo naona action zake ila nje ni perfect couple 😥😥😥
Duh!...unavumilia mateso kwa faida ya nani ?..watoto au ?...au unaogopa dunia/familia itakuonaje ukiondoka hapo?...

Kama unaamini mambo yatakaa sawa mbeleni endelea kupigania ndoa yako
 
Kumbe humu jf pia kuna watoto na wahuni. Hivi mtu mwenye busara unaweza kuleta uzi km huu. Una lenga nini hasa kuleta mada za hovyo km hizi kwa watu wazima. Alafu unasema eti alikuwa mkeo. Labda kimada. Otherwise childish is making you crazy. Umemchakaza kwa kumuingilia kimwili mtoto wa watu usiku, mchana na asubuhi bila kupumzika km jenereta la standby na kumnunulia machps hovyo, alivyonenepeana tu ndo unasema sio type Yako. Unavyomuona na kumsema ndio hivyo a yeye anavyokuona na kujuta kuolewa na mwanaume type Yako. Ebo, tuheshimu wanawake bwana, vipi angekuwa ni mama yako kaachwa na baba yako kwa sababu za kizembe km zako., Ungemchukia baba yako au ungemuunga mkono.

Ndugu zetu akina dada nyie pia muwe mnaangalia akili ya mwanaume km ziko sawa. Sasa unaona huyu anavyo harisha humu utadhani Bata.

Ipo siku dharau hizo watafanyiwa dada zako, au mama yako.

Acha vurugu za barehe hizo. Aaaalaaa!!!!
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Wakati unamuoa huo muonekano haukua shida ila sasa?,huoni umempotezea muda wake bure na kumchakaza?
 
IMG_7081.jpg
 
Nilipoona tu ule uzi wa eti kwamba mkeo ana uwezo mdogo kiakili nikajua kuna jambo unapika.
 
Nilipoona tu ule uzi wa eti kwamba mkeo ana uwezo mdogo kiakili nikajua kuna jambo unapika.
Kumbe kashamshutumu na mengii aiseee... Mambo ya kuoaa mwanamke uliemtamani ndo haya sasa ila alimtamanije wakati ni mbayaa.. bhasi itakuwa alikuwa na genyee zimemshikaa pisi ikasemaa mpaka unioee ndo utakulaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Aisee
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Wewe unachoringia ni kipi? Je unahela? Unacheo au na wewe ni handsome?

Isijekua na yeye anakuvumilia tu ili maisha yaende
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
IMG-20221212-WA0035.jpg
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Weka picha yake nimuone kwanza
 
Back
Top Bottom