Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Unakuta kamtotolea watoto watano, leo anatarajia abaki na shape ya kuvutia kamwambia nani?! Yeye kama anataka kuchepuka achepuke lakini asitafute kuungwa mkono. Apambane na irregular shape yake mbona hakuiona kabla!Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzuri kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...?? Wanaume wote tukisema tuache wanawake zetu kisa wamekuwa wabaya baada ya kufunga nao ndoa na kuishi nao hakuna ndoa ingebaki nakwambia.. alafu mbaya zaidi ukute umemzalisha na watoto yani[emoji35][emoji35][emoji35]