Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Yaani mke wake ni tipwatipwa A.K.A kibonge nyanya sasa shida inaanzia hapo, huyo mwanamke atalia sana kuambiwa kiuno na mgongo vimeungana na shingo na mabega vimeungana atalia sana inabidi aanze gym mara moja na apunguze kula kula hovyo.
We unamjua? mwenyewe kasema hivi kwani?
 
Inasikitisha sana kwamba mleta mada huwez kumtunza mwanamke ndo maana unamuona mbaya ila hata upate mwenye shape la maana sura nzurii na kila kona kakamilika ukikaa nae mwaka kwa tabia zako za kingese utakua umemshusha shape lote na hutamuona kama ni mzuri. Usipende sana kuonyesha ujinga wako.

Huez amini huyo mkeo akija kwangu mwezi tu anatakata anarudi kwenye hali yake. Na wanaume wengine wanakua na mbegu chafu kila akimla demu ndo anazidi kukongoroka mwili bro ww sio mwanaume bora ukaanze kutoa marinda kama umeshindwa kumfanya mwanamke anawiri
Umemuona mke wake before and after,?? Au unatukana tu bila sababu za msingi
 
Mimi nilizani kanenepeana kumbe English figure? !

Hiyo ni rahisi sana kumfanya kunawiri.

Inavyoonekana hampendi tu .

Sasa umeamua kumtia ila.

Basi muache kwa Kheri na amani.
 
Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzuri kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...?? Wanaume wote tukisema tuache wanawake zetu kisa wamekuwa wabaya baada ya kufunga nao ndoa na kuishi nao hakuna ndoa ingebaki nakwambia.. alafu mbaya zaidi ukute umemzalisha na watoto yani[emoji35][emoji35][emoji35]
Mkuu rikiboy umesema vyema
 
Kiasili mwanaume hua anakua na hisia na mwanamke siku 90 za mwanzo kwenye mahusiano hapo ndio mkiwa kitandani hata kuandaana kunakuepo, baada ya siku 90 kitandani lolote ni sawa tu hapo ndio mwanaume huanza kumtoa kasoro mwanamke na kuanza kutafuta mbadala kwa siri kubwa, sasa hapo ndio kinaingia kipengele cha tabia ndio itambeba mwanamke na hekma na busara za mwanaume ndio zitaongoza mahusiano maana wakati huo ile hamu na tamaa ishakwisha kabisa kwani unamjua mwanamke kila kona na yeye ashaanza kukuzoea na hadi kujamba anajamba mbele yako, sasa utaacha wangapi? Wewe tafuta mchepuko huku ukivumilia mwenzako maisha yaendelee
 
Nawashangaa wanaombishia mtoa maada. Asee mwanamke asiyekuvutia n vgumu sana kuishi naye. Nina dem flan hv tuna mahusiano miaka kadhaa, hajawahi omba hata mia, kuja kwangi anatumia nauli yake, ananiletea na mazawadi, ananipa mbususu mda wwte nkitaka.

Ila sjawahi kumtamkia neno "nakupenda" kwa sababu staki kusema uongo. Anaweza npigia smu akanambia amenimiss lakn sjawahi kumjibi kwamba nimemmiss.

Saiz nko mkoani kikaz, mwez huu kapewa likizo kazn kwake anataka kuja lakn nmemdanganya kwamba nimesafiri kuna emergency kazn ili tu asije.

Naunga mkono mtoa maada. Mwanamke ukikosa hisia nae hata mbususu yake unaiona ya ajabu. Kuna sku nlikua namtomber huyu dem zkapita dakika 40 wala hakuna dalili za kukojoa afu kakauka knoma ikabidi nianze kuvuta hisia kwa demu nlomuona kariakoo mchana, hapo ndo nkamwaga.

NSHAMWAMBIA KABSA SINA MPANGO WA KUKUOA MANA ANA MIAKA 27 AFU NAONA KANIGANDA KAMA KUPE.
Ana 27 wewe una ngapi Mzee utateseka Sana maisha ya ndoa, ikiwa una zaid ya 30 huelewi unachoongea.

Nina 21 kwenye ndoa naelewa mambo kibao.


Niliingia kwenye ndoa na 26 na Sasa Nina 52 years.

Mbususu zote ni nyama. Utakuja ihitaji kw ajili ya kuvhomeka tu Mzee. Sura hutakuja kuhitaji machoni mwako.

Kikubwa Angalia unataka nini black or white, chocolate or brown product.

Sasa Mzee ukijichanganya utaumia
 
Mleta mada amekuwa mkweli na muwazi. Wadau mnapaswa kuja na ushauri bora wa mawazo kuliko kumlaumu, kumkejeli au kumuhukumu. Jambo kama hilo limewapata wanaume wengi, lakini wengi wamekaa kimya au kufanya maamuzi mabovu.

Ni kweli jamaa havutiwi tena na mkewe, sasa afanye nini?
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali

Mke wa Ndoa au ilikuwa Kampani tu ?
 
We jamaa nimekuelewa sana, mie nimewahi kupitia kipi ndi kigumu sana kwenye ndoa yangu ya Awali. Nilikurupukaga kwenda kuoa bila kujipa muda wa Uchumba na kufahamiana vyema, niseme tu kuwa yule mwanamke sikua nimempenda ila nilikuwa nimemtamani kwani kumpenda kule hakukua kwa muda mrefu, ndipo nilipoona maumivu na majuto kwanini niliamua kumuoa kama sikua simpendi. Ila kwa sababu ya Dini, niliandika Taraka tatu mbele ya kikao vha ndugu. Ila nilimueleza ukweli wa Moyo nikiogopa kuendelea kumtesa kihisia nikaona afadhali nimwambie ukweli. Nilijitahidi kutokuonyesha ila sikua tu na hisia naye kabisa.
Na hili limenitafuna sana kwenye akili yangu kwani nimekua najihisi mwenye makosa sana kwa kumuumiza mtoto wa watu. Ila sasa hivi namshukuru Allah, amepata Bwana mwingine na wameshaoana na wana mtoto. Ila sitarudia ujinga wa kuoa bila kukaa kwenye mahusiano. Sijajua mtoa uzi ameandika huu uzi kufurahisha jamvi yaani Chai au anamaanisha. Polee kwa Bidada ila amemsaidia sana huyo mdada, ataumia lakini atapona na kurudi kwenye ubora wake.
Weww umeongeaa mkweli mtupu
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Hyo hali huwatokea wengi ni kumuomb mungu tu huwa namtafuta mwanmke kweli nampata siku hyo hyo naona kasoro zake ambazo ni kero kwangu

Unamkuta mwingine ni mfupi sana ,anaongeaa sana,hana exposure ,miguu imepinda ,au mdomo umekah kam ya mwanaume bas nawaacha tu alfu nakutana na wabovu zaid

Namuomba mungu anioneshe mwanmke sahih kwangu
 
Hyo hali huwatokea wengi ni kumuomb mungu tu huwa namtafuta mwanmke kweli nampata siku hyo hyo naona kasoro zake ambazo ni kero kwangu

Unamkuta mwingine ni mfupi sana ,anaongeaa sana,hana exposure ,miguu imepinda ,au mdomo umekah kam ya mwanaume bas nawaacha tu alfu nakutana na wabovu zaid

Namuomba mungu anioneshe mwanmke sahih kwangu

Wewe zoa yeyote tu utachagua hadi lini kikubwa awe hanuki zaga basi weka ndani
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Nigei no yke plz nikusaidie kumuondoa chaaap
 
Mke ni Package asee! Uzuri na Shape ni vya muhimu hata kidogo basi uwe unapata midadi ukimuona mnapokua wawili uwe u aweza kupandisha mnazi. Mambo ya Tabia na Akili hufuata baada ya kuona kama anafaa kwa matumizi. Kukaa na mwanamke hakuvutiini zaidi ya Jela.
Siamini kma kwenye maneno yako yote hayo,hamna sehemu umeandika hofu ya Mungu
 
Back
Top Bottom