Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There is no such a thing..Mkuu kuna kitu kinaitwa Karma and it's real working. Utakuja kuniambia nilisema niko pale nimekaa
Mambo ya kulala na mwanamke afu usku ukigeuka kumtazama sura unaona kama umelala na dume, nan anataka? Mtatusamehe asee mambo ya kusema utoto hzo n porojo. Kila mwanamke anataman kuwa na mwanamke mwny mwonekano mzuri, kama ulioa polygon pambana nalo, ustake kutiaminisha et oooh mapoligon ndo wana akili za maisha mfyuuuuuuuuBora umelijuwa hilo maana ukijifanya unavumilia utajuwa hujuwi.
Si kadi ya range anayo yeye? Ataipata tu, dah ila hakuna nilichopenda kama penzi lile kufa.Harmo anadai range lake uko kajala 1 & 2
Nashangaaga sana mtu anayeleta mambo ya karma sjui nn na nn. Huwa namwona n mtu asiye na uelewa wa mambo. Au hyo karma inafanya kaz Africa tu?. Ona waarabu wameuza mababu zetu kwny biashara za utumwa wakapata utajiri leo hii vizaz na vizaz wanarithishana ule utajiri na bado wanadunda pale k. Koo kwny magorofa. Wao hawana karmaThere is no such a thing..
Watu wafanya mabaya na wanadunda tu mpaka wanaingia kaburini.
Haha hawa ndio aina ya wale wanaume wanaomwagiwagwa maji ya moto wakiwa wamelala au kuwekewa sumu kwenye chakula.Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzudi kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...
Muasisi wa Uzi pendwa hajapendezwa kabisaHuyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzudi kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...
Unique Flower hapa umetema madini Sana walahi!! Nimekuelewa vizuri Sana.Ulimuoa kishirikina ndio maana Huna Raha anakuwekea madawa umpende basi Mungu atakupa hitaji la moto wako .
Ndoa za Sasa zinaharibika siku hizi Kisa watu wengi wanatumia ndumba kuitwa mke au mume so maisha ndio hayo Mungu atusaidie tu .
Kama hujui kutumia ndumba kwenye mahusiano weh usijaribu
Yanii hili la kulikomeshaaa haswaaa...[emoji3][emoji3][emoji3] Eti sura mbayaa...nguo hazimkaiii fwakeniHaha hawa ndio aina ya wale wanaume wanaomwagiwagwa maji ya moto wakiwa wamelala au kuwekewa sumu kwenye chakula.
Mkuu ukisema kila mwanaume amuache mkewe kisa kawa mbaya hamvutii tena sijui kama kuna ndoa itabakii...!! Mwanaume kutumia kigezo cha ubaya kumuacha mke uliemuoaa wew ni mjinga na unahitaji kupewa funzo ujutie ujinga uliofanya.Muasisi wa Uzi pendwa hajapendezwa kabisa
Hapana, sema nahisi kuna nguvu ya ziada ilitumika mana kwa sasa kila nikimuangalia sipendezwi nae hata kidogo,Nahisi ulianza uhusiano naye ukiwa huna pesa now umepata you can afford wale unaowataka.
Hii inatokea kwa wanaume wengi, wanaowataka hawawafford so wanaoa wale wanaowafford halafu maisha yakichange anaanza chepuka na anaowafford
Sitaki kuwajadili watoto ila nikipata majibu ya kuwahandle ndo atajua kilichopo kichwani mwanguHakuna me mwenye kujielewa na mwenye familia akaandika upumbavu wa namna hii, vipi na watoto aliokuzalia wana hexagonal shape?
Kuna watu ni wana ujinga mwingi sana.
Kama isingekua swala na anonymity ningetuma picha yake ya kuanzia kifuani, yani yuko kama moja, mbele nyuma nyuma mbele, Mungu anisamehe ila ukweli hapanaJamani kibanzi ndio nini?!
[emoji1787][emoji28]
Wewe Mwanaume una ila na gubu ! [emoji38]
Mwanaume halis8 hachagui chagui mwanamke wa kuishi naye.Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Huyu jamaa kaandika uzi kufurahisha MMU tu.Hakuna me mwenye kujielewa na mwenye familia akaandika upumbavu wa namna hii, vipi na watoto aliokuzalia wana hexagonal shape?
Kuna watu ni wana ujinga mwingi sana.
Hata matiti hana?Kama isingekua swala na anonymity ningetuma picha yake ya kuanzia kifuani, yani yuko kama moja, mbele nyuma nyuma mbele, Mungu anisamehe ila ukweli hapana
Jamaa ametutia aibu sana huyu.Ww ni shoga tu huna jipya unaaibisha taasisi ya wanaume