Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Inaone hujawahi kula mapisi makali.

Sisi tunaokula pisi za aina zote tunasema Wanawake woote ni sawa.
Nawashangaa wanaombishia mtoa maada. Asee mwanamke asiyekuvutia n vgumu sana kuishi naye. Nina dem flan hv tuna mahusiano miaka kadhaa, hajawahi omba hata mia, kuja kwangi anatumia nauli yake, ananiletea na mazawadi, ananipa mbususu mda wwte nkitaka.

Ila sjawahi kumtamkia neno "nakupenda" kwa sababu staki kusema uongo. Anaweza npigia smu akanambia amenimiss lakn sjawahi kumjibi kwamba nimemmiss.

Saiz nko mkoani kikaz, mwez huu kapewa likizo kazn kwake anataka kuja lakn nmemdanganya kwamba nimesafiri kuna emergency kazn ili tu asije.

Naunga mkono mtoa maada. Mwanamke ukikosa hisia nae hata mbususu yake unaiona ya ajabu. Kuna sku nlikua namtomber huyu dem zkapita dakika 40 wala hakuna dalili za kukojoa afu kakauka knoma ikabidi nianze kuvuta hisia kwa demu nlomuona kariakoo mchana, hapo ndo nkamwaga.

NSHAMWAMBIA KABSA SINA MPANGO WA KUKUOA MANA ANA MIAKA 27 AFU NAONA KANIGANDA KAMA KUPE.
 
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.

Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.

Hope atapata anaemkubali
Mwendo uneumaliza
 
Mambo ya kulala na mwanamke afu usku ukigeuka kumtazama sura unaona kama umelala na dume, nan anataka? Mtatusamehe asee mambo ya kusema utoto hzo n porojo. Kila mwanamke anataman kuwa na mwanamke mwny mwonekano mzuri, kama ulioa polygon pambana nalo, ustake kutiaminisha et oooh mapoligon ndo wana akili za maisha mfyuuuuuuuu
?
 
Mambo ya kulala na mwanamke afu usku ukigeuka kumtazama sura unaona kama umelala na dume, nan anataka? Mtatusamehe asee mambo ya kusema utoto hzo n porojo. Kila mwanamke anataman kuwa na mwanamke mwny mwonekano mzuri, kama ulioa polygon pambana nalo, ustake kutiaminisha et oooh mapoligon ndo wana akili za maisha mfyuuuuuuuu



Kwa hiyo ikitokea kuzaa mtoto wa kike mwenye sura ya Baba yake utafanyaje Kwa mfano?

Yeye kajikuta kazaliwa amefanana na Baba yake sasa afanyeje ?

Uzuri si sura ni tabia na moyo Safi.
 
Mnatafuta mchawi bure tu... mtu ambaye hajawahi kuoneshwa upendo katika makuzi yake ni ngumu sana kuja kumpenda mtu mwingine, kila mtu utamuona ana kasoro na hiyo kasoro itakusumbua kama hujajaliwa moyo wa upendo.
Swali kwa mleta mada, Unampenda nani hapa duniani? Mama? Baba? Ndugu zako? Au rafiki yako?

Na je una rafiki wa kike ambaye unamkubali sana na zinaiva kati yenu? Kama unaye muombe umuoe, akikubali labda utatuletea ushuhuda mwingine, kama sivyo mtafute msichana mwingine umuoe labda ushuhuda utabadilika siku za mbeleni. Hapo ndipo utajipima kama unauwezo wa kupenda ama lah.

Hata hivyo, grasses are not greener on the otherside.. Jaribu ili pia umsaidie huyo dada akaishi kwa amani sehemu nyingine, Ukiendelea kujilazimisha kuna siku utaanza kumuabuse. Vifo vya kwenye mahusiano yoyote havitokei kwa bahati mbaya, Mapenzi yanaenda sambamba na huruma, hata mtu akikukosea vipi, ukishaweka huruma basi utasamehe, usipoweka huruma jua humpendi hata kidogo. Ukiona umeweza kutamka kuwa fulani simpendi hata kama hajakusikia, jua kuwa humpendi kweli kweli.
 
Kama isingekua swala na anonymity ningetuma picha yake ya kuanzia kifuani, yani yuko kama moja, mbele nyuma nyuma mbele, Mungu anisamehe ila ukweli hapana



Ngashooka kapisa [emoji122]

Sasa ongeza matunzo mpe hela awe anaenda kufanya shopping mwenyewe ya yale auapendayo.

Mpe furaha.

Usione vyaelea vimeundwa.

Akipata matunzo huyo utamsahau nakwambia.
 
Kama isingekua swala na anonymity ningetuma picha yake ya kuanzia kifuani, yani yuko kama moja, mbele nyuma nyuma mbele, Mungu anisamehe ila ukweli hapana
Kwahiyo mkuu tuseme alikuloga au?
 
Mkuu ukisema kila mwanaume amuache mkewe kisa kawa mbaya hamvutii tena sijui kama kuna ndoa itabakii...!! Mwanaume kutumia kigezo cha ubaya kumuacha mke uliemuoaa wew ni mjinga na unahitaji kupewa funzo ujutie ujinga uliofanya.
IMG-20221211-WA0010.jpg

Aone na hii mleta Uzi 😀,sisi male sijui tunataka nini
 
Ulimuoa kishirikina ndio maana Huna Raha anakuwekea madawa umpende basi Mungu atakupa hitaji la moto wako .

Ndoa za Sasa zinaharibika siku hizi Kisa watu wengi wanatumia ndumba kuitwa mke au mume so maisha ndio hayo Mungu atusaidie tu .
Kama hujui kutumia ndumba kwenye mahusiano weh usijaribu
Hii comment si ya kuipuuza.
 
Kama isingekua swala na anonymity ningetuma picha yake ya kuanzia kifuani, yani yuko kama moja, mbele nyuma nyuma mbele, Mungu anisamehe ila ukweli hapana
Ah ah ah kaka nimekushindwa sasa kabla hujamuoa hukuona hayo?
 
Itoshe kusema huu uzi umenisikitisha Sana...no wonder Maisha ya Sasa mapenzi ya kweli yamepotea,maana huyu dada akiachika hapo ole wake huyo mpenzi anayefuatia
 
Haya mke wa shabani huyu hapa walikutana kwenye mendokasi mbona kavumilia tu
IMG_1039.jpg
 
Haya mke wa jamaa yetu mawazo huyu hapa walikutana supermarket mbona wamedumu tu
IMG_1040.jpg
 
IMG_1038.jpg

Huyu ni mke wa bilionea mmoja huko nchi za nje na wamevumiliana
 
Back
Top Bottom