Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Unakuta kamtotolea watoto watano, leo anatarajia abaki na shape ya kuvutia kamwambia nani?! Yeye kama anataka kuchepuka achepuke lakini asitafute kuungwa mkono. Apambane na irregular shape yake mbona hakuiona kabla!Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzuri kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...?? Wanaume wote tukisema tuache wanawake zetu kisa wamekuwa wabaya baada ya kufunga nao ndoa na kuishi nao hakuna ndoa ingebaki nakwambia.. alafu mbaya zaidi ukute umemzalisha na watoto yani[emoji35][emoji35][emoji35]
Au kuna sehemu umechepuka mchepuko anacheza na akili yako asa hivi?! Ndio maana umeanza kumuona mkeo irregular shape wakat ulipomuoa uliona Regular shape take care[emoji23]Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Duh!...unavumilia mateso kwa faida ya nani ?..watoto au ?...au unaogopa dunia/familia itakuonaje ukiondoka hapo?...Bora umekuwa mkweli na kumpa nafasi ya kwenda kupendwa huko na wanaojua thamani yake.
Napitishwa kwenye situation kama ya mkeo so naelewa maumivu, natumai siku moja niweze kusimama na kusema imetosha😥😥, nikatafute furaha yangu kwingine ila sasa sijui naanzia wapi mana ni mimi tu ndo naona action zake ila nje ni perfect couple 😥😥😥
Kwani nani kakuambia mke ni kuvaa tu nguo na kupendezaSio nashindwa kumtunza, sasa hata anunue nguo gani akivaa hamna kitu, unamtunza vipi mtu wa hivi?
Kabla ya kumuoa alikuwa anapendeza?Hujamuona ndo mana, sina rogo mbaya, hivi hujawahi ona watu nguo hata iweje haiwapendezi?
Hofu ya Mungu inaonekana kwa ishara gani?? Kwa wanawake waigizaji wa siku hizi mmh jichanganye watakunyoosha.Siamini kma kwenye maneno yako yote hayo,hamna sehemu umeandika hofu ya Mungu
Wakati unamuoa huo muonekano haukua shida ila sasa?,huoni umempotezea muda wake bure na kumchakaza?Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Hahaaha kama Wema Sepetu alivyobakia kwa sasaBora ata angekua na nyama basi, ni kibanzi
Kumbe kashamshutumu na mengii aiseee... Mambo ya kuoaa mwanamke uliemtamani ndo haya sasa ila alimtamanije wakati ni mbayaa.. bhasi itakuwa alikuwa na genyee zimemshikaa pisi ikasemaa mpaka unioee ndo utakulaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilipoona tu ule uzi wa eti kwamba mkeo ana uwezo mdogo kiakili nikajua kuna jambo unapika.
Hofu ya Mungu inaonekana kwa ishara gani?? Kwa wanawake waigizaji wa siku hizi mmh jichanganye watakunyoosha.
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
AiseeHajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Wewe unachoringia ni kipi? Je unahela? Unacheo au na wewe ni handsome?Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Hilo unakuwa umeligundua lini? Kabla au baada ya ndoa?We unaweza kua na mtu ambae hifurahii hata kuongozana nae?
Weka picha yake nimuone kwanzaHajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali