Nimeamua nibadilishe type za wanaume

Usipati tabo nipo Tuangomi na kisubiro
 

Attachments

  • IMG_20240506_023004.jpg
    46.5 KB · Views: 3
Tafuta wanaovaa mashati makubwa makubwa, kk amwe usiolewe na mwanamume aneyejichubua,kupiga marashi,au kuvaa nguo za kubana na viduku,ili mradi asiwe mskumuma
 
Bado haujasema!!!!

Eti awe amesoma kwa shida!!
Nlidhan nmeona vyote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hata ukimpata malaika bado..utaachwa tu!!
 
Wanaume wote Sisi ni Mbwa Baba yetu ni Mmoja ni Suala la Muda tu. Balaa ni pale mshamba akiwa mjanja ndo utajiona ww ndo mshamba Pro
 
Weeeh sina uduguu!! Si unajua hapa kati nilikuwa busy na husiano lilotaka kunitoa roho [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe bana ubuyu huo nakuja bobo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husiano chaliii ama niajee?
 
Hivi mshamba ni mtu wa namna gani?
 

Huyo hapo ni Mimi najua nimekidhi vigezo nasibir pm Yako tu
 
Kama umeshampata sawa ila kama Bado hata Kwa tochi humpati

Ninahakika mwanamke hawezi ishi na mwanaume anayemcha Mungu kisawasawa
🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…