Nimeamua nichukue hii Ndinga; Una maoni gani ya kitaalam nauzoefu

Nimeamua nichukue hii Ndinga; Una maoni gani ya kitaalam nauzoefu

Chukua ya Diesel Yenye injini ya 4M40 hii Ina 2800cc na inatumia mafuta Vizuri sana. Mafundi na spea zinapatikana kila sehemu Maana hii injini ipo sokoni miaka mingi imetumika kwenye Mitsubishi Canter na Rosa pia Pajero za zamani.

Kuna 4M41 Hii imeboreshwa Zaidi na Ina nguvu Zaidi, inataka umakini sababu inatumia mifumo ya umeme Zaidi.

Kwa upande wa Petrol Kuna 4G72 Hii ni V6 Iko poa kama ni mtu wa kupenda mbio, umakini unatakiwa katika mafuta Hii ni Gasoline Direct Injection
Hapo kwenye petrol.. Code ni 6G72..!
Naunga hoja kwenye diesel..!
Utalipia zaidi wakati wa manunuzi.. Ila mbeleni utasave mafuta..! Kama una misele mingi..
Ila kama misele michache.. Petrol..!
Tofauti ya bei ya manunuzi utaweka kwenye mafuta..!
 
Hapo kwenye petrol.. Code ni 6G72..!
Naunga hoja kwenye diesel..!
Utalipia zaidi wakati wa manunuzi.. Ila mbeleni utasave mafuta..! Kama una misele mingi..
Ila kama misele michache.. Petrol..!
Tofauti ya bei ya manunuzi utaweka kwenye mafuta..!
Asante kaka...ila pia nasikia za diesel zinapigwa kodi kubwa sana na TRA sijui kweli?
 
Ahhh ok.. Kuhusu kodi.. TRA wanaangalia thamani ya gari.. Kwahiyo Diesel thamani juu na kodi nayo itakuwa juu..
Sidhani kama wanaangalia fuel inayotumika..!
Na tofauti kwenye kodi sio kubwa..!
 
Awali ya yote niwashukru nyote wanajukwaa hili kwa msaada wenu mkubwa wa kuelimisha kuhusu magari hasa sisi tusio wazoefu.

Baada ya utafiti kupitia humu kama miezi 6 hivi nimeamua nichukue Mitsubishi Pajero badala ya SUV mid size za Toyota.

Hii gari ina cc 2970 na 127,000km, ina seat 7 na ni ya mwaka 2007.
Iko grade 4 kwenye mnada wa magari.

Kazi yangu kubwa ni kifamilia tu ikiwemo kazini na route za kutoka kanda ya Kaskazini kwenda Kanda ya ziwa pamoja na familia.

Mnaonaje wataalam itanifaa? Nisaidieni kumtag Mshana na wataalam wengine nipate maoni yao.

Asanteni
NB: Swala spare na mafuta si tatizo sana naweza nikamudu

View attachment 2116765

View attachment 2116766

View attachment 2116767
Mzuri ila hapendi shida.. Jitahidi kumlea vema
 
Una maanisha nn mkuu, fafanua maana ni flagship yao ya offroad japo wamesitisha production yake mwaka jana
Ni gari zuri sana ukizingatia service na genuine consumable spare parts
 
Bora iwe diesel kama ni la PETROL make sure unamililiki sheli au kisima cha mafuta iyo ni gari nzuri kwa maana hazinywi mtori ni mafuta na zinakunywa haswaa [emoji1487] huko kwingine ziko sawa
 
Kama unamililiki sheli au kisima cha mafuta iyo ni gari nzuri kwa maana hazinywi mtori ni mafuta na zinakunywa haswaa [emoji1487] huko kwingine ziko sawa
Mkuu hakuna gari inayotumia maji na kitu kingine utility yoyote iwe bill ya maji, umeme au chochote unalipia zaidi kadri unavyotumia.

Kuhusu suala ka mafuta sina shida kabisa sababu nilazima ninunue.

Lakini asante sana kwa tahadharisho mkuu, one love man...
 
Pajero injini ya Petrol ya 3000cc mafuta inatumia kawaida Kwa mjini utapata wastani wa km 6 mpaka 7. Kwa masafa utapata mpaka km 10.

Hizo engine za 3500cc na 3800cc ni za kisasa na Zina mfumo wa Mivec sawa na Vvti Zina nguvu na utumiaji mafuta hazijapishana na ya 3000cc ingawa zinataka care kubwa na mafundi wazuri.
 
Hapo kwenye petrol.. Code ni 6G72..!
Naunga hoja kwenye diesel..!
Utalipia zaidi wakati wa manunuzi.. Ila mbeleni utasave mafuta..! Kama una misele mingi..
Ila kama misele michache.. Petrol..!
Tofauti ya bei ya manunuzi utaweka kwenye mafuta..!
Yes, niliyopost engine code ni 6G72
 
Awali ya yote niwashukru nyote wanajukwaa hili kwa msaada wenu mkubwa wa kuelimisha kuhusu magari hasa sisi tusio wazoefu.

Baada ya utafiti kupitia humu kama miezi 6 hivi nimeamua nichukue Mitsubishi Pajero badala ya SUV mid size za Toyota.

Hii gari ina cc 2970 na 127,000km, ina seat 7 na ni ya mwaka 2007.
Iko grade 4 kwenye mnada wa magari.

Kazi yangu kubwa ni kifamilia tu ikiwemo kazini na route za kutoka kanda ya Kaskazini kwenda Kanda ya ziwa pamoja na familia.

Mnaonaje wataalam itanifaa? Nisaidieni kumtag Mshana na wataalam wengine nipate maoni yao.

Asanteni
NB: Swala spare na mafuta si tatizo sana naweza nikamudu

View attachment 2116765

View attachment 2116766

View attachment 2116767
ni pamba nyepesi
 
Wakuu asanteni sana kwa ushauri wenu, hiyo gari nimeifuatilia uko OK kila sehemu lakini ina "small engine oil leakage"

Sasa hapa ndo nikapat stress tena, could this be big problem?
Wahusika wanasema it is not easy kukosa gari haina dosari completely kabisa case km hizi ndogo ndogo zipo lakini unaweza fix tu.

Ila humu wataalam ni wengi so nikiuliza ushauri wenu haitakua vibaya.
NB: Bado nafanya diagnosis kwa kila kiti ili badaye nifanye maamuzi
 
Wakuu asanteni sana kwa ushauri wenu, hiyo gari nimeifuatilia uko OK kila sehemu lakini ina "small engine oil leakage"

Sasa hapa ndo nikapat stress tena, could this be big problem?
Wahusika wanasema it is not easy kukosa gari haina dosari completely kabisa case km hizi ndogo ndogo zipo lakini unaweza fix tu.

Ila humu wataalam ni wengi so nikiuliza ushauri wenu haitakua vibaya.
NB: Bado nafanya diagnosis kwa kila kiti ili badaye nifanye maamuzi
Matatizo kwenye gari yapo.

Hilo sioni kama ni tatizo, unaweza ukawa unaongezea kila baada ya oil kupungua.

Kila asubuhi cheki oil level ujue trend ya leakage.

Hakuna gari perfect 100%.

Kama moyo wako umelipenda ruka nalo.
 
Wakuu asanteni sana kwa ushauri wenu, hiyo gari nimeifuatilia uko OK kila sehemu lakini ina "small engine oil leakage"

Sasa hapa ndo nikapat stress tena, could this be big problem?
Wahusika wanasema it is not easy kukosa gari haina dosari completely kabisa case km hizi ndogo ndogo zipo lakini unaweza fix tu.

Ila humu wataalam ni wengi so nikiuliza ushauri wenu haitakua vibaya.
NB: Bado nafanya diagnosis kwa kila kiti ili badaye nifanye maamuzi
Leakage imetokana na nini? Seal?
 
Back
Top Bottom