Nimeamua nichukue hii Ndinga; Una maoni gani ya kitaalam nauzoefu

Nimeamua nichukue hii Ndinga; Una maoni gani ya kitaalam nauzoefu

Awali ya yote niwashukru nyote wanajukwaa hili kwa msaada wenu mkubwa wa kuelimisha kuhusu magari hasa sisi tusio wazoefu.

Baada ya utafiti kupitia humu kama miezi 6 hivi nimeamua nichukue Mitsubishi Pajero badala ya SUV mid size za Toyota.

Hii gari ina cc 2970 na 127,000km, ina seat 7 na ni ya mwaka 2007.
Iko grade 4 kwenye mnada wa magari.

Kazi yangu kubwa ni kifamilia tu ikiwemo kazini na route za kutoka kanda ya Kaskazini kwenda Kanda ya ziwa pamoja na familia.

Mnaonaje wataalam itanifaa? Nisaidieni kumtag Mshana na wataalam wengine nipate maoni yao.

Asanteni
NB: Swala spare na mafuta si tatizo sana naweza nikamudu

View attachment 2116765

View attachment 2116766

View attachment 2116767
Kama bi ya diesel hongera...kama ni petrol karibu kwenye mapambano
 
Ni Petrol mkuu, bajeti kaka hujibalance yenyewe tu ukitumia zaidi kwenye mafuta kuna sehemu mwezako ambaye hatumii zaidi kwenye mafuta yeye anatumia sehemu nyingine...mfano ana michepuko mingine...
 
Awali ya yote niwashukru nyote wanajukwaa hili kwa msaada wenu mkubwa wa kuelimisha kuhusu magari hasa sisi tusio wazoefu.

Baada ya utafiti kupitia humu kama miezi 6 hivi nimeamua nichukue Mitsubishi Pajero badala ya SUV mid size za Toyota.

Hii gari ina cc 2970 na 127,000km, ina seat 7 na ni ya mwaka 2007.
Iko grade 4 kwenye mnada wa magari.

Kazi yangu kubwa ni kifamilia tu ikiwemo kazini na route za kutoka kanda ya Kaskazini kwenda Kanda ya ziwa pamoja na familia.

Mnaonaje wataalam itanifaa? Nisaidieni kumtag Mshana na wataalam wengine nipate maoni yao.

Asanteni
NB: Swala spare na mafuta si tatizo sana naweza nikamudu

View attachment 2116765

View attachment 2116766

View attachment 2116767
Hio gari mbona ishauzwa
 
Asante JF kwa maoni na ushauri wenu
Ndinga ishafika home ikiwa na condition nzuri sana kiubora na mwonekano.
Baada ya kuipokea nimemwaga tu oil, nikaipiga road hadi huku kanda ya kaskazini, haikunisumbua kabisa ispokua ndo najiandaa niifanyie servicea kubwa.

Speed: Kwa watu wa speed gari nzuri sana, kwa wanaopenda ligi hii unakupa heshima.

Mafuta: Niliweka full take (88L) nimefika kanda ya kaskazini tank liko chini ya robo, I think ni sababu ya speed maana ilikua 120-160km/hr halafu bamsi nyingi sana jiani.

Nilitoka Dar saa 10 jioni nimefika nyumbani saa 6 kuelekea saa saba usiku nyumbani.

Picha ya kushoto nimepiga maeneo ya Chalinze tukipasua anga.

Anyaway; Nilikula vichwa sita njiani kwa 20,000 kila mmoja 😀😀😀😀

20220411_183409.jpg


IMG-20220412-WA0001.jpg
 
Asante JF kwa maoni na ushauri wenu
Ndinga ishafika home ikiwa na condition nzuri sana kiubora na mwonekano.
Baada ya kuipokea nimemwaga tu oil, nikaipiga road hadi huku kanda ya kaskazini, haikunisumbua kabisa ispokua ndo najiandaa niifanyie servicea kubwa.

Speed: Kwa watu wa speed gari nzuri sana, kwa wanaopenda ligi hii unakupa heshima.

Mafuta: Niliweka full take (88L) nimefika kanda ya kaskazini tank liko chini ya robo, I think ni sababu ya speed maana ilikua 120-160km/hr halafu bamsi nyingi sana jiani.

Nilitoka Dar saa 10 jioni nimefika nyumbani saa 6 kuelekea saa saba usiku nyumbani.

Picha ya kushoto nimepiga maeneo ya Chalinze tukipasua anga.

Anyaway; Nilikua vicha sita njiani kwa 20,000 kila mmoja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

View attachment 2184739

View attachment 2184744
Mkuu vocha unatoa 20k si bora ulipe faini? Bei elekezi ni 5k mpk maximum 10k...
 
Asante JF kwa maoni na ushauri wenu
Ndinga ishafika home ikiwa na condition nzuri sana kiubora na mwonekano.
Baada ya kuipokea nimemwaga tu oil, nikaipiga road hadi huku kanda ya kaskazini, haikunisumbua kabisa ispokua ndo najiandaa niifanyie servicea kubwa.

Speed: Kwa watu wa speed gari nzuri sana, kwa wanaopenda ligi hii unakupa heshima.

Mafuta: Niliweka full take (88L) nimefika kanda ya kaskazini tank liko chini ya robo, I think ni sababu ya speed maana ilikua 120-160km/hr halafu bamsi nyingi sana jiani.

Nilitoka Dar saa 10 jioni nimefika nyumbani saa 6 kuelekea saa saba usiku nyumbani.

Picha ya kushoto nimepiga maeneo ya Chalinze tukipasua anga.

Anyaway; Nilikua vicha sita njiani kwa 20,000 kila mmoja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

View attachment 2184739

View attachment 2184744
bei gani hii mkuu
 
Duuu kumbe dashboard inasoma 220 hapo ni balaa tupu Kwa watu WA league
 
B

Binafsi ni mpenzi wa diesel, nilitumia nissan patrol y61 TD42, kisha natumia nissan xtrail yd22ddti common rail.. Kwa engine ya saizi ile ile diesel inakula wese kidogo, ila naona engine zake ni za kutunza kama yai, kosa dogo linakugharimu, kitu miyeyusho kwa baadhi ya engine za diesel ni kufa kwa nozzle haswa za umeme, hii pasua kichwa bei zake pia zimechangamka si kitoto, pia kuwa makini na sheli, hawachelewi kutia petrol, hii ilinikuta wakatia mzigo wa petrol almanusura presha ipande (kama sio michezo ya kubet na arsenal kunipa uwezo wa kuhimili stress 😂🤣) basi ningezima, gari ndio nimetoka kufanya service ya nozzle karibia 600k huko nadaiwa.

Huu ni ushauri wa haraka haraka, ushauri mzuri utapata kwa mafundi kabisa.. JituMirabaMinne na wenzie.
Tupe uzoefu na nissan xtrail yd22ddti yako,
 
Back
Top Bottom