Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usemalo ni kweli mkuu, ndomana hata mimi nilijaribu kuuepuka ule mtego, lakin baada ya dem kusaula nilisanda mwenyewe nikapiga mzigo.Tukiachana na tangazo la Mleta uzi.
Kwa Wanaume,
Narudia tena leo, Kamwe usishawishike kutembea na Mke wa Mtu. hata awe amekushawishi namna gani.
Utakuja kutobolewa spika, kuuliwa, kuwekwa kilema cha Maisha, kurogwa na mengine mengi.
Be a Man, acha tamaa za Kijinga.
haina ladha halisi 😂Sababu ipi kiongozi?
Hahaha amna cha tangazo hapo mkuu, hili ni jambo lililonitokea juzi kati, na sasa nipo njiapanda sijui hili swala litaishaje.ani binti akaanza kusisimka kwa kuona kitu ambacho yeye anadai hakuwahi kukutana nacho katika maisha yake. Yani alihisi kama vile kakutana na joka ndan ya suruali yangu. Ila kwa vile alikuwa na kiu ikabidi akubali tucheza kuvunja yai na shababi mimi.
Unaonaje ukilipia Tangazo... japo kiduchu tu?
Huyu akikufanya, lazima alete uzi JFEnyi wanaadamu mkitenda dhambi msiwe mnaongea.....jaman
Kwa hiyo, ulitaka kwenye jukwaa la mapenzi, kuwekwe report ya CAG?Hii ndyo Tanzania aisee
Acha tu Report za CAG watu wapige hela
MAMBUMBUMBU NI WENGI
Bora angeiweka kwenye kuwahi kula tunda kimasiharaHii story Kuna Watu watasema Ni chai[emoji26]
Si unaona kuna bwege alikuwa anasugua kila siku lakin mumewe hakushtuka, ila mimi kuchungulia siku moja tu imekuwa msala.