Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
kirahisi ivyo kisa anayo hiyo 15 millionUalimu ni kazi nayo kwani? Hamia Dar Maji was biashara kakomae utatoboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kirahisi ivyo kisa anayo hiyo 15 millionUalimu ni kazi nayo kwani? Hamia Dar Maji was biashara kakomae utatoboa
Kuna tofauti kubwa ya kuvumilia na kupoteza muda mkuu, siwezi kuwekeza million 15 mauzo kwa siku 60,000/= nikajitapa kwamba nafanya biashara, nimewakuta hapa watu wapo kwenye game za biashara miaka zaidi ya 15, wauza vitambaa, vitenge, electronics, nguo,vyombo n.k lakini hakuna chochote wanachojivunia mkuu.Una milioni 15 lakini hujui cha kufanya unaipeleka benki wakazungushe kwenye mikopo. Kigoma sijawahi kufika lakini ukiniambia biashara ngumu huko kigoma hakuna wafanyabiashara? Wao hawaoni huo ugumu unao uona? Hakuna kitu ambacho hakina changamoto mdogo wangu ni kupambana kwa kila fursa iliyopo mbele yako.
Watu wanatoboa na milioni moja mkuu...ni mipango mizuri na target tu✊🏽kirahisi ivyo kisa anayo hiyo 15 million
Archana Na nutrition soma business administrationWakuu baada ya kuchakata mawazo mengi sana, kuanzisha biashara au kwenda kusoma, Kwa Sasa Sina familia yoyote age miaka 26. Nimeweza na kung'amua mambo yafuatayo.
Kigoma ni sehemu ngumu kidogo kwa kufanya biashara nimeona hii hela yangu million 15 niiweke bank kwanza isije kupotea, nimewaza nikasome kitu gani ili nichomoke huku nimewaza vitu vitatu kwa uzoefu wenu naombeni muweze kunisaidia kuchakata, najua watanifanyia re-categorization lakini ni njia ya Mimi kufika ninapotaka kwenda nikimbie kidogo kwenye kushika chaki.
Nina passion kubwa ya kusoma information technology mkoa niliopo kuna uhaba mkubwa wa IT, halmashauri na mkoani pia, lakini ugumu unakuja kwenye ruhusa nimeanza kazi na degree, Nina miaka miwili kazini, then ruhusa wanatoa baada ya kukaa miaka 3 kazini, pia kwa sababu nimeanza na degree watanipa miaka 2 ya kwenda kusoma masters.
Plan A ya kwenda kusoma IT ikifeli, nimeona course ambazo open university wanatoa uwezo wa kusoma nikiwa kituo cha kazi ninao, nimewaza vitu viwili business administration (accounting) au bachelor of science in food nutrition and dietetics, nimejaribu kuchunguza OUT hawatoi bachelor ya I.T.
form six nilipata division 2 point 11. Vipi wakuu kwenu hipi itakua ni Bora zaidi?
Narudia Tena mkuu, siwezi invest million 15 alafu nikauza 60,000/= kwa siku na Mimi nikajitapa kwamba Nina biashara huo ni ujinga, ningekua kwenye miji mikubwa ungenishangaa sana, lakini kwa kigoma ndio nimeshindwa ning'amue nifanye nini, nimefanya biashara dar kwa mtaji wa million 1.5 nilikua nauza viatu hapo karume kwa mwezi nilikua sikosi laki 5 hapo nimeshafanya kila kitu, hapa nazingumzia kigoma, hizo idea za kufungua kijiwe cha kahawa sio mambo yangu ndoto zangu ni kubwa zaidi ya hizo.Wewe ni sawa na kenge, kenge yeye mvua ikianza kunyesha hukimbilia bwawani kujikinga asinyeshewe. Wewe unamtaji kwanini usifanye kazi na ukafanya biashara kwa mpigo? Wa u wanapenda mpira, wanapenda ngono wanapenda pombe wanapenda kujumuika pamoja mfano kunywa kahawa na hiki kitu ni universal hapo unakosa idea ya biashara kweli?
Follow your passion usikatishwe Tamaa Na maneno ya watu kila MTU ana Maisha tofauti Mungu kampangia.....Biashara Sio wote wanafanikiwa wapo waliofanikiwa kupitia kusoma....songa mbele mtangulize Mungu....Nakutakia kila la kheriWakuu baada ya kuchakata mawazo mengi sana, kuanzisha biashara au kwenda kusoma, Kwa Sasa Sina familia yoyote age miaka 26. Nimeweza na kung'amua mambo yafuatayo.
Kigoma ni sehemu ngumu kidogo kwa kufanya biashara nimeona hii hela yangu million 15 niiweke bank kwanza isije kupotea, nimewaza nikasome kitu gani ili nichomoke huku nimewaza vitu vitatu kwa uzoefu wenu naombeni muweze kunisaidia kuchakata, najua watanifanyia re-categorization lakini ni njia ya Mimi kufika ninapotaka kwenda nikimbie kidogo kwenye kushika chaki.
Nina passion kubwa ya kusoma information technology mkoa niliopo kuna uhaba mkubwa wa IT, halmashauri na mkoani pia, lakini ugumu unakuja kwenye ruhusa nimeanza kazi na degree, Nina miaka miwili kazini, then ruhusa wanatoa baada ya kukaa miaka 3 kazini, pia kwa sababu nimeanza na degree watanipa miaka 2 ya kwenda kusoma masters.
Plan A ya kwenda kusoma IT ikifeli, nimeona course ambazo open university wanatoa uwezo wa kusoma nikiwa kituo cha kazi ninao, nimewaza vitu viwili business administration (accounting) au bachelor of science in food nutrition and dietetics, nimejaribu kuchunguza OUT hawatoi bachelor ya I.T.
form six nilipata division 2 point 11. Vipi wakuu kwenu hipi itakua ni Bora zaidi?
Kasome sheriaWakuu baada ya kuchakata mawazo mengi sana, kuanzisha biashara au kwenda kusoma, Kwa Sasa Sina familia yoyote age miaka 26. Nimeweza na kung'amua mambo yafuatayo.
Kigoma ni sehemu ngumu kidogo kwa kufanya biashara nimeona hii hela yangu million 15 niiweke bank kwanza isije kupotea, nimewaza nikasome kitu gani ili nichomoke huku nimewaza vitu vitatu kwa uzoefu wenu naombeni muweze kunisaidia kuchakata, najua watanifanyia re-categorization lakini ni njia ya Mimi kufika ninapotaka kwenda nikimbie kidogo kwenye kushika chaki.
Nina passion kubwa ya kusoma information technology mkoa niliopo kuna uhaba mkubwa wa IT, halmashauri na mkoani pia, lakini ugumu unakuja kwenye ruhusa nimeanza kazi na degree, Nina miaka miwili kazini, then ruhusa wanatoa baada ya kukaa miaka 3 kazini, pia kwa sababu nimeanza na degree watanipa miaka 2 ya kwenda kusoma masters.
Plan A ya kwenda kusoma IT ikifeli, nimeona course ambazo open university wanatoa uwezo wa kusoma nikiwa kituo cha kazi ninao, nimewaza vitu viwili business administration (accounting) au bachelor of science in food nutrition and dietetics, nimejaribu kuchunguza OUT hawatoi bachelor ya I.T.
form six nilipata division 2 point 11. Vipi wakuu kwenu hipi itakua ni Bora zaidi?
Kasome sheriaWakuu baada ya kuchakata mawazo mengi sana, kuanzisha biashara au kwenda kusoma, Kwa Sasa Sina familia yoyote age miaka 26. Nimeweza na kung'amua mambo yafuatayo.
Kigoma ni sehemu ngumu kidogo kwa kufanya biashara nimeona hii hela yangu million 15 niiweke bank kwanza isije kupotea, nimewaza nikasome kitu gani ili nichomoke huku nimewaza vitu vitatu kwa uzoefu wenu naombeni muweze kunisaidia kuchakata, najua watanifanyia re-categorization lakini ni njia ya Mimi kufika ninapotaka kwenda nikimbie kidogo kwenye kushika chaki.
Nina passion kubwa ya kusoma information technology mkoa niliopo kuna uhaba mkubwa wa IT, halmashauri na mkoani pia, lakini ugumu unakuja kwenye ruhusa nimeanza kazi na degree, Nina miaka miwili kazini, then ruhusa wanatoa baada ya kukaa miaka 3 kazini, pia kwa sababu nimeanza na degree watanipa miaka 2 ya kwenda kusoma masters.
Plan A ya kwenda kusoma IT ikifeli, nimeona course ambazo open university wanatoa uwezo wa kusoma nikiwa kituo cha kazi ninao, nimewaza vitu viwili business administration (accounting) au bachelor of science in food nutrition and dietetics, nimejaribu kuchunguza OUT hawatoi bachelor ya I.T.
form six nilipata division 2 point 11. Vipi wakuu kwenu hipi itakua ni Bora zaidi?
Basi kasome mkuuNitaachaje ualimu na bado sijawa na mifumo?
Uko sahihiKasome Mkuu,
Kama umeona Fursa kwenye hiyo IT kapige msuli.
Tena hata ukipata chance ya PhD kapige, kuna nafasi nyingi sana serikalini ukiwa na CV kubwa na Elimu kubwa unapeta kirahisi, na Pesa zitakuja tu.
Sio watu wote lazima kufanya Biashara.
Chukua accountingCourse iliyopo moyoni ni IT Mkuu, lakini open university hawatoi ndio naumiza kichwa kupata plan B
wanaotoboa wana knowledge, skills na desire ya kufanya biashara. ili utoboe lazima uwenavyo vyote vitatu. Sasa unauhakika gani mtoa mada ataweza kufanya biashara mpaka aache kazi?Watu wanatoboa na milioni moja mkuu...ni mipango mizuri na target tu✊🏽