To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Basi jua itawezekana maana wote hatuna uhakika mkuuwanaotoboa wana knowledge, skills na desire ya kufanya biashara. ili utoboe lazima uwenavyo vyote vitatu. Sasa unauhakika gani mtoa mada ataweza kufanya biashara mpaka aache kazi?