Basi jua itawezekana maana wote hatuna uhakika mkuuwanaotoboa wana knowledge, skills na desire ya kufanya biashara. ili utoboe lazima uwenavyo vyote vitatu. Sasa unauhakika gani mtoa mada ataweza kufanya biashara mpaka aache kazi?
Sawa mkuuSio kwa kigoma.
Aanze kuungua hapa hapa duniani kabla ya jahanamNenda VETA katafute ujuzi hata welding inalipa...
Kichwa Cha biashara anacho?Kusoma tena? Siyo ungekomaa na business tu?
🤣🤣🤣🤣 sijui anakichwa gani mkuu?Kichwa Cha biashara anacho?
Chochote tuu hyo welding ni mfano tuu...kuliko kwenda kujaza tena matheory kichwani...Aanze kuungua hapa hapa duniani kabla ya jahanam
Sasa kuliko kuweka hiyo hela benki si bora ununuee hata viwanja hapo dodoma vikae mkuu kuliko kumpa benki afanyie biashara.?Kuna tofauti kubwa ya kuvumilia na kupoteza muda mkuu, siwezi kuwekeza million 15 mauzo kwa siku 60,000/= nikajitapa kwamba nafanya biashara, nimewakuta hapa watu wapo kwenye game za biashara miaka zaidi ya 15, wauza vitambaa, vitenge, electronics, nguo,vyombo n.k lakini hakuna chochote wanachojivunia mkuu.
Huyu yeye kaamua kuwekeza kwenye kuajiriwa ndo maanaChochote tuu hyo welding ni mfano tuu...kuliko kwenda kujaza tena matheory kichwani...
There you are...usikubali kwnd kupoteza miaka mingine mingi ya kujaza theory kichwani...mfano sheria ni 4yrs na ukitoka hapo utatakiwa upitie law school ili uwe cerified lawyer ..je umejiandaa na competition ya soko? Ukienda Veta chagua kitu unachokipenda kisomee in practicals ukitoka hapo ww ni fundi anzisha ofisi pokea tender kula hela...Asante at least umenishauri, maana upande mwingine niliwaza nikasome welding, aluminum n.k kwa sababu mtaji ninao ninaweza fungua ofisi na kuajiri vijana.
Piga uhasibu Open University mi napiga fresh kabisa na hainiharibii ratiba hata ada yake iko poaNifungue mkuu, au nisome uhasibu OUT.
mbuya mosaniMura amang'ana ghao!
Sawa mkuu, kwahiyo nifanyaje? Niko njia panda kweli kweli, wazo langu kubwa ni kufanya biashara lakini kwa mkoa niliopo nashindwa nifanyaje, nimeshafanya research nyingi lakini naona kama nikupoteza pesa na muda. Option iliyobaki naona ni kusoma uhasibu open.ukiona mtu anaomba ushauri hawezi kuachana na kitu maanake anahofu. Pia usitegemee mawazo ya watu ufikirie utatoka huna self-esteem. Ni sawa na mapenzi ukiona mtu anaomba ushauri huyo bado anapenda
Betting nimeliwa sana sioni mapya kupitia betting, hata hiyo million 15 inaweza kubaki 0 kwa muda wa mwezi mmoja TU, Sasa kama Jana liver kafungwa na Atalanta utamshawishi nani aone betting ni Bora?Mzee achana na habari za kusoma Bora hiyo pesa uliyochukua bank ubet yaani Mimi Nina 25 nimetimiza mwaka huu ila wazo la kusoma Sina kabisa na nimefanya saving 10 million mpaka Sasa hivi kupitia betting
Inabidi umuulize kwanza, kabla ya kumwambia afanye biashara 😅🤣🤣🤣🤣 sijui anakichwa gani mkuu?