Mleta mada na wakenya wako waliokutuma kuja kuandika ujinga huu mmebanwa pabaya, tena katikati ya makalio. Mlikuwa mshazoea kwenda kuihadaa dunia kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya, na kwamba ziwa Nyasa linamilikiwa na Malawi. Dunia ya sasa sio ya kudanganyana tena.
Andikeni hata thread 10000 na IDs tofauti tofauti, kikubwa dunia imeshafahamu vivutio vyetu halisi ni vipi na mwenye kutaka kuthibitisha anakaribishwa. Wenye akili tulijua tu kwamba film hii itawaumiza wengi, hasa wale chawa wasiokuwa na moyo wa utaifa, na mabwanyenye wao.
Sasa kama vinajulikana tayari kuna haja gani ya kuvitangaza tena? Watalii wengi wanaoacha kuja Tanzania wakaishia kwenda Kenya au Afrika ya Kusini ni kwa sababau huwa hawajui hali ya usalama Tanzania, siyo kwamba hawajui vivutio vyetu. Ukienda pale Youtube utaona video nyingi sana zinazoonyesha vivutio vyetu, na hii video ya The Royal tour imerudia vitru hivyo hivyo. Mwaka 2007 Kikwete alilipia video yenye maudhui hayo hayo kwenye vyombo vya habari vya kimataifa kama CNN, kama hukuiona ni hii hapaUnadhani huo upande usiojulikana Sana unaweza kuvutia watalii wengi zaidi kuliko kuonyesha kuonyesha vivutio vinavyojulikana sana kama mbuga za wanyama ?
yeyote aliyeruhusu huyu awepo pale alifanya kosa kubwa sana!Paskali! Siku zimekuwa nyingi huko ughaibuni mshauri arudi. Andika "KWA MASLAHI MAPANA KWA TAIFA RUDI MAMA"
Warudi wapi, Marekani kutamu we acha kabisa...wazalendo bado wanatumbua tu posho za dolari we pigwa vumbi tu huko Namtumbo!.Washarudi hawa jamaa au wameamua kubaki huko huko.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Hivi Kuna rais yeyote duniani aliyeko madarakani anafanya kama anayofanya Samia ya kuacha shughuli za kitaifa na kuwa busy na filamu?
Bora muda huu tungepata kiongozi mwingine tuu.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.
Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.
Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.
Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.
NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Sidhani kama nitaiangalia nahisi tu kichefuchefu
Yaonyesha una elimu ndogo.Hiyo filamu sio mchezo wa kuigiza,ni tukio la kweli.kwa nini wasimtumie Diamond kutengeneza filamu kama hiyo maana Samia hauziki na lile liushungi
Wakati huo,hao walionyeshwa walishaona.Wengine wamezaliwa ,nao waone mapya.Sasa kama vinajulikana tayari kuna haja gani ya kuvitangaza tena? Watalii wengi wanaoacha kuja Tanzania wakaishia kwenda Kenya au Afrika ya Kusini ni kwa sababau huwa hawajui hali ya usalama Tanzania, siyo kwamba hawajui vivutio vyetu. Ukienda pale Youtube utaona video nyingi sana zinazoonyesha vivutio vyetu, na hii video ya The Royal tour imerudia vitru hivyo hivyo. Mwaka 2007 Kikwete alilipia video yenye maudhui hayo hayo kwenye vyombo vya habari vya kimataifa kama CNN, kama hukuiona ni hii hapa
View attachment 2202175
Kwani kuna mbuga mpya na wanyama wapya zaidi ya hao wa Kikwete?Wakati huo,hao walionyeshwa walishaona.Wengine wamezaliwa ,nao waone mapya.
Hujui kuna kitu kinaitwa,mabadiliko ya tabia nchi.Unafikiri eneo litabakia hivyo hivyo miaka yote.Linabadilika,na wanyama wananawiri na kupendeza,kila miaka ikienda mbele.Kwani kuna mbuga mpya na wanyama wapya zaidi ya hao wa Kikwete?
Ni kweli mkuu sina hata kaphd ka maganda ya koroshow();Yaonyesha una elimu ndogo.Hiyo filamu sio mchezo wa kuigiza,ni tukio la kweli.
Hivi filamu steering ni Maza ama Vivutio? Centre theme ya filamu nini hasa?
Hakika mkuu, mimi huwa sikwepeshi ukweli.Umesema kweli tupu.Wengi wanaopinga maendeleo ya Tanzania humu JF,sio watanzania.Chunguza,na utaniunga mkono.
Unafikiri akirudi ndo watoto wako watapata nafuu ya maisha, ikiwa we mwenyew mama yao ambae unajukumu la kuwatafutia watoto wako ugali, unashinda humu kuandika ushuzi ili tu upate Likes kutoka kwa wachangiaji hayawani. Wakati wewe unashinda hapa kuandika ushuzi ili uvune Likes za chawa wenzako, kuna wengine wanatumia muda huo kutengeneza pesa kwa ajili ya kesho yao na vizazi vyao bila kujali uwepo wa raisi.yeyote aliyeruhusu huyu awepo pale alifanya kosa kubwa sana!
sasa tunaanza kuelewa zile harakati za kuzuia asiguse kile kiti zilikua na mantiki sana, hafai