Vijana someni msisikilize propaganda Bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.
Just imagine Nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+
Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.
Ni hayo tu wasomi Bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai
Mr Justice .
Mkuu tafuta hela acha mawazo