Nimeangalia idadi ya watu tulio na shahada ya kwanza hatuzidi Milioni 2. Kumbe wasomi bado tupo wachache sana

Nimeangalia idadi ya watu tulio na shahada ya kwanza hatuzidi Milioni 2. Kumbe wasomi bado tupo wachache sana

Muna mchango gani sasa kwa taifa lenu na hizo degree zenu?

au ndio wale miongoni mwa.....Eat At The Length Of Ur Rope
Tatazo letu humu uelewa ndo shida. Mtoa mada kasema kitu Cha msingi. Lkn anavyoshambuliwa utafikiri ameiba.

Maada inaonesha ni kwa kiwango gan kama taifa Lina wasomi wachache sana na kuonesha tuna safar ndefu sana. Inatakiwa km taifa kuwekeza kua na wasomi wengi. Lakin mnamshambulia. Pamoja na huo uchache wake wanasiasa hawawapi nafasi. Na ndo wenye maamuzi hata kama atasimamia ukweli utaonekana uongo.
Sambamba na Hilo mfumo wetu wa elimu haumwandai mtu kupambana kutatua matatizo badala yake unatengeneza tatzo. Elimu yetu ni ya kukariri sio creativite wa problem solve.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Sku hizi tunaona aibu hata kusema tuna degree..maana...
Unakuta la 7 anamiliki room za kupanga na nyumba yake anamalizia ujenzi tayar ana watoto wakubwa maana alioa au aliolewa na 18 yrs sa hv ni mtu na mji wake....msomi ndo unaanza kujitafuta na ajira uchwara na mikopo ya FAIDIKA..
 
Vijana someni msisikilize propaganda bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.

Just imagine nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+

Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.

Ni hayo tu wasomi bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai

Mr Justice .
Watakuja kusema maliza chuo ili hiyo degree yako ikusaidie kutengeneza kahawa yenye sukari mtaani ukiwa na birika lako mkononi na kashata!

Bora hata wenye degree za ualimu, wanaweza kaa mtaani kwa miaka saba wakaajiliwa

Sasa wewe mwenzangu na mie mwenye Bs in Microbiology utajua hujui! Serikali ingeruhusu wenye degree kuzibandika usoni, ningesema ushauri wako una maana kwa 20%

Anyway u first year unakusumbua!
 
Vijana someni msisikilize propaganda bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.

Just imagine nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+

Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.

Ni hayo tu wasomi bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai

Mr Justice .
Wachache kulinganisha na nini?
Hao ni wengi sana kulinganisha na ajira za level ya elimu yao zilizopo na zitakazotengenezwa. Wasipojiongeza hizo degree zitaexpire bila matumizi yoyote.
 
Vijana someni msisikilize propaganda bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.

Just imagine nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+

Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.

Ni hayo tu wasomi bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai

Mr Justice .
Ndio mjiajiri so mnabaki degree sio mchezo afu umekaa kwa dada ako unasubiri shemeji yako STD 7 aje uoshe gari
 
Vijana someni msisikilize propaganda bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.

Just imagine nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+

Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.

Ni hayo tu wasomi bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai

Mr Justice.
Degree ya mchongo[emoji2955][emoji2955]
 
Hivi
S
Ngoja kwanza; kwa takwimu hizi ni kwamba kila Watanzania 100, 92 wanaamini katika waganga wa kienyeji; halafu twende mbele kidogo, according to mleta UZI (jambo ambalo ni la kweli kabisa ) ni kwamba Watanzania tupo 60M na wenye degree tupo 2M means wenye degree Tanzania ni only 3.3%; sasa ukija kwenye hizo takwimu za waamini katika Uchawi na waganga wa kienyeji maanake ni kwamba pia wenye degree wapo wanao amini katika UGANGA/UCHAWI as well and hence elimu ni kama haijabadiri kiviile mtazamo wa UCHAWI? Wafikirie wana siasa, hivi kuna ambae haamini katika mambo hayo kweli? Ukiwauliza, watakukatalia but huo ndio ukweli yaani. Wakibisha, tutachokonoa DATA zao
Masuala ya uchawi yanauhusiano gani na degree!!?hilo ni swala Binafsi!!!utafananishaje na degree!!?
 
Back
Top Bottom