Vijana someni msisikilize propaganda Bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.
Just imagine Nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+
Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.
Ni hayo tu wasomi Bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai
Mr Justice .
Hii kitu Wapopo wame edit nafikiri wapopo ndio wana paswa wawe hapo juu ..
Wengi wa wale wanatokea pwani hasa hasa Rufiji. Rufiji kila mtu anajua kuroga.Mkuu naona Tanzania imesecure first position kwenye wapiga ramli
Duuh kwamba hata Nigeria, Malawi au Uganda? tumewazidi Kwa imani za kishirikina? Nitakuwa wa mwisho maana Malawi nimekaa naijua vizuri Bado ni Primitive mode of life kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hyo sisi wachawi sana
Ndio hovyo, Mtanzania mtoto wake akifeli mtihani wa la saba anaenda kupiga ramli.Duuh kwamba hata Nigeria, Malawi au Uganda? tumewazidi Kwa imani za kishirikina? Nitakuwa wa mwisho maana Malawi nimekaa naijua vizuri Bado ni Primitive mode of life kabisa
Labda huko kwenuNdio hovyo, Mtanzania mtoto wake akifeli mtihani wa la saba anaenda kupiga ramli.
Da wahaya buanaWe unayo degree au wivu mkuu? Ni Aibu kufa bila degree
SureLabda huko kwenu
Bila shaka familia yenu wote mna digrii.We unayo degree au wivu mkuu? Ni Aibu kufa bila degree
Muna mchango gani sasa kwa taifa lenu na hizo degree zenu?Vijana someni msisikilize propaganda bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.
Just imagine nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+
Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.
Ni hayo tu wasomi bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai
Mr Justice .
Tofauti ya msomi aliyekabidhi imani yake kwa mganga na alokabidhi maisha yake kwa sheikh/mchungaji ni nini?!Ngoja kwanza; kwa takwimu hizi ni kwamba kila Watanzania 100, 92 wanaamini katika waganga wa kienyeji; halafu twende mbele kidogo, according to mleta UZI (jambo ambalo ni la kweli kabisa ) ni kwamba Watanzania tupo 60M na wenye degree tupo 2M means wenye degree Tanzania ni only 3.3%; sasa ukija kwenye hizo takwimu za waamini katika Uchawi na waganga wa kienyeji maanake ni kwamba pia wenye degree wapo wanao amini katika UGANGA/UCHAWI as well and hence elimu ni kama haijabadiri kiviile mtazamo wa UCHAWI? Wafikirie wana siasa, hivi kuna ambae haamini katika mambo hayo kweli? Ukiwauliza, watakukatalia but huo ndio ukweli yaani. Wakibisha, tutachokonoa DATA zao
Unamwambia nani sasaVijana someni msisikilize propaganda bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana.
Just imagine nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+
Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake.
Ni hayo tu wasomi bado tupo wachache so hoja za kuwaponda wasomi hazifai
Mr Justice .
mtoa mada tuliza wenge, umeanza na takwimu tunamaliza na takwimu.
Usisahau kuwa jumla ya waajiriwa serikalini na Sekta binafi ni makadilio ya 1m +. Na ikumbukwe pia waajiriwa hao wana elimu tofauti tofauti yani astashahada, stashahada, shahada na kuendelea.
Basi tuchukulie mfano kuwa waajiriwa wa Shahada na kuendelea ni asilimia kumi ya waajiriwa (1m+)
10% meani ni waajiriwa 100,000 ndio wenye shahada na kuendelea.
Maana yake ni nini? kwa takwimu yako ya watu 2m kuwa wanashahada inaonesha kuwa wengi ni jobless
2m - 100k = 1. 9m
Watu 1.9m wenye shahada hawana ajira, hii ni nusu ya idadi ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi Tanzania bara.
Shahada Bongo doesn't worth it.