Zingatia haya yaliyo semwa hapa.Per BOT guidance and regulations,mkopeshaji lazima awe na leseni toka BOT. Kama huna na Mimi nakuja kukopa sikurudishii hili twende mahakamani. Hiyo biashara utafirisika na kukosa pesa zako. Kuna loopholes nyingi za kukuzika pesa zako.
Ni sawa na kusema bank hazina maishaNI riba ya kinyonyaji aisee .
Ila shida za mtu ndo zinamleta kwenye mkopo huu.
Kuna Jamaa yangu alikuwa anakopesha kwa 15% mwezi...ila Jamaa wakamdhulumu pia wakamchomea anafanya black business..alihangaika naona amerudi tena.
Wape riba kwa wiki hata 20%
all In all hii biashara haitadumu jitahidi ufanye jambo la maana angali bado mapema
Protection+insuranceNi sawa na kusema bank hazina maisha
"High risk high returns"
Hivi vi microfinance vya mtaani ni nyokwe sanaDuh 10000 kila siku analipa jero. Kweli masikini atabaki kuwa maskini daima milele amina
𝐍𝐢 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐬𝐚𝐧𝐚?Duh 10000 kila siku analipa jero. Kweli masikini atabaki kuwa maskini daima milele amina
Maana yangu ni kwamba kwa mwezi hiyo ni interest ya 50%. It's all about business nimeshangaa tu sikuwahi fikiri kama kuna ukopaji wenye interest kubwa hivyo𝐍𝐢 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐬𝐚𝐧𝐚?
𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐣𝐞𝐫𝐨 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 7 𝐢𝐧𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 3,500 𝐦𝐤𝐮𝐮
𝐤𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐢 2000 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐢𝐤𝐢.
kitaani huku wamama hawajui hizi calculation ye ilimradi jambo lake limeenda kwa mkopo wako mtakutana kwenye rejeshoMaana yangu ni kwamba kwa mwezi hiyo ni interest ya 50%. It's all about business nimeshangaa tu sikuwahi fikiri kama kuna ukopaji wenye interest kubwa hivyo
mfano mama mmoja anafanya biashara ya samaki. Anachukua laki 1 kwangu kila wiki. Nishamzoea.kitaani huku wamama hawajui hizi calculation ye ilimradi jambo lake limeenda kwa mkopo wako mtakutana kwenye rejesho
Kwahiyo hiyo anayofanya sio jambo la maana?NI riba ya kinyonyaji aisee .
Ila shida za mtu ndo zinamleta kwenye mkopo huu.
Kuna Jamaa yangu alikuwa anakopesha kwa 15% mwezi...ila Jamaa wakamdhulumu pia wakamchomea anafanya black business..alihangaika naona amerudi tena.
Wape riba kwa wiki hata 20%
all In all hii biashara haitadumu jitahidi ufanye jambo la maana angali bado mapema
Protection+insurance
Itafute na askari(polisi) kwa ajili ya kutishia kwa wale wanaocheleweshaHabari za asubuhi JF people?
Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.
Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
Jana nimetoa elfu 40, after two weeks ilete Riba ya Tshs 28,000
- Kwa kila shilingi elfu 10, irejeshe Sh 500 kila siku.
- Mkopo utakaa siku 14.
Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?
Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?
Note: Mteja wangu ni mama ntilie
Ushuru wenyewe tunalipa 200 sokoni ndio iwe jero kila siku?mkuu angalia tena riba yako ni kubwa sana, ina maana ukimkopesha mtu millioni moja kwa siku ni elf 50, na akikaa nayo mwezi ina maana ni million 1.5 na nusu, kwa lugha nyepesi ni kwamba mtu akikopa million moja kwa mwezi mmoja anarudisha million mbili na nusu, yaana faida ni 150%
Tuko Duniani Wacha tufaidi vya Duniani kwanza,tukifika ahera tutajua cha kufanyaSijui imani ipi inaruhusu riba. Kwa uoande wangu kitu asichokidhiria mola wako hakina faida kwako. Unaweza ukafaulu duniani na akhera ukawa mweny khasara. Fanya kazi isiyo na mushkel
Mnawapata wajinga,kwa nini wasikope kwenye mitandao ya simu?Hata mimi ilikuwa inaniende fresh tu, ila mambo ya kiimani yaliponiingia nikaipiga chini.
Tena ubandidu haswa, ni udhulumati wa wazi wazi, mie ilikuwa sikukopeshi bila kuweka kitu bondi, tena naangalia thaman ya kitu chenyewe kwa wakati unachukua mkopo, vitu kama nyumba, hati, viwanja, sijui kadi ya gari na pikipiki, nilikuwa sichukui, nachukua vitu vinavyohamishika, vinakuja kukaa mtaani kwangu. Tunaingia mkataba, baada ya muda fulani, usipolipa kitu kinakuwa changu, wengi muda ulikuwa unaisha, sasa nifanyacho, namwambia alipe ile riba, kisha tuanze upya mwezi mwingine, mfano nimempa milioni kwa mwezi inabidi arudishe milioni na laki 3, mwezi ukiisha hana hiyo pesa, basi anipe laki 3, kisha tunarenew mkataba upya, namdai tena milioni na laki 3. Unakuta mtu anarenew mara 3 mpaka 4, kama kaweka gari yake, hapo naitembelea, nikiombea dua nisipate nayo majanga [emoji23]
Huwezi kuzimwa yote,ni nadra Sana ukazimwa mtaji plus riba,unaweza recover 450 plusmfano mama mmoja anafanya biashara ya samaki. Anachukua laki 1 kwangu kila wiki. Nishamzoea.
analeta 20,000 kila jumatatu.
Na huyo ni mama mchungaji.
Jana nimepitia kitabu changu cha madeni nimekuta kuna laki 5 nje.
nimejiuliza sana hivi nikizimwa hapa ntakuwa.mgeni wa nani😅😅😅
Ungesoma.mpaka chuo kikuu halafu ukakataa mkopo kutoka bodi ya Mikopo Tanzania tuone utasomajeSijui imani ipi inaruhusu riba. Kwa uoande wangu kitu asichokidhiria mola wako hakina faida kwako. Unaweza ukafaulu duniani na akhera ukawa mweny khasara. Fanya kazi isiyo na mushkel
Mnawapata wajinga,kwa nini wasikope kwenye mitandao ya simu?
Pesa ya riba mbaya sana,niliwahi kopa 700k kwa makubaliano ya kulipa riba ya 15% kwa mwezi kwa kila Salio hadi umalize.
Hadi namaliza ndani ya miezi 3 nilipa riba na principal zaidi ya mil.1 na laki hivi.
Kuanzia hapo nikaapa sutokuja tena Kukopa pesa za riba iwe Benki au kwa mtu.